Nakushukuru , lakini tayari uko uzi humu humu ulioweka yote yaliyozungumzwa na John Mrema
Wewe ni geniusKwenye kura mnaipigia CCM lakini majukumu mnataka kuivisha chadema
Ficha ujinga wako basi..hiyo agenda namba 4 imeandikwa nini?!!Nilifikiri wanaongelea hali ya maisha ya wananchi yalivyo sasa kuiambia serikali kumbe ni schedule
Kuna mahali hapako sawa
Safari bado ni ndefu...
Hakuna chama kimetoka kusemea wananchi kuhusu ugumu wa maisha swala la mafuta kuja na takwimu kuwafahamisha wananchi tunathamini vikao
Tutafika mwako 2060
Hao wanachukua pesa kwa mlango wa nyuma , hakuna agenda ni kupotezeana mda tuWana kwenda kuahirisha kikao cha halmashauri kuu. Tuta pigwa danadana hadi 2025 covid 19 wamalize muda wao.
Si utoke wewe uwasemee au wewe huna mdomo?Nilifikiri wanaongelea hali ya maisha ya wananchi yalivyo sasa kuiambia serikali kumbe ni schedule
Kuna mahali hapako sawa
Safari bado ni ndefu...
Hakuna chama kimetoka kusemea wananchi kuhusu ugumu wa maisha swala la mafuta kuja na takwimu kuwafahamisha wananchi tunathamini vikao
Tutafika mwako 2060
kwani umelazimishwa kusikiliza wala kufuatilia?Hao wanachukua pesa kwa mlango wa nyuma , hakuna agenda ni kupotezeana mda tu
Ahaa wewe si uende chama chako chakavu cha Lumumba, unataka chadema ikusemee nini?!Nilifikiri wanaongelea hali ya maisha ya wananchi yalivyo sasa kuiambia serikali kumbe ni schedule
Kuna mahali hapako sawa
Safari bado ni ndefu...
Hakuna chama kimetoka kusemea wananchi kuhusu ugumu wa maisha swala la mafuta kuja na takwimu kuwafahamisha wananchi tunathamini vikao
Tutafika mwako 2060
je ikitokea baraza likatoka na kauli moja ya kuwasamehe COVID 19 kisha ikawataka wajivue ubunge waliopachikwa na yule mgonjwa NDUGAYY warudi wawe wanachama wa kawaida tu yaani waanze upyaaaaa kisha chama kiteue upya wabunge wapya njje ya hawa COVID 19... JE ITAKUA NI MAAMUZI SAHIHI?Mapema kabisa MWALLA niko hapa
Kwenye kura mnaipigia CCM lakini majukumu mnataka kuivisha chadema