Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
leteni mswada hapa tuusome
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi sana, mambo ya kupelekwa pelekwa yamepitwa na wakati, watoe tamko mapema tumechoka, hii nchi c ya salima kikwete wala prince wala ****** mwenyewe,
Hivi hawa watu wanaugua ugonjwa wa akili au wana mapepo?. Ni mara ngapi wananchi wamesema wanataka kupunguza madaraka ya rais? Kwa nini hawasikii? Draft ya kwanza imekataliwa kwa makosa haya haya ya sasa, wanataka wananchi wafanye nini? waingie barabarani?
Muda wa kufunika kombe mwanaharamu apite haupo, miaka 50 tuna uzoefu wa kutosha. Warekebishe huo mswada au wasubiri Tahriri Square.
Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa amesema Chadema haitambui mswada wa mchakato wa katiba mpya kwani umechakachuliwa na bado umempa madaraka makubwa Rais kuingilia mchakato huo.Dr Slaa ameonya kama serikali haitasalimu amri na kubadilisha basi Chadema itawaongoza watanzania kuupinga kwa njia zote itakazoona zinafaa. SOURCE-ITV SAA 2 HABARI
Mwenye hiyo rasimu tafadhari haiweka hapa.
tafuta thread ya Mzee Mwanakijiji alishaiweka hapa na watu wakachangia, fanya homework itafute kwenye post za MMKJJ
Nami naunga mkono hoja.
............Tukumbushane lakini, hivi tumeshaandaa mswada mbadala ambao ndiyo utaongoza hoja kule mjengoni na baadae kwa wananchi (itakaposhindikana mjengoni)?
.......Je, tuna rasimu ya Katiba tuitakayo kwa ajili ya uamsho wa umma?