Endeleaaa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,485
- 738
Pengine nipo nyuma kitaarifa. wana JF na chadema kwa ujumla sijamuona mh. Mbunge Halima Mdee kwa muda. Mdee alikuwa changamoto nyingine ndani ya Bunge baada ya Zitto lakini kwa sasa hasikiki wala kuonekana. Chadema kulikoni. Watanzania wengine tungefurahia kujua kulikoni.
Kwa wanaojua wasifu wa huyu mwanadada aliyekuwa mwiba kwenye kikao cha bajeti cha mwaka jana tushushieni na wengine tumjue vizuri zaidi
Demokrasia Daima...
Kwa wanaojua wasifu wa huyu mwanadada aliyekuwa mwiba kwenye kikao cha bajeti cha mwaka jana tushushieni na wengine tumjue vizuri zaidi
Demokrasia Daima...