Kevo
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 1,333
- 52
Gazeti la Uhuru Limeripoti kwamba CHADEMA wameandamana ili kumtaka Mwenyekiti wao atoe maelezo ya kutosha kuhusiana na tuhuma zinazomkabili kwamba alihusika na kifi cha Chacha Wangwe.
Vilevile wamemtaka Mwenyekiti wao ajielezee kuhusiana na ufisadi unaomkabili kuhusiana na fedha za ruzuku vilevile kuhusiana na UKabila ikiwa ni sababu ya yeye kuwateua wabunge zaidi ya watano wa viti maalumu kutoka kwenye Mkoa wake wa KIlimanjaro ambao ni Wachagga.
MY TAKE
Sasa ikiwa vyama vya siasa ambavyo ni upinzani ambavyo tunavipigia debe vichukue madaraka kutoka kwa CCM haviwajibiki vyema nadani ya vyama je wakipewa nchi watafanya vyema?Maana this is just party wise wameshindwa wataweza kitaifa?
DR Slaa Mwenyewe wamemtuhumu kulinda ufisadi ndani ya chama chake ilihali huku nje ndio mpiga ufisadi.
JE TUTAFIKA?
Vilevile wamemtaka Mwenyekiti wao ajielezee kuhusiana na ufisadi unaomkabili kuhusiana na fedha za ruzuku vilevile kuhusiana na UKabila ikiwa ni sababu ya yeye kuwateua wabunge zaidi ya watano wa viti maalumu kutoka kwenye Mkoa wake wa KIlimanjaro ambao ni Wachagga.
MY TAKE
Sasa ikiwa vyama vya siasa ambavyo ni upinzani ambavyo tunavipigia debe vichukue madaraka kutoka kwa CCM haviwajibiki vyema nadani ya vyama je wakipewa nchi watafanya vyema?Maana this is just party wise wameshindwa wataweza kitaifa?
DR Slaa Mwenyewe wamemtuhumu kulinda ufisadi ndani ya chama chake ilihali huku nje ndio mpiga ufisadi.
JE TUTAFIKA?