KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
SIRI IMEFICHUKA BAADA YA CHADEMA KUSHTUKIA MCHEZO MCHAFU UNAOENDESHWA NA CCM KWA KUWAHONGA MAKADA WA CHADEMA ILI WAJIUZURU KWA MARENGO YA KUSHINIKIZA KURUDISHWA KWA ZITTO KATIKA NYAZIFA ZAKE!!;
Barua za matamko ya waliokuwa wanachama wa chadema wanaojiuzuru zimeandikwa na mtu mmoja, katika barua hizo mambo yote yanashabihiana,
1-Wote wanapinga maamuzi ya kamati kuu ya Chadema,
2-Wote wanamzungumzia mtu mmoja Mh Zitto,
3-Wote wametumia font moja,
4-Wote wamekosea herufi za mwisho badala ya kuandika kujiuzuru wao wameandika kujiudhuru,
5-Wote baada ya kujiuzuru uongozi wamesisitiza kubaki wanachama,
je Barua hizi ni kwanini zinafanana sana??
je ziliandikwa na mtu mmoja na wao wakapewa wasome tu??
je nikwanini hawakuwahi kunun'gunika kabla au kulalamika??
Interenjensia ya Chadema ipo makini kabisa na soon wanaoratibu jambo hilo watakuwa hadharani,
WE SHALL OVERCOME.
Barua za matamko ya waliokuwa wanachama wa chadema wanaojiuzuru zimeandikwa na mtu mmoja, katika barua hizo mambo yote yanashabihiana,
1-Wote wanapinga maamuzi ya kamati kuu ya Chadema,
2-Wote wanamzungumzia mtu mmoja Mh Zitto,
3-Wote wametumia font moja,
4-Wote wamekosea herufi za mwisho badala ya kuandika kujiuzuru wao wameandika kujiudhuru,
5-Wote baada ya kujiuzuru uongozi wamesisitiza kubaki wanachama,
je Barua hizi ni kwanini zinafanana sana??
je ziliandikwa na mtu mmoja na wao wakapewa wasome tu??
je nikwanini hawakuwahi kunun'gunika kabla au kulalamika??
Interenjensia ya Chadema ipo makini kabisa na soon wanaoratibu jambo hilo watakuwa hadharani,
WE SHALL OVERCOME.