CHADEMA wanataka mikutano ya hadhara wakati wanatangazia dunia nzima kuwa Tanzania kuna CORONA. Hivi wazungu watawaelewa hawa watu?

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,911
51,902
CHADEMA Wanataka mikutano ya hadhara wakati wanatangazia dunia nzima kuwa Tanzania kuna CORONA! Hivi wazungu watawaelewa hawa watu?

Lissu amekuwa akihojiwa na vyombo kibao vya kimataifa akisema Tanzania kuna Corona kweli kweli nyingi ya kutosha ila serikali inaficha taarifa! Ulaya sababu ya Corona mikutano ya hadhara ni marufuku.

Hata leo hii mazishi ya Prince Phillip wa Uingereza yatakayofanyika kuanzia saa sita na nusu yatahudhuriwa na ndugu wa karibu wa familia ya kifalme 30 tu.

Sasa hata Watanzania hivi CHADEMA tuwaelewaje? Mbowe mwenyewe kasema Corona Tanzania iko kibao serikali ilete chanjo yeye keshachanja. Halafu hapo hapo wanataka mikutano ya hadhara wanata kuua watu kwa Corona au?
 
Achana nao mkuu. Chadema akili zao wanazielewa wenyewe. Raha yao ni kupinga kila kitu. Wanasema wasichokiamini, Wanaamini wasichokitenda na wanatenda kwa kuzingatia hisia na ukweli wa mioyo yao. Kwa hiyo, matendo yao ndiyo yanayozungumza ukweli wao.

Imagine Mwaipaya na Pambalu wanavyoshadadia serikali ichukue hatua dhidi ya maambukiz ya COVID-19, jana wao hao hao wakakusanya watu wengi kwenye kichumba chenye poor ventilation, congested wanaimba na kutemeana mate, na Hakuna alokua kavaa mask Wala ku maintain social distance. Sina hakika Kama washiriki walikua screened kabla ya kuingia kwenye kichumba kile.

Hapo ndipo napoamini kuwa, CDM wanaichukulia siasa ya Tanzania kama utani wa Simba na Yanga.
 
Huwa najiuliza ile nguvu ya kudeki barabara kwa ajili ya Lowassa nilipata wapi? Ile nguvu niliyotumia kutembea kwa miguu kutoka Mbezi Magari 7 hadi Shule ya msingi Msigani kumpigia kura Myika na Lowassa nikipata wapi wakati aina ya siasa za CHADEMA ni hizi hizi miaka nenda miaka rudi!

Mungu nisamehe sikujua kuwa nilikuwa nimepotea kwenye Unafiki ambao hata Yesu alifundisha kuwa kuna watu wanajua kusafisha kikombe kwa nje wakati ndani kimejaa ukoko!
 
CHADEMA Wanataka mikutano ya hadhara wakati wanatangazia dunia nzima kuwa Tanzania kuna CORONA!! Hivi wazungu watawaelewa hawa watu?
Similarly, serikali ya CCM inakataza mikutano ya hadhara wakati inaitangazia dunia kuwa Tanzania hakuna CORONA. Hivi wazungu watawaelewa hawa watu?
 
Huwa najiuliza ile nguvu ya kudeki barabara kwa ajili ya Lowassa nilipata wapi? Ile nguvu niliyotumia kutembea kwa miguu kutoka Mbezi Magari 7 hadi Shule ya msingi Msigani kumpigia kura Myika na Lowassa nikipata wapi wakati aina ya siasa za CHADEMA ni hizi hizi miaka nenda miaka rudi!
Mungu nisamehe sikujua kuwa nilikuwa nimepotea kwenye Unafiki ambao hata Yesu alifundisha kuwa kuna watu wanajua kusafisha kikombe kwa nje wakati ndani kimejaa ukoko!
Dah pole sana mkuu. Ila nadhani umeshajifunza sasa hivi kuhusu chadema ni watu wa aina gani. Hawa watu nasemaga siku zote siasa zao ni za kuonewa huruma wanataka huruma ya watu ndio wapate madaraka na huu ni ujinga fikra zao za mapambano ya kisiasa zimefika mwisho hawajui waje na staili gan saa hivi
 
Magufuli alitaka shughuli zote ziendelee bila kukoma hata kama kuna corona, sasa wewe umeanza kumpinga boss wako?
 
Hili ndio tatizo kubwa sana la Chadema. Kuna tatizo la leadership pale! Tatizo lao kubwa ni timing kwa yale wanayoyadai! Hawajui kusoma ramani ya siasa kabisa! Kamanda mzuri ni lazima awe na uwezo wa kumsoma adui hasa kujua nguvu na udhaifu wa adui wako, hilo Chadema limewapiga chenga! Hiki ni chama kikubwa lkn kimekosa strategists wazuri wa kisiasa. Ni kweli katiba inaruhusu mikutano ya kisiasa lkn kutokana na gonjwa la COVID-19 huwezi tena kudai mikusanyiko ya watu! Timing mbaya sana na hili ndio tatizo la Chadema. Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri na ukimsoma kwa makini anataka kuona tunafanya siasa za kistaarabu. Kwa maana hiyo wanasiasa wasitake kumpima au kutingisha kiberiti watakuwa wanafanya kosa kubwa sana la kiufundi!

Chadema kama chama kisiasa wamekuwa wakifanya makosa mengi sana lkn hawajifunzi mf. kama kumkaribisha EL kwenye chama chao.
 
Hili ndio tatizo kubwa sana la Chadema. Kuna tatizo la leadership pale! Tatizo lao kubwa ni timing kwa yale wanayoyadai! Hawajui kusoma ramani ya siasa kabisa! Kamanda mzuri ni lazima awe na uwezo wa kumsoma adui hasa kujua nguvu na udhaifu wa adui wako, hilo Chadema limewapiga chenga! Hiki ni chama kikubwa lkn kimekosa strategists wazuri wa kisiasa. Ni kweli katiba inaruhusu mikutano ya kisiasa lkn kutokana na gonjwa la COVID-19 huwezi tena kudai mikusanyiko ya watu! Timing mbaya sana na hili ndio tatizo la Chadema. Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza vizuri na ukimsoma kwa makini anataka kuona tunafanya siasa za kistaarabu. Kwa maana hiyo wanasiasa wasitake kumpima au kutingisha kiberiti watakuwa wanafanya kosa kubwa sana la kiufundi!

Chadema kama chama kisiasa wamekuwa wakifanya makosa mengi sana lkn hawajifunzi mf. kama kumkaribisha EL kwenye chama chao.
Hawako serious ndugu hawa tusipoteze mda kuwafikiria tena.
 
CHADEMA Wanataka mikutano ya hadhara wakati wanatangazia dunia nzima kuwa Tanzania kuna CORONA!! Hivi wazungu watawaelewa hawa watu?

Lisu amekuwa akihojiwa na vyombo kibao vya kimataifa akisema Tanzania kuna Corona kweli kweli nyingi ya kutosha ila serikali inaficha taarifa!!! Ulaya sababu ya Corona mikutano ya hadhara ni marufuku

Hata leo hii mazishi ya Prince Phillip wa Uingereza yatakayofanyika kuanzia saa sita na nusu yatahudhuriwa na ndugu wa karibu wa familia ya Kifalme 30 tu

Sasa hata watanzania hivi CHADEMA tuwaelewaje? Mbowe mwenyewe kasema Corona Tanzania iko kibao serikali ilete chanjo yeye keshachanja!!! Halafu hapo hapo wanataka mikutano ya hadhara wanata kuua watu kwa Corona au?
Mkuu wenzako wanapigania kuhubiri legacy ya baba yenu mwendazake wewe upo JF unazurura....sasa utalipwaje.
 
CHADEMA Wanataka mikutano ya hadhara wakati wanatangazia dunia nzima kuwa Tanzania kuna CORONA!! Hivi wazungu watawaelewa hawa watu?

Lisu amekuwa akihojiwa na vyombo kibao vya kimataifa akisema Tanzania kuna Corona kweli kweli nyingi ya kutosha ila serikali inaficha taarifa!!! Ulaya sababu ya Corona mikutano ya hadhara ni marufuku

Hata leo hii mazishi ya Prince Phillip wa Uingereza yatakayofanyika kuanzia saa sita na nusu yatahudhuriwa na ndugu wa karibu wa familia ya Kifalme 30 tu

Sasa hata watanzania hivi CHADEMA tuwaelewaje? Mbowe mwenyewe kasema Corona Tanzania iko kibao serikali ilete chanjo yeye keshachanja!!! Halafu hapo hapo wanataka mikutano ya hadhara wanata kuua watu kwa Corona au?
Huu sio muda wa mikutano, ni muda wa kazi
 
Back
Top Bottom