Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kuondoa hisia za "mwamba ngoma huvutia kwao" Chadema ninawashauri waajiri Ernst & Young au PRICE-WATERHOUSE COOPERS ambayo ni kampuni yenye sifa za kimataifa katika kufuatilia wizi wa aina zote za kalamu kwa utaalamu ujulikanao kama............."forensic auditing" ili kujua ni nani kweli kati ya Dr. Slaa na Jk alishinda Uraisi........
Taarifa ya kampuni ya ukaguzi wa mahesabu yenye hadhi ya kimataifa kama hiyo ya PRICE-WATERHOUSE COOPERS au Deolette Touche zenye hadhi hiyo zaweza kutoa uchambuzi ambao utakubalika kimataifa na hivyo kumuumbua JK mchana kweupe kuwa kumbe ni mwizi wa kura.........
Tukumbuke ni kampuni ya Ernst & Young ambao waligundua wizi wa EPA na hivyo tusidharau kwenye nyanja hizo kazi hii yaweza kuwachukua takribani wiki mbili hivi na taarifa yao kukabidhiwa kwa waangaliz wa kimataifa, ofisi za mabalozi wote hapa nchini na kwa JK mwenyewe ili tukae chini kama taifa na kupata ufumbuzi wa kudumu haswa wa hii NEC uchwara kabisa........
Taarifa ya kampuni ya ukaguzi wa mahesabu yenye hadhi ya kimataifa kama hiyo ya PRICE-WATERHOUSE COOPERS au Deolette Touche zenye hadhi hiyo zaweza kutoa uchambuzi ambao utakubalika kimataifa na hivyo kumuumbua JK mchana kweupe kuwa kumbe ni mwizi wa kura.........
Tukumbuke ni kampuni ya Ernst & Young ambao waligundua wizi wa EPA na hivyo tusidharau kwenye nyanja hizo kazi hii yaweza kuwachukua takribani wiki mbili hivi na taarifa yao kukabidhiwa kwa waangaliz wa kimataifa, ofisi za mabalozi wote hapa nchini na kwa JK mwenyewe ili tukae chini kama taifa na kupata ufumbuzi wa kudumu haswa wa hii NEC uchwara kabisa........