Ehhee, hii sasa ni issue. Ebu nipe nyeti zaidi za huyu bwana, ningependa kujua zaidi. Sikujua kuwa kumbe hata degree hakumaliza, basi bongo tuna kazi. Inakuwaje watu matapeli wanapenya kwenye sehemu nyeti katika taifa letu?
Kitila unataka kugombea Singida? naona unaanza kukusanya nondos haya mkuu kila la kheri...