Nafikiri mumenielewa chadema.... Huo ndo muondo wenu wa chama kwa hiyo kamwe hamtaweza ongoza nchi hii kwa sanduku la kura kwa muundo huo....tofauti na ccm .
wewe wasema,naona una hasira za kunyimwa ugali na mkeo,endelea kulelewa wewe mume bw..eg..e
Nafikiri mumenielewa chadema.... Huo ndo muondo wenu wa chama kwa hiyo kamwe hamtaweza ongoza nchi hii kwa sanduku la kura kwa muundo huo....tofauti na ccm .
Kwani hujawagundua hawa cdm inawanyima usingizi Ndio maana wanahangaika nayo it has really become a threat kwao yetu macho tuWhy kila siku mnaiota CHADEMA tu nyie watu? Kwani hakuna mengine ya kudiscuss au ndo tuseme CDM inawanyima hata usingizi? Maana kila member wa CCM saiv ni kama msemaji wa CDM,Acheni hizo fanyeni kazi na mtimize ahadi kama 100 mlizotoa ktk uchaguzi uliopita,vinginevyo judgement day inakuja 2015.
Upo sahihi kabisa, na ndio maana chaguzi za UVCCM huishia kutwangana mangumi na kutoleana mitusi wakituhumiana rushwa mpaka za ngono huku mwenyekiti wa chama akiwashangaa wanawake wa CCM (UWT) kuwa nao vinara wa rushwa!tatizo la chadema narudia tena pokeeni ukweli hata kama ni mchungu lengo mufikie malengo... Chadema kinaongozwa toka juu hakina hata wajumbe wa mashina katika vijiji... Ndomana hata kwenye kampeni za madiwani viongozi wa kitaifa ndo wameenda fanya kampeni.. Lakini ccm hawapo hivyo wanaotekeleza sera za ccm wako chini na wanawaminiwa hadi wanawaachia kufanya kampeni.
Vijijini ccm imetapakaa kila kona lakini CDM iko taifa tu....
Nafikiri mtakuwa mumenielewa post yangu badala ya kutoa matusi...
Chadema bado saa msiwaze kuchukua nchi leo wala 2015 kwa sanduku la kula labda 2060 huko..
.Ndio maana sina chama.kila kukicha matusi na jazba hata kama kunaukweli ndani yaketatizo la chadema narudia tena pokeeni ukweli hata kama ni mchungu lengo mufikie malengo... Chadema kinaongozwa toka juu hakina hata wajumbe wa mashina katika vijiji... Ndomana hata kwenye kampeni za madiwani viongozi wa kitaifa ndo wameenda fanya kampeni.. Lakini ccm hawapo hivyo wanaotekeleza sera za ccm wako chini na wanawaminiwa hadi wanawaachia kufanya kampeni.
Vijijini ccm imetapakaa kila kona lakini CDM iko taifa tu....
Nafikiri mtakuwa mumenielewa post yangu badala ya kutoa matusi...
Chadema bado saa msiwaze kuchukua nchi leo wala 2015 kwa sanduku la kula labda 2060 huko..
tatizo la chadema narudia tena pokeeni ukweli hata kama ni mchungu lengo mufikie malengo... Chadema kinaongozwa toka juu hakina hata wajumbe wa mashina katika vijiji... Ndomana hata kwenye kampeni za madiwani viongozi wa kitaifa ndo wameenda fanya kampeni.. Lakini ccm hawapo hivyo wanaotekeleza sera za ccm wako chini na wanawaminiwa hadi wanawaachia kufanya kampeni.
Vijijini ccm imetapakaa kila kona lakini CDM iko taifa tu....
Nafikiri mtakuwa mumenielewa post yangu badala ya kutoa matusi...
Chadema bado saa msiwaze kuchukua nchi leo wala 2015 kwa sanduku la kula labda 2060 huko..
tatizo la chadema narudia tena pokeeni ukweli hata kama ni mchungu lengo mufikie malengo... Chadema kinaongozwa toka juu hakina hata wajumbe wa mashina katika vijiji... Ndomana hata kwenye kampeni za madiwani viongozi wa kitaifa ndo wameenda fanya kampeni.. Lakini ccm hawapo hivyo wanaotekeleza sera za ccm wako chini na wanawaminiwa hadi wanawaachia kufanya kampeni.
Vijijini ccm imetapakaa kila kona lakini CDM iko taifa tu....
Nafikiri mtakuwa mumenielewa post yangu badala ya kutoa matusi...
Chadema bado saa msiwaze kuchukua nchi leo wala 2015 kwa sanduku la kula labda 2060 huko..