CHADEMA watangaza kutoshiriki majadiliano ya wadau wa vyama vya siasa na polisi

Eti Benson Kigaila ana sema hatuwezi kuhudhuria kikao cha Msajili hadi zuio la siasa kwanza liondolewe na pili eti Mbowe aachiwe mara moja.
kwa hoja hizo dhaifu ndipo nimeona kweli Viongozi wa Chadema wamepoteza mwelekeo kabisaa.
Hoja ya Pili ya kushinikiza Mbowe aachiwe huru ni kinyume kabisa na utawala wa sheria lkn pia kitendo au kauli hiyo ya viongozi wa Chadema inaingilia uhuru wa Mahakama kwa kuishinikiza Mahakama ifanye maamuzi kinyume na utaratibu wa kisheria.
Pili nendeni mkaonane na msajili kisha muwasilishe hoja ya kwa nn zuio la kisiasa? ni ujinga kulalamika nje ya kikao, nendeni mezani kwa Msajili kwani mnaogopa nini?! nendeni mkawasilishe hoja zenu.
Kesi ya Mbowe lazima iendelee, ndio maana yuko mahakamani, Mahakama ndiye muamuzi wa mwisho.
hoja ya Bensoni Kigaila ni ujinga eti Chama kisiendelee na shughuli zake za kawaida kwa sababu eti Mbowe hayupo!!!
Huo ni uamuzi wa Chadema. Unamzuia vipi Msajili wa Vyama vya Siasa kuendelea na kikao chake na IGP na vyama vingine? Mnahangaika nini na chama mfu kama Chadema? Hata Chadema akiwepo hoja zake hazitakuwa na uzito mbele ya vyama vingine zaidi ya 10 vitakavyokuwa upande wa Msajili na IGP!

Amandla....
 
Eti Benson Kigaila ana sema hatuwezi kuhudhuria kikao cha Msajili hadi zuio la siasa kwanza liondolewe na pili eti Mbowe aachiwe mara moja.
kwa hoja hizo dhaifu ndipo nimeona kweli Viongozi wa Chadema wamepoteza mwelekeo kabisaa.
Hoja ya Pili ya kushinikiza Mbowe aachiwe huru ni kinyume kabisa na utawala wa sheria lkn pia kitendo au kauli hiyo ya viongozi wa Chadema inaingilia uhuru wa Mahakama kwa kuishinikiza Mahakama ifanye maamuzi kinyume na utaratibu wa kisheria.
Pili nendeni mkaonane na msajili kisha muwasilishe hoja ya kwa nn zuio la kisiasa? ni ujinga kulalamika nje ya kikao, nendeni mezani kwa Msajili kwani mnaogopa nini?! nendeni mkawasilishe hoja zenu.
Kesi ya Mbowe lazima iendelee, ndio maana yuko mahakamani, Mahakama ndiye muamuzi wa mwisho.
hoja ya Bensoni Kigaila ni ujinga eti Chama kisiendelee na shughuli zake za kawaida kwa sababu eti Mbowe hayupo!!!
Zandramo zako ndio hoja imara, hivyo Baki na hoja zako nao wabaki na hoja zao, unaumizwa na Nini? Au kipo unachowadai
 
Huo ni uamuzi wa Chadema. Unamzuia vipi Msajili wa Vyama vya Siasa kuendelea na kikao chake na IGP na vyama vingine? Mnahangaika nini na chama mfu kama Chadema? Hata Chadema akiwepo hoja zake hazitakuwa na uzito mbele ya vyama vingine zaidi ya 10 vitakavyokuwa upande wa Msajili na IGP!

Amandla....
th
 
Tulishazoea matamuko yao,waliwahi kutamka_

Watafanya maandamano yasiyokoma.

Hawatashiriki uchaguzi wowote baadaye wakashiriki.

Ni kaupepo katapita.

Waacheni watanyooka tu,Kwanza hawana nguvu yoyote tena baada ya wananchi kutambua demokrasia wanayoitaka haipo kwenye chama chao.
Mbowe kang'ang'ania uenyekiti Kama kupe.
 
Binafsi nampongeza sana IGP Sirro kwa kukubali ombi la Msajili wa vyama vya siasa la kutaka kumkutanisha na vyama ili awape semina namna jeshi hilo linavyotimiza wajibu wake.

Ila nawashangaa Chadema walivyokusudia kuipoteza fursa hiyo.

Kimsingi anayepaswa kubembelezwa kukutana na mwenzake ni IGP siyo Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
EeeenHeee,

Unataka Sirro akawaeleze kipi ambacho hajafanya ili waelewe kwamba kazi aliyopewa ni kuwakandamiza, na ikiwezekana awaondoe kabisa katika uso wa Tanzania?

Wakati mwingine akili za matope aina hii inakuwa vigumu huwa unaziokota wapi.
 
Eti Benson Kigaila ana sema hatuwezi kuhudhuria kikao cha Msajili hadi zuio la siasa kwanza liondolewe na pili eti Mbowe aachiwe mara moja.
kwa hoja hizo dhaifu ndipo nimeona kweli Viongozi wa Chadema wamepoteza mwelekeo kabisaa.
Hoja ya Pili ya kushinikiza Mbowe aachiwe huru ni kinyume kabisa na utawala wa sheria lkn pia kitendo au kauli hiyo ya viongozi wa Chadema inaingilia uhuru wa Mahakama kwa kuishinikiza Mahakama ifanye maamuzi kinyume na utaratibu wa kisheria.
Pili nendeni mkaonane na msajili kisha muwasilishe hoja ya kwa nn zuio la kisiasa? ni ujinga kulalamika nje ya kikao, nendeni mezani kwa Msajili kwani mnaogopa nini?! nendeni mkawasilishe hoja zenu.
Kesi ya Mbowe lazima iendelee, ndio maana yuko mahakamani, Mahakama ndiye muamuzi wa mwisho.
hoja ya Bensoni Kigaila ni ujinga eti Chama kisiendelee na shughuli zake za kawaida kwa sababu eti Mbowe hayupo!!!
Hichi chama sijawwhi kukiilewa kabisa huwa hakinaga watu makini .kila wakati hiww wanatumia nguvu zaidi kuliko akili utadhani hii nchi ni genge la wa huni eti wanashinikiza mbowe aachiwen ni nchi gani hiyo ya kushinikiza mhalifu aanchiwe
 
Binafsi nampongeza sana IGP Sirro kwa kukubali ombi la Msajili wa vyama vya siasa la kutaka kumkutanisha na vyama ili awape semina namna jeshi hilo linavyotimiza wajibu wake.

Ila nawashangaa Chadema walivyokusudia kuipoteza fursa hiyo.

Kimsingi anayepaswa kubembelezwa kukutana na mwenzake ni IGP siyo Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
Acha ujinga wako. IGP anahusikaje na mambo ya Vyama? Yeye ni Mwanasiasa kuanzia lini???
 
Back
Top Bottom