Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,142
- 27,159
Leo chadema kupitia viongozi wao wa bavichaa wamekatazwa kufanya mkutano mbarali na jeshi la polisi.
Naona walikuwa wanam-beep mama, mama Samia shikilia hapohapo mpaka wakuheshimu maana wanakuchukulia poa Sana
Nipo pamoja na jeshi la polisi, wahuni wote wanaotaka kum-beep mama samia wadhibitiwe.
Chadema hamna msimamo kwa hiyo Sasa hivi corona imeisha Hadi mnafanya mikutano? Kwa hiyo Sasa hivi tusivae tena barakoa na tukusanyike kama kawaida?
Naona walikuwa wanam-beep mama, mama Samia shikilia hapohapo mpaka wakuheshimu maana wanakuchukulia poa Sana
Nipo pamoja na jeshi la polisi, wahuni wote wanaotaka kum-beep mama samia wadhibitiwe.
Chadema hamna msimamo kwa hiyo Sasa hivi corona imeisha Hadi mnafanya mikutano? Kwa hiyo Sasa hivi tusivae tena barakoa na tukusanyike kama kawaida?