Mkamanga junior
Senior Member
- Jul 27, 2018
- 159
- 224
CHADEMA wakubali tu kupoteza hizi seat,waishi maisha magumu lakini watapata faida sana huko mbeleni.
Lakini wakikubali kuingia mtegoni ,wakapeleka wabunge bungeni,ndio habari yao imekwisha.
Kwa sababu nchi wahisani nyingi zimeonyesha nia ya kulalamikia faulo zilizochezwa, tutegemee mbinyo mkubwa wa kiichumi.
Hakuna nchi iliyofanikiwa kuvuka vikwazo bila kuomba poo na kurudi kwenye meza ya maridhiano,hata hao wanaosema tunaweza, kuishi bila wao,wanajisahaulisha.wafuatilie historia ya Rais wa Nicaraguay.
Lakini wakikubali kuingia mtegoni ,wakapeleka wabunge bungeni,ndio habari yao imekwisha.
Kwa sababu nchi wahisani nyingi zimeonyesha nia ya kulalamikia faulo zilizochezwa, tutegemee mbinyo mkubwa wa kiichumi.
Hakuna nchi iliyofanikiwa kuvuka vikwazo bila kuomba poo na kurudi kwenye meza ya maridhiano,hata hao wanaosema tunaweza, kuishi bila wao,wanajisahaulisha.wafuatilie historia ya Rais wa Nicaraguay.