Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Masatu Says Thank You to First Lady For This Useful Post:
Back Bencher, kwi kwi kwi!
Masatu Says Thank You to First Lady For This Useful Post:
He he he,Naona hauko kawaida wewe. Acha kudandia gari,kumbe nawe unakurupuka hivi.
Mbona wewe usianze kujenga hoja? You are very shallow,ni wapi nimesema kwamba mtu akiisema CHADEMA ni mgonjwa,hebu acha vituko bibi.
Nimesoma thread nyingi na nimeona kwako wewe CHADEMA isiguswe!
nimeona anaeisema CHADEMA anatoa na sababu!sasa wewe badala ya kupangua na wewe kwa sababu zako basi unaishia tu kusema watu wapimwe akili kabla ya kujiunga!Kwanza hilo oni lako la kupimwa akili kabla ya kujiunga linaonyesha jinsi ulivyo shallow tena kwenye kijiko!
Haya endeleeni kukata nyanga!
Ben now you ere talking....kwanza hakuna ubaya wa ufisadi kama unavyojaribu kuonyesha wewe hapa...hakuna nchi duniani ilipata kuendelea bila kuwepo primitive accumulation of capital ambayo ikatumika kufanya investment....wakati huo kulikuwa na utumwa kama ambavyo marekani iliwatumia kukua,makoloni ambayo yaliwezesha nchi nyingi pia kukuwa pamoja na merchant period....kwa sasa hakuna namna unaweza kufanya hayo tena bali kuchukua pesa kutoka serikalini ambayo ilikuwa imekaa tu bila bot na kuinvest ili kujenga uwezo wa nchi....angalia matunda ya ufisadi huo ni gazeti bora la mwananchi linalifichua maovu mengi hapa nchini na limetoa ajira kwa watanzania zaidi ya mia tatu....angalia kiwila coal mine ilikuwa imekufa na sasa inatoa ajira kwa zaidi ya watanzania mia tano na umeme inadhalisha sasa,angalia bank m inalipa mishahara mizuri kuliko bank yoyote hapa tanzania,pia ni bank pekee kwa sasa inayotoa mikopo mikubwa kwa wakulima na kwa sasa deposit interest ni 14% ambayo hakuna bank imepata kufanya hivyo....sasa tungewapa pesa hizi nyinyi kizazi cha walalahoi mngeishia kuowa tu wake watatu au wanne.Hilo tatizo lako,usituambukize. Mbona hujengi hoja,unalialia tu hapa.?
Fisadi Mtoto,
Leo huoni aibu kuja kwenye hii thread? Manake jambo ambalo wanachama wa CHADEMA wamefanya halijawahi kufanywa na watu wa CCM including you guys,hamna ujasiri wa kufanya maandamano ya aina hiyo.Chadema ingetawala kungekua na Demokrasia.
Leo hii Nchimbi kawafisadi,bado mnasimama mnamuita mwenyekiti
Chenge kaifisadi Nchi bado mnamuita mwenyekiti wa maadili
Rostam ndiyo msiseme
Makamba nae ni katibu kilaza bado mnamgwaya,mtu wa std seven anawapeleka kama boya.
Waache CHADEMA wasimamie demokrasia,ninyi hao mnawaona kama watovu wa nidhamu.Aibu tupu. sasa sijui utasema vipi hapo.
mabadiliko kamwe hayawezi letwa na wewe ambae ulikuja mara ya kwanza dar ulipokuja kusoma udsm na hujarudi tena kijijini kwenu mpaka leo.unajidai nawe wa mjini eti.....polisi na jeshi ni kwa ajili ya kulinda tabaka tawala lisifanyiwe fujo na tabaka tawaliwa.hakuna namna mnaweza kumuondoa mtu kwa demokrasia mbona zenj cuf wameshinda uchaguzi zaidi ya mara mbili na hawajatawala?zimbabwe mbona hawajatawal?kenya pia the same acha ndoto za abunuwasi kaka
Mkamap and Masatu is the same guy with double IDs? naona kwanza kwa nicknames yanatokea mkoa mmoja, na itikadi kwenye mijadala ni mmoja...hata lugha zao zafanana ...hebu ufafanuzi jamani...
U. ROMBO
Ushirombo,
Are you really serious on this one? You don't need to spend even ten minutes to find out that Masatu and MkamaP are two different individuals.
MkamaP is using his real name; he said many times here that he has nothing to hide. I know him in real life and I can confirm that he is using his real name.
Masatu is from the golden age, old is gold. You may not agree with him but he is articulate, astute and hilarious at the same time. JF without people like Masatu, Game Theory and others won't be the same.
So let's stop looking for the identities of the messengers and instead concentrate on the arguments in front of us.
Back Bencher,kwi kwi kwi!
One word: crap!
Mkuu,unapenda matusi sio? I'll come back.
Na mtu yeyote asiniulize kitu,coz huyu jamaa anatukana na kuangaliwa tu.
Ushirombo,
Are you really serious on this one? You don't need to spend even ten minutes to find out that Masatu and MkamaP are two different individuals.
MkamaP is using his real name; he said many times here that he has nothing to hide. I know him in real life and I can confirm that he is using his real name.
Masatu is from the golden age, old is gold. You may not agree with him but he is articulate, astute and hilarious at the same time. JF without people like Masatu, Game Theory and others won't be the same.
So let's stop looking for the identities of the messengers and instead concentrate on the arguments in front of us.
Nenda rudi utanikuta hapa short-sighted... ukitukanwa utajua wewe? nenda shule kwanza ukasome ujue maan crap halafu ndio uje hapa ku argue hapa....
Mtanzania
Connecting dots suggests MkamaP and Masatu might be the same individual, from names, their language and even their thinking abilities....probably they are not identical twins......I agree with you JF without Mtanzania, Kada, Masatu, Mwanakijiji, FMES, Mwafrika wa Kike and others JF could be a boring place...... Tarime vipi mkuu am in limbo waiting to know what happening there!!