CHADEMA wasusia msiba wa mzee Musobi Mageni Musobi

mwigo

Member
May 8, 2012
45
15
Chama cha Chadema,ambacho mara zote kimekuwa Kikijipambanua Kuwa ni Chama Makini na mtetezi wa Kweli wa Wanyonge,Kimeshindwa Kutuma Muwakilishi katika Msiba na Mazishi ya Baba Wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Letisia Musobi (Leticia Nyerere)

Pamoja na Chama cha CUF Kuwakilishwa na M/Kiti wa sasa Prof.Lipumba, Makamu Mwenyekiti Mhe. Machano Hamis Ali,Katibu Mkuu,Maalim Seif Sharif Hamad,Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi Mhe. Abdul Kambaya, Mbunge Viti Maalum Mhe. Magdalena Sakaya,Wajumbe wa Baraza KUU La Uongozi Kadhaa na Viongozi wa Wilaya za Kanda ya Ziwa,

Ajabu ni kwa Chadema ambao Pamoja na kuwa Mzee Musobi Mageni amewahi kushika Nyadhifa kadhaa za Kiserikali Kama Uwaziri,Ubunge na Ukuu wa Wilaya Kadhaa,Mwenyekiti wa Chama Cha Siasa Mstaafu,lakini Kwao wao Chadema Alikuwa Ni Baba wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Mhe.Letisia Nyerere.

Hata hili pia Chadema wameshindwa Kulithamini? Je ni chuki zao na CUF au ni kwa Kuwa LETICIA SI WA KASKAZINI Ndo maana hawajaupa Umuhimu Msiba Huu!?
 
[h=6]Chama cha Chadema,ambacho mara zote kimekuwa Kikijipambanua Kuwa ni Chama Makini na mtetezi wa Kweli wa Wanyonge,Kimeshindwa Kutuma Muwakilishi katika Msiba na Mazishi ya Baba Wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Letisia Musobi (Letisia Nyerere)
Pamoja na Chama cha CUF Kuwakilishwa na M/Kiti wa sasa Prof.Lipumba,Makamu Mwenyekiti Mhe. Machano Hamis Ali,Katibu Mkuu,Maalim Seif Sharif Hamad,Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi Mhe.Abdul Kambaya,Mbunge Viti Maalum Mhe.Magdalena Sakaya,Wajumbe wa Baraza KUU La Uongozi Kadhaa na Viongozi wa Wilaya za Kanda ya Ziwa,Ajabu ni kwa Chadema ambao Pamoja na kuwa Mzee Musobi Mageni amewahi kushika Nyadhifa kadhaa za Kiserikali Kama Uwaziri,Ubunge na Ukuu wa Wilaya Kadhaa,Mwenyekiti wa Chama Cha Siasa Mstaafu,lakini Kwao wao Chadema Alikuwa Ni Baba wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Mhe.Letisia Nyerere.Hata hili pia Chadema wameshindwa Kulithamini?je Ni Chuki zzao na CUF au ni kwa Kuwa LETISIA SI WA KASKAZINI Ndo maana hawajaupa Umuhimu Msiba Huu!?[/h]
 
Chama cha Chadema,ambacho mara zote kimekuwa Kikijipambanua Kuwa ni Chama Makini na mtetezi wa Kweli wa Wanyonge,Kimeshindwa Kutuma Muwakilishi katika Msiba na Mazishi ya Baba Wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Letisia Musobi (Letisia Nyerere)

Pamoja na Chama cha CUF Kuwakilishwa na M/Kiti wa sasa Prof.Lipumba,Makamu Mwenyekiti Mhe. Machano Hamis Ali,Katibu Mkuu,Maalim Seif Sharif Hamad,Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi Mhe. Abdul Kambaya, Mbunge Viti Maalum Mhe. Magdalena Sakaya,Wajumbe wa Baraza KUU La Uongozi Kadhaa na Viongozi wa Wilaya za Kanda ya Ziwa,

Ajabu ni kwa Chadema ambao Pamoja na kuwa Mzee Musobi Mageni amewahi kushika Nyadhifa kadhaa za Kiserikali Kama Uwaziri,Ubunge na Ukuu wa Wilaya Kadhaa,Mwenyekiti wa Chama Cha Siasa Mstaafu,lakini Kwao wao Chadema Alikuwa Ni Baba wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Mhe.Letisia Nyerere.

Hata hili pia Chadema wameshindwa Kulithamini? Je ni chuki zao na CUF au ni kwa Kuwa LETISIA SI WA KASKAZINI Ndo maana hawajaupa Umuhimu Msiba Huu!?


Mtatiro at work! Multiple ID kama kawa!
 
Capitalise on your competitor weakness

hakuna weakness yoyote iliyooneshwa na CDM hapa, mambo mengine ni uvivu wa kufikiri tu. Nani unataka kumwaminisha kwamba CDM ingetakiwa kuuchukulia huo msiba kama wa chama? Peleka propaganda zako huku CUF. Hajawai kuwa CDM na hatumtambui, kama aliwai kuwa wa CUF sisi inatuhusu nini? Mbuge wa CDM atapewa pole kama wafiwa wengine.
 
Kwa kukutaarifu tu Mazishi ya mama yake mbunge wa Rombo yalikuwa wiki iliyopita lakini makamanda wote walikuwa kwenye operesheni okoa kusini.
 
Nijuavyo kwenye misiba ya Africa hakunaga masuala ya Itikadi ya vyama
 
Kama alishashika nyadhifa serikalini ikiwemo u-WAZIRI mimi ninafikiri viongozi wa serikali ndiyo wangepaswa kuwepo kuliko viongozi wa vyama vya siasa. Am I missing something? au Pinda, JK walikuwepo?
 
Chama cha Chadema,ambacho mara zote kimekuwa Kikijipambanua Kuwa ni Chama Makini na mtetezi wa Kweli wa Wanyonge,Kimeshindwa Kutuma Muwakilishi katika Msiba na Mazishi ya Baba Wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Letisia Musobi (Letisia Nyerere)

Pamoja na Chama cha CUF Kuwakilishwa na M/Kiti wa sasa Prof.Lipumba,Makamu Mwenyekiti Mhe. Machano Hamis Ali,Katibu Mkuu,Maalim Seif Sharif Hamad,Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi Mhe. Abdul Kambaya, Mbunge Viti Maalum Mhe. Magdalena Sakaya,Wajumbe wa Baraza KUU La Uongozi Kadhaa na Viongozi wa Wilaya za Kanda ya Ziwa,

Ajabu ni kwa Chadema ambao Pamoja na kuwa Mzee Musobi Mageni amewahi kushika Nyadhifa kadhaa za Kiserikali Kama Uwaziri,Ubunge na Ukuu wa Wilaya Kadhaa,Mwenyekiti wa Chama Cha Siasa Mstaafu,lakini Kwao wao Chadema Alikuwa Ni Baba wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Mhe.Letisia Nyerere.

Hata hili pia Chadema wameshindwa Kulithamini? Je ni chuki zao na CUF au ni kwa Kuwa LETISIA SI WA KASKAZINI Ndo maana hawajaupa Umuhimu Msiba Huu!?

"Uropokaji ni dhahabu kwa mpumbavu"
 
Pamoja na Chama cha CUF Kuwakilishwa na M/Kiti wa sasa Prof.Lipumba,Makamu Mwenyekiti Mhe. Machano Hamis Ali,Katibu Mkuu,Maalim Seif Sharif Hamad,Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi Mhe. Abdul Kambaya, Mbunge Viti Maalum Mhe. Magdalena Sakaya,Wajumbe wa Baraza KUU La Uongozi Kadhaa na Viongozi wa Wilaya za Kanda ya Ziwa,

Sasa hawa si msiba ulikuwa wao? Ulitarajia watangaze kuwa viongozi wa CHADEMA wapo hapo msibani?
 
Nijuavyo kwenye misiba ya Africa hakunaga masuala ya Itikadi ya vyama
Kwa hiyo wewe unataka makamanda waache Operesheni Okoa Kusini (okoa nchi) yenye ratiba iliyopangwa muda mrefu na kugharamiwa na fedha za wananchi za kudunduliza, waende kwenye msiba wa mtu ambaye hakuwa mwanachama wao! You are too cheap. Hawa sio Kikwete. Hivi mbunge akifiwa unakuwa msiba wa chama?
 
Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu mchungu! Wiki iliyopita wana CDM walijifanya kumlaumu sana Nape kwenda kwenye msiba na kuwapa pole ndugu wa marehemu huku akiwa na ratiba ya kikazi.Sasa msiba wa baba wa mbunge wao wenyewe wanasema wako katika Operesheni Okoa Kusini (okoa nchi) ina maana CDM wote wako kusini?Acheni ubaguzi nyie angekuwa baba wa mbunge wa Kaskazini si wote wangejaa?
 
Chadema siku zote wabaguzi, ngoja SUGU ajidanganye akidhani hao jamaa ni ndugu zake, SUGU uwe makini watu wa mbeya tunakupenda.
 
Kwa taarifa yako uongozi karibu wote wa Wilaya na Mkoa tulikuwepo. Tatizo lako unataka kumuona Zitto au Mbowe ndo useme chadema Wapo.
 
Chama cha Chadema,ambacho mara zote kimekuwa Kikijipambanua Kuwa ni Chama Makini na mtetezi wa Kweli wa Wanyonge,Kimeshindwa Kutuma Muwakilishi katika Msiba na Mazishi ya Baba Wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Letisia Musobi (Leticia Nyerere)

Pamoja na Chama cha CUF Kuwakilishwa na M/Kiti wa sasa Prof.Lipumba, Makamu Mwenyekiti Mhe. Machano Hamis Ali,Katibu Mkuu,Maalim Seif Sharif Hamad,Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi Mhe. Abdul Kambaya, Mbunge Viti Maalum Mhe. Magdalena Sakaya,Wajumbe wa Baraza KUU La Uongozi Kadhaa na Viongozi wa Wilaya za Kanda ya Ziwa,

Ajabu ni kwa Chadema ambao Pamoja na kuwa Mzee Musobi Mageni amewahi kushika Nyadhifa kadhaa za Kiserikali Kama Uwaziri,Ubunge na Ukuu wa Wilaya Kadhaa,Mwenyekiti wa Chama Cha Siasa Mstaafu,lakini Kwao wao Chadema Alikuwa Ni Baba wa Mbunge wao wa Viti Maalum,Mhe.Letisia Nyerere.

Hata hili pia Chadema wameshindwa Kulithamini? Je ni chuki zao na CUF au ni kwa Kuwa LETICIA SI WA KASKAZINI Ndo maana hawajaupa Umuhimu Msiba Huu!?

Kwa nini usiwasiliane na CDM makao makuu kwanza ili ijiridhishe kama kweli huu wasiwasi wako una mashiko kabla ya kupost gossip zako hizi from the grape vine?!
 
Back
Top Bottom