Mr. Teacher
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 330
- 88
Mtoa mada 1. haelew historia ya union 2. kauliza & kujijib mwenyewe!!! A. Lisu hakumaanisha kuvunja muungano: u shuld understand kuwa katiba ya union inajumuisha union maters & non union maters ambayo ni ya Tanganyika. Hivyo kuwa na ushiriki saw, hasa wa kiimamuz ambako rais wa zenji anashiriki pia si sawa b'se other issues ni 4 Tanganyika only, why shuld he b involveld?
B. Union structure bado ni prob, hata ccm wanajua, wanafumbia macho tu, mf last year zenj wamebadili katiba na kumpa rais wao more na kuingilia nguv za union president, pia kujtangazia mipaka ya nchi as if wao ni sovereignty state: ajabu top leaders + bunge wamekaa kimya hadi leo, na hata hadi milele. Sasa akitokea mtu mmoja kuyasema anaonekana m,baya, no, we need to change
B. Union structure bado ni prob, hata ccm wanajua, wanafumbia macho tu, mf last year zenj wamebadili katiba na kumpa rais wao more na kuingilia nguv za union president, pia kujtangazia mipaka ya nchi as if wao ni sovereignty state: ajabu top leaders + bunge wamekaa kimya hadi leo, na hata hadi milele. Sasa akitokea mtu mmoja kuyasema anaonekana m,baya, no, we need to change