CHADEMA waondoa pingamizi dhidi ya maombi ya kina Mdee ya zuio la muda

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,269
Baada ya Chadema kuondoa pingamizi lao, kina Mdee nao wameamua kuondoa pingamizi ambalo walikuwa wameliweka dhidi ya kiapo kinzani cha Chadema.

Sasa Mahakama itaanza kusikiliza maombi ya msingi ya ridhaa ya kufungua rasmi shauri la kupinga kina Mdee kuvuliwa uanachama.

KIBATALA: Maombi ya zuio yameletwa pamoja na maombi ya kuomba kibali cha kufungua kesi

Kwa kuzingatia shauri hili inabdi liishe ndani ya siku14 hivyo tunaomba kuondoa pingamizi la zuio kwakua tayari mahakama imeshatoa kibali

Tunaomba twende kwenye hoja za msingi wa shauri husika

Wakili Panya: Kwa muktadha huo tulikua tumefile P.O dhidi ya mjibu maombi wa kwanza nasi pia tunaomba tuyaondoe ili kwenda kumaliza shauri kwa haraka.

NB: Haya mapingamizi yalikuwa yanachelewesha kesi ya msingi kuanza.
 
Hivi Kibatala na Jopo Lake Walitegeme Mustapha Ismail Kambona akatae Maombi ya hao Akina Halima wasiwepo Bungeni?
.
I know Him Aiseeeh ni Bora Mugeta J Kulipo Ismail, Màana kama Mtu Alikuwa Ni Jaji Wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha Ila Sasa Yuko Dar Tena aliteuliwa Juzi Tu Kwa Position Nyingine.
.
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es salaam imetupilia mbali maombi ya mawakili wa ChademaTz walioomba kuondolewa kwa zuio la kutofanyika jambo lolote kwenye Ubunge wa halimamdee na wenzake hadi hapo kesi ya msingi itakaposikilizwa .
 
Baada ya Chadema kuondoa pingamizi lao, kina Mdee nao wameamua kuondoa pingamizi ambalo walikuwa wameliweka dhidi ya kiapo kinzani cha Chadema.

Sasa Mahakama itaanza kusikiliza maombi ya msingi ya ridhaa ya kufungua rasmi shauri la kupinga kina Mdee kuvuliwa uanachama.

KIBATALA: Maombi ya zuio yameletwa pamoja na maombi ya kuomba kibali cha kufungua kesi

Kwa kuzingatia shauri hili inabdi liishe ndani ya siku14 hivyo tunaomba kuondoa pingamizi la zuio kwakua tayari mahakama imeshatoa kibali

Tunaomba twende kwenye hoja za msingi wa shauri husika

Wakili Panya: Kwa muktadha huo tulikua tumefile P.O dhidi ya mjibu maombi wa kwanza nasi pia tunaomba tuyaondoe ili kwenda kumaliza shauri kwa haraka.

NB: Haya mapingamizi yalikuwa yanachelewesha kesi ya msingi kuanza.
KESI INASEMAJE KWANI
 
Catherine Ruhe yuko busy na mwenyekiti

naona ana matumaini ya akina Mdee kumwagwa ili wao wapate nafasi
Mbona alipigiwa simu na Mdee kuhusu kupewa kiti ndipo akampigia Mnyika kuuliza kama Kamati kuu ilishatoa Baraka waende bungeni? Alipoambiwa NO naye kamjibu Mdee NO!!

Sio kila mwanasiasa ana Bei, anajua 2025 ataingia tu mjengoni sasa haraka za nini uharibu credibility!
 
Jamaa limeshikwa uongo
mjlol (1).png
 
Baada ya Chadema kuondoa pingamizi lao, kina Mdee nao wameamua kuondoa pingamizi ambalo walikuwa wameliweka dhidi ya kiapo kinzani cha Chadema.

Sasa Mahakama itaanza kusikiliza maombi ya msingi ya ridhaa ya kufungua rasmi shauri la kupinga kina Mdee kuvuliwa uanachama.

KIBATALA: Maombi ya zuio yameletwa pamoja na maombi ya kuomba kibali cha kufungua kesi

Kwa kuzingatia shauri hili inabdi liishe ndani ya siku14 hivyo tunaomba kuondoa pingamizi la zuio kwakua tayari mahakama imeshatoa kibali

Tunaomba twende kwenye hoja za msingi wa shauri husika

Wakili Panya: Kwa muktadha huo tulikua tumefile P.O dhidi ya mjibu maombi wa kwanza nasi pia tunaomba tuyaondoe ili kwenda kumaliza shauri kwa haraka.

NB: Haya mapingamizi yalikuwa yanachelewesha kesi ya msingi kuanza.
Kwa kuzingatia shauri hili inabdi liishe ndani ya siku14 hivyo tunaomba kuondoa pingamizi la zuio kwakua tayari mahakama imeshatoa kibali..

Mahakama itimize hii ahadi bila mizengwe wala visingizio
 
Back
Top Bottom