UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Kwahiyo wewe ukimuona mtu hotelini anakula unahitimisha anapenda sana kula ndio maana yupo hotelini anakula?Hili ni jukwaa la siasa, unawekaje pembeni mahaba ya kisiasa ukiwa ndani ya jukwaa hili?