NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
U hav to edit ur thread we was ther too.
mkubwa hapo kwenye red, au ndo shule za kata
U hav to edit ur thread we was ther too.
Wakuu habari.
Jana siku ya Jumamosi tarehe 12 Februari 2011 kwa nyakati tofauti Wabunge wa CHADEMA wamezindua matawi ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Vya Mt Johns na Mipango.Kabla ya Uzinduzi kulitanguliwa na hotuba fupi fupi za wabunge hao. Mikutano yote ilikuwa ni mizuri sana.
Wabunge waliowakilisha Chama ni
1. Prof Kahigi- Bukombe
2.Halima Mdee- Kawe
3.John Mnyika-Ubungo
4.Godbless Lema-Arusha Mjini
5.Rebecca Mgodo-Viti Maalum Arusha
6.Regia Mtema- Vitimaalum Kilombero
Wanafunzi zaidi ya 200 wa Chuo Cha Mt John wamejiunga na CHADEMA sambamba na ufunguzi wa ofisi ya tawi hilo.
Zaidi ya wanafunzi 1000 wa Vyuo vya Mipango na UDOM wamejiunga na CHADEMA Sambamba na ufunguzi wa Tawi.
Wabunge hawa walipokelewa kwa nderemo na vifijo na wanafunzi hao.
Mapambano yanaendelea,Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke.
N.B: Picha za matukio yote mawili baadaye kidogo.
Zoezi hili linaendelea leo viwanja via Sabasaba jijini Dar es Salaam kwa vyuo vya DIT, IFM, CBE n.k
From Dodoma.
Aluta Continua
U hav to edit ur thread we was ther too.
Hapa ndio umuhimu wa CDM kuwa na combo chake cha habari Kama Radio au Tv unapoonekana,habri Kama hizi zilitakiwa zisambae Kama kimbunga nchi nzima ili mwamko uwe juu zaidi maana vyombo vingine vya habari sio vya kutegemea sana kutoa uzito kwa mambo Kama haya pamoja na umuhimu wake
Wakuu habari.
Jana siku ya Jumamosi tarehe 12 Februari 2011 kwa nyakati tofauti Wabunge wa CHADEMA wamezindua matawi ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Vya Mt Johns na Mipango.Kabla ya Uzinduzi kulitanguliwa na hotuba fupi fupi za wabunge hao. Mikutano yote ilikuwa ni mizuri sana.
Wabunge waliowakilisha Chama ni
1. Prof Kahigi- Bukombe
2.Halima Mdee- Kawe
3.John Mnyika-Ubungo
4.Godbless Lema-Arusha Mjini
5.Rebecca Mgodo-Viti Maalum Arusha
6.Regia Mtema- Vitimaalum Kilombero
Wanafunzi zaidi ya 200 wa Chuo Cha Mt John wamejiunga na CHADEMA sambamba na ufunguzi wa ofisi ya tawi hilo.
Zaidi ya wanafunzi 1000 wa Vyuo vya Mipango na UDOM wamejiunga na CHADEMA Sambamba na ufunguzi wa Tawi.
Wabunge hawa walipokelewa kwa nderemo na vifijo na wanafunzi hao.
Mapambano yanaendelea,Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke.
N.B: Picha za matukio yote mawili baadaye kidogo.
Zoezi hili linaendelea leo viwanja via Sabasaba jijini Dar es Salaam kwa vyuo vya DIT, IFM, CBE n.k
From Dodoma.
Aluta Continua
Regia Regia Regia dada angu. Hapo penye cbe naomba udeliti. Tulihudhulia hilo tukio lakini sisi wenye bado hatujafungua tawi rasmi. Kuhusu members tuko wengi ila kwa sasa wengi wako likizo. Nipo cbe dom.Wakuu habari.
Jana siku ya Jumamosi tarehe 12 Februari 2011 kwa nyakati tofauti Wabunge wa CHADEMA wamezindua matawi ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Vya Mt Johns na Mipango.Kabla ya Uzinduzi kulitanguliwa na hotuba fupi fupi za wabunge hao. Mikutano yote ilikuwa ni mizuri sana.
Wabunge waliowakilisha Chama ni
1. Prof Kahigi- Bukombe
2.Halima Mdee- Kawe
3.John Mnyika-Ubungo
4.Godbless Lema-Arusha Mjini
5.Rebecca Mgodo-Viti Maalum Arusha
6.Regia Mtema- Vitimaalum Kilombero
Wanafunzi zaidi ya 200 wa Chuo Cha Mt John wamejiunga na CHADEMA sambamba na ufunguzi wa ofisi ya tawi hilo.
Zaidi ya wanafunzi 1000 wa Vyuo vya Mipango na UDOM wamejiunga na CHADEMA Sambamba na ufunguzi wa Tawi.
Wabunge hawa walipokelewa kwa nderemo na vifijo na wanafunzi hao.
Mapambano yanaendelea,Hakuna Kulala Mpaka Kieleweke.
N.B: Picha za matukio yote mawili baadaye kidogo.
Zoezi hili linaendelea leo viwanja via Sabasaba jijini Dar es Salaam kwa vyuo vya DIT, IFM, CBE n.k
From Dodoma.
Aluta Continua