Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Mpaka sasa hivi wamedhibitiwa kwa maghasia waliokuwa wanaratibu kuyafanya kwa kisingizio cha kutaka kudai katiba mpya.
Madhari hiki ni Chama cha Umma na kwa kuwa kipo chini ya mwavuri wa msajiri wa vyama vya siasa. Basi wanapaswa kuomba radhi ili umma wa watanzania wawasamehe.
My take: Kuwa na chama ambacho kinajihudumia kwa ruzuku ambayo ni kodi toka kwa wananchi alafu kikahusika kuratibu ugaidi ni aibu.
Madhari hiki ni Chama cha Umma na kwa kuwa kipo chini ya mwavuri wa msajiri wa vyama vya siasa. Basi wanapaswa kuomba radhi ili umma wa watanzania wawasamehe.
My take: Kuwa na chama ambacho kinajihudumia kwa ruzuku ambayo ni kodi toka kwa wananchi alafu kikahusika kuratibu ugaidi ni aibu.