Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Kufuatia kusomwa jana bungeni kwa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa, ambao pamoja na mambo mengine, unapiga marufuku vikundi vya ulinzi vya Vyama vya Siasa, vikiwemo: Red Brigade, Green Guard na vingine.
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema, pamoja na mambo mengine alipinga juu ya Muswada huo kupiga marufuku vikundi vya ulinzi na kudai kuwa, ulinzi ni jukumu la kila mtu kwa mujibu wa Katiba.
Hapa ndipo penye shida, kuna watu wanadai kila siku kuwa, wanapigania Utawala wa Sheria but still wanaonyesha kuwa, shida yao siyo kuheshimu sheria za Nchi bali wawe na uhuru wa kufanya wayatakayo kinyume na Katiba. Wanatamani Tanzania iwe a rogue State.
Hao wanaojidai kupigania Utawala wa Sheria, wamesahau namna Wajerumani walivyokuwa wakimpitezea Adolf Alois Hitler na Kikundi cha Sturmabteilung (SA) na pia kingine cha schutzstaffel (SS). Hivi vikundi licha ya kutoa show matata mitaani iliyowafurahisha Wajerumani waliokuwa very desperate katika miaka ya Inter-Wars Period (1918 - 1933) lakini ndivyo vilivyokuwa vikitumiwa na Manazi kuwafuatilia mbali Wapinzani wao wa kisiasa na makundi yaliyoonekana inferior katika jamii ya Wajerumani hasa Slavs na Jews. Hofu ya uasi na mapinduzi, ndiyo yaliyochangia sana Rais na shujaa wa kivita, Jenerali Paul Hindenburg kumteua Hitler kuwa Chancellor mwaka 1933.
Hayo hayo ya Ujerumani ndiyo hayo hayo yaliyokuwa yamemuweka madarakani Benito Mussolini nchini Italia muongo mmoja kabla. So, Historia ni mwalimu tena hakuna mwalimu mzuri wa ubovu wa vikundi hivi kama Ujerumani, hivyo natarajia CDU/CSU, pamoja na SPD waishauri CHADEMA juu ya madhara ya vikundi hivyo. Faida zake ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya vikundi hivyo.
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema, pamoja na mambo mengine alipinga juu ya Muswada huo kupiga marufuku vikundi vya ulinzi na kudai kuwa, ulinzi ni jukumu la kila mtu kwa mujibu wa Katiba.
Hapa ndipo penye shida, kuna watu wanadai kila siku kuwa, wanapigania Utawala wa Sheria but still wanaonyesha kuwa, shida yao siyo kuheshimu sheria za Nchi bali wawe na uhuru wa kufanya wayatakayo kinyume na Katiba. Wanatamani Tanzania iwe a rogue State.
Hao wanaojidai kupigania Utawala wa Sheria, wamesahau namna Wajerumani walivyokuwa wakimpitezea Adolf Alois Hitler na Kikundi cha Sturmabteilung (SA) na pia kingine cha schutzstaffel (SS). Hivi vikundi licha ya kutoa show matata mitaani iliyowafurahisha Wajerumani waliokuwa very desperate katika miaka ya Inter-Wars Period (1918 - 1933) lakini ndivyo vilivyokuwa vikitumiwa na Manazi kuwafuatilia mbali Wapinzani wao wa kisiasa na makundi yaliyoonekana inferior katika jamii ya Wajerumani hasa Slavs na Jews. Hofu ya uasi na mapinduzi, ndiyo yaliyochangia sana Rais na shujaa wa kivita, Jenerali Paul Hindenburg kumteua Hitler kuwa Chancellor mwaka 1933.
Hayo hayo ya Ujerumani ndiyo hayo hayo yaliyokuwa yamemuweka madarakani Benito Mussolini nchini Italia muongo mmoja kabla. So, Historia ni mwalimu tena hakuna mwalimu mzuri wa ubovu wa vikundi hivi kama Ujerumani, hivyo natarajia CDU/CSU, pamoja na SPD waishauri CHADEMA juu ya madhara ya vikundi hivyo. Faida zake ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya vikundi hivyo.