Chama cha Chadema,ambacho mara zote kimekuwa Kikijipambanua Kuwa ni Chama Makini na mtetezi wa Kweli wa Wanyonge,Kimeshindwa Kutuma Muwakilishi katika Msiba na Mazishi ya Baba Wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Letisia Musobi (Leticia Nyerere)
Pamoja na Chama cha CUF Kuwakilishwa na M/Kiti wa sasa Prof.Lipumba, Makamu Mwenyekiti Mhe. Machano Hamis Ali,Katibu Mkuu,Maalim Seif Sharif Hamad,Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi Mhe. Abdul Kambaya, Mbunge Viti Maalum Mhe. Magdalena Sakaya,Wajumbe wa Baraza KUU La Uongozi Kadhaa na Viongozi wa Wilaya za Kanda ya Ziwa,
Ajabu ni kwa Chadema ambao Pamoja na kuwa Mzee Musobi Mageni amewahi kushika Nyadhifa kadhaa za Kiserikali Kama Uwaziri,Ubunge na Ukuu wa Wilaya Kadhaa,Mwenyekiti wa Chama Cha Siasa Mstaafu,lakini Kwao wao Chadema Alikuwa Ni Baba wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Mhe.Letisia Nyerere.
Hata hili pia Chadema wameshindwa Kulithamini? Je ni chuki zao na CUF au ni kwa Kuwa LETICIA SI WA KASKAZINI Ndo maana hawajaupa Umuhimu Msiba Huu!?
Pamoja na Chama cha CUF Kuwakilishwa na M/Kiti wa sasa Prof.Lipumba, Makamu Mwenyekiti Mhe. Machano Hamis Ali,Katibu Mkuu,Maalim Seif Sharif Hamad,Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi Mhe. Abdul Kambaya, Mbunge Viti Maalum Mhe. Magdalena Sakaya,Wajumbe wa Baraza KUU La Uongozi Kadhaa na Viongozi wa Wilaya za Kanda ya Ziwa,
Ajabu ni kwa Chadema ambao Pamoja na kuwa Mzee Musobi Mageni amewahi kushika Nyadhifa kadhaa za Kiserikali Kama Uwaziri,Ubunge na Ukuu wa Wilaya Kadhaa,Mwenyekiti wa Chama Cha Siasa Mstaafu,lakini Kwao wao Chadema Alikuwa Ni Baba wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Mhe.Letisia Nyerere.
Hata hili pia Chadema wameshindwa Kulithamini? Je ni chuki zao na CUF au ni kwa Kuwa LETICIA SI WA KASKAZINI Ndo maana hawajaupa Umuhimu Msiba Huu!?