Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Jamii ya kimataifa iko mjengoni na ukitazama vizuri kila balozi yupo na mtu wa kumtafsiria yanayojiri katika bunge la demokrasia. Ngoja nimsubirie msemaji anayefauatia ni wasira atapike malepelepe kama kawaida yake.Naona mbunge anawashambulia mabalozi waliofika leo bungeni,kuna mabalozi kibao wameingia bungeni leo.