CHADEMA wasaka anwani za wagombea CCM wa kura za maoni wasioteuliwa

mkafrend

JF-Expert Member
May 12, 2014
3,047
1,503
WanaJf, salaam!
Ni vigumu kuamini hili lakini pia ni aibu kwa chama kikubwa kama CHADEMA kuanza kusaka anwani na namba za simu za makada waliokuwa wanagombea ubunge ndani ya CCM na kwa bahati mbaya hawakuweza kuteuliwa. Nia ya viongozi hao kusaka mawasiliano yao ni kutaka kuanza kuwarubuni ili wahamie kwao.

Ninachowashauri ndugu zangu mliokuwa mnagombea kura za maoni kaeni njia kuu bila kubabaika kwa kuwa Mhe. John Pombe Magufuli asingeweza kumteua kila mmoja kushika uongozi wa nchi hii; naamini kuwa kazi bado zipo nyingi na MUNGU atawasimamisha kwa wakati aupendao. Lakini pia katika mazingira yenu endeleeni kukihubiri CCM ili kijijenge zaidi na kuongeza idadi ya wafuasi.

Lakini katika vita ya kusaka ubunge endeleeni kujiweka sawa kwa kuwa miaka haikawii kuisha - jiimarisheni na kushiriki na wananchi kwa mambo mbalimbali ya kijamii ili wananchi wawakumbuke. Changieni madawati, CHIF, na kutatua kero za wananchi kama bodaboda n.k
Nachowathibitishia ni kuwa hata Mhe. Dkt. John Magufuli alipoanza siasa mara ya kwanza Biharamulo alianguka na hakuteuliwa kushika nafasi yoyote nchini wala hakuhama chama.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!!!!
 
Huyu inawezekana ni yule msemaji wa CCM kujibizana naye ni kupoteza energy bure ........
 
WanaJf, salaam!
Ni vigumu kuamini hili lakini pia ni aibu kwa chama kikubwa kama CHADEMA kuanza kusaka anwani na namba za simu za makada waliokuwa wanagombea ubunge ndani ya CCM na kwa bahati mbaya hawakuweza kuteuliwa. Nia ya viongozi hao kusaka mawasiliano yao ni kutaka kuanza kuwarubuni ili wahamie kwao.

Ninachowashauri ndugu zangu mliokuwa mnagombea kura za maoni kaeni njia kuu bila kubabaika kwa kuwa Mhe. John Pombe Magufuli asingeweza kumteua kila mmoja kushika uongozi wa nchi hii; naamini kuwa kazi bado zipo nyingi na MUNGU atawasimamisha kwa wakati aupendao. Lakini pia katika mazingira yenu endeleeni kukihubiri CCM ili kijijenge zaidi na kuongeza idadi ya wafuasi.

Lakini katika vita ya kusaka ubunge endeleeni kujiweka sawa kwa kuwa miaka haikawii kuisha - jiimarisheni na kushiriki na wananchi kwa mambo mbalimbali ya kijamii ili wananchi wawakumbuke. Changieni madawati, CHIF, na kutatua kero za wananchi kama bodaboda n.k
Nachowathibitishia ni kuwa hata Mhe. Dkt. John Magufuli alipoanza siasa mara ya kwanza Biharamulo alianguka na hakuteuliwa kushika nafasi yoyote nchini wala hakuhama chama.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!!!!


Watu wanafanya marketing sasa wewe baki na ujima wako unafkiri ni enzi za kidumu chama
 
WanaJf, salaam!
Ni vigumu kuamini hili lakini pia ni aibu kwa chama kikubwa kama CHADEMA kuanza kusaka anwani na namba za simu za makada waliokuwa wanagombea ubunge ndani ya CCM na kwa bahati mbaya hawakuweza kuteuliwa. Nia ya viongozi hao kusaka mawasiliano yao ni kutaka kuanza kuwarubuni ili wahamie kwao.

Ninachowashauri ndugu zangu mliokuwa mnagombea kura za maoni kaeni njia kuu bila kubabaika kwa kuwa Mhe. John Pombe Magufuli asingeweza kumteua kila mmoja kushika uongozi wa nchi hii; naamini kuwa kazi bado zipo nyingi na MUNGU atawasimamisha kwa wakati aupendao. Lakini pia katika mazingira yenu endeleeni kukihubiri CCM ili kijijenge zaidi na kuongeza idadi ya wafuasi.

Lakini katika vita ya kusaka ubunge endeleeni kujiweka sawa kwa kuwa miaka haikawii kuisha - jiimarisheni na kushiriki na wananchi kwa mambo mbalimbali ya kijamii ili wananchi wawakumbuke. Changieni madawati, CHIF, na kutatua kero za wananchi kama bodaboda n.k
Nachowathibitishia ni kuwa hata Mhe. Dkt. John Magufuli alipoanza siasa mara ya kwanza Biharamulo alianguka na hakuteuliwa kushika nafasi yoyote nchini wala hakuhama chama.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!!!!!!
Hivi wewe hukugombea ubunge na ukakatwa? Tunakutaka
 
chadema nichama kikubwa sana nichama pekee tz. ukipita na kadi yake unagombaniwa mpaka unaweza kuchaniwa hata shati sasa kwann tuwapigie cm nakuwabembeleza naka nihivyo kuna kosa gani
acha uwoga!!
 
Nawaasa jamani waleee waligombea na kushindwa kura za maoni wabaki njia kuu - kwani hili nalo linakuuma wewe usilengwa?
 
WanaJf, salaam!
Ni vigumu kuamini hili lakini pia ni aibu kwa chama kikubwa kama CHADEMA kuanza kusaka anwani na namba za simu za makada waliokuwa wanagombea ubunge ndani ya CCM na kwa bahati mbaya hawakuweza kuteuliwa. Nia ya viongozi hao kusaka mawasiliano yao ni kutaka kuanza kuwarubuni ili wahamie kwao.
!

Hii habari ninavyoiona ni kama kuna mtu kaachwa kwenye teuzi za Magufuli kwa hiyo anajipigia debe Magufuli amkumbuke kwa kutishia nyau kuwa ana soko CHADEMA!!!!
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom