ni ujinga kujifanya kuwa wewe una akili kuliko wote wale walioenda mule ndani ina maana chadema tu ndiyo unaona wana akili? kwa taarifa yako wengi ndiyo wenye akili yaliyobaki mapopoma ya chadema tu hamna watu humoNani afatilie huo ujinga
ni ujinga kujifanya kuwa wewe una akili kuliko wote wale walioenda mule ndani ina maana chadema tu ndiyo unaona wana akili? kwa taarifa yako wengi ndiyo wenye akili yaliyobaki mapopoma ya chadema tu hamna watu humoNani afatilie huo ujinga
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.
Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.
Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.
Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.
Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.
Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Watu waliovuruga Uchaguzi Mkuu 2020 ndio watoa mada!Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.
Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.
Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.
Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.
Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.
Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Kumbe mmesusa halafu mnafuatilia mtandaoni, wenzenu wanajadili mambo muhimu ya saida. Mabalozi mnaowakimbilia siku zote wapo, asasi za kiraia zipo mmebaki nyie na maria spaceWaswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.
Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.
Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.
Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.
Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.
Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Huo ni mkutano wa kutafuta upenyo wa kuvbisha matumbo.Wanapiga soga tu mda ufike walambe bahasha
Mbona we' mwenyewe unaozungumzia? Heri mimi sijasema!Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.
Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.
Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.
Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.
Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.
Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Hahahaa kikao cha familia? Yani hata ukoo hakijafika?Acha dharauKikao cha familia hakiwezi kushitua watu.
Chadema hawajielewi unatakiwa ukiwa wanasiasa kutumia every platform utakayoona President yupo tu air your comments sababu all international media pay attention where president is.Hicho kitu kwenye Marketing. Kinaitwa product or service positioning to local and international customers both English and other international languages speakers!!Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.
Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.
Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.
Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.
Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.
Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Mwehu kafariki 17.03.2021siasa za vurugu na wehu wehu za chadema zimepitwa na wakati, hizo zilikuwa zamani enzi watanzania wakiwa hawana elimu.
Aliyekuwa kijana mtiifu na mtumikia wasiokuwa na shukrani Diwani wa Gwarama msomi wa UDMS baada ya kuachana chadema Leo amekuja kukiuwa na kukizika jumla hapa Gwarama katani na ujumbe umesambaa Kakonko nzima sasa wananchi wanaondoa vibendela vyote na chadema ndio mwisho wake wilayana Kakonko
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.
Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.
Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.
Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.
Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.
Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Natamani ningekuelewa.Aliyekuwa kijana mtiifu na mtumikia wasiokuwa na shukrani Diwani wa Gwarama msomi wa UDMS baada ya kuachana chadema Leo amekuja kukiuwa na kukizika jumla hapa Gwarama katani na ujumbe umesambaa Kakonko nzima sasa wananchi wanaondoa vibendela vyote na chadema ndio mwisho wake wilayana Kakonko
Wanainchi wameeita zawadi ya sijui za mwisho wa mwaka
Onyo: ukifika Kakonko usipanue vidole juu huku sasa ni ccm na maendeleo sio muda wa kudai demokrasia
USSR
Mungu ibariki ChademaWaswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.
Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.
Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.
Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.
Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.
Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.