CHADEMA wanaongoza sana siasa za Tanzania, leo mkutano wa TCD umepoa

Nani afatilie huo ujinga
ni ujinga kujifanya kuwa wewe una akili kuliko wote wale walioenda mule ndani ina maana chadema tu ndiyo unaona wana akili? kwa taarifa yako wengi ndiyo wenye akili yaliyobaki mapopoma ya chadema tu hamna watu humo
 
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.

Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.

Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.

Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.

Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.

Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.

Ww acha ulevi or mental illness, una uhakika siku Mh. Rais alipokutana na Lissu nchi nzima ilisimama? CDM iko ICU mbona imebakia mitandaoni tu, hata ofisi zake sizioni.

Jamani, mkiwa mna post hizi threads make sure you are in a good health especially mentally.
 
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.

Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.

Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.

Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.

Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.

Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Watu waliovuruga Uchaguzi Mkuu 2020 ndio watoa mada!
Walioumiza na kuua watu ili wabaki madarakani unategemea nini toka kwao? Waacheni wale kodi zenu.
 
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.

Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.

Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.

Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.

Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.

Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Kumbe mmesusa halafu mnafuatilia mtandaoni, wenzenu wanajadili mambo muhimu ya saida. Mabalozi mnaowakimbilia siku zote wapo, asasi za kiraia zipo mmebaki nyie na maria space
 
Wanapiga soga tu mda ufike walambe bahasha
Huo ni mkutano wa kutafuta upenyo wa kuvbisha matumbo.

Zito ameomba hicho kikundi cha Vikoba kinachoitwa TCD, kiwe kinapewa ruzuku sawa na inavyopewa ACT. Mama kamjibu kuwa hilo linazungumzika. Hayo ni mafanikio makubwa sana kwa Zito, baye wakati wote anaangalia wapi atajipatia kipato bila jasho.
 
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.

Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.

Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.

Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.

Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.

Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Mbona we' mwenyewe unaozungumzia? Heri mimi sijasema!
 
Ule mkutano ni wajumbe wa pembeni wa ccm. Ni kikao chao kile so hakiwezi kua muhimu sana
 
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.

Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.

Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.

Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.

Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.

Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Chadema hawajielewi unatakiwa ukiwa wanasiasa kutumia every platform utakayoona President yupo tu air your comments sababu all international media pay attention where president is.Hicho kitu kwenye Marketing. Kinaitwa product or service positioning to local and international customers both English and other international languages speakers!!

Haya cha tafuteni julwaa Lenu ambali media zitakazohudhuria ni BBC swahili service,Sauti ya Ujerumani swahili service ana Voice of America swahili service!! Wazungu na swahili service wapi na wapi ? Raisi alipo ni patashika nguo kuchanika mumekosa golden Opportunity
Chadema hawajielewi wajinga nyie

Hamjui kuji position internationally mumezoea local politics
 
Aliyekuwa kijana mtiifu na mtumikia wasiokuwa na shukrani Diwani wa Gwarama msomi wa UDMS baada ya kuachana chadema Leo amekuja kukiuwa na kukizika jumla hapa Gwarama katani na ujumbe umesambaa Kakonko nzima sasa wananchi wanaondoa vibendela vyote na chadema ndio mwisho wake wilayana Kakonko

Wanainchi wameeita zawadi ya sijui za mwisho wa mwaka

Onyo: ukifika Kakonko usipanue vidole juu huku sasa ni ccm na maendeleo sio muda wa kudai demokrasia

USSR
IMG-20191222-WA0009.jpeg


IMG-20191222-WA0011.jpeg


IMG-20191222-WA0007.jpeg


IMG-20191222-WA0010.jpeg


IMG-20191222-WA0011.jpeg


IMG-20191222-WA0006.jpeg
 
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.

Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.

Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.

Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.

Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.

Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.


Ukweli ni kwamba Vyama vingine vya siasa vimejengewa picha ya kutokuaminika kwa watu na vimeshindwa kujitoa kabisa kwenye hilo shimo
 
Aliyekuwa kijana mtiifu na mtumikia wasiokuwa na shukrani Diwani wa Gwarama msomi wa UDMS baada ya kuachana chadema Leo amekuja kukiuwa na kukizika jumla hapa Gwarama katani na ujumbe umesambaa Kakonko nzima sasa wananchi wanaondoa vibendela vyote na chadema ndio mwisho wake wilayana Kakonko

Wanainchi wameeita zawadi ya sijui za mwisho wa mwaka

Onyo: ukifika Kakonko usipanue vidole juu huku sasa ni ccm na maendeleo sio muda wa kudai demokrasia

USSR
IMG-20191222-WA0009.jpeg


IMG-20191222-WA0011.jpeg


IMG-20191222-WA0007.jpeg


IMG-20191222-WA0010.jpeg


IMG-20191222-WA0011.jpeg


IMG-20191222-WA0006.jpeg
Natamani ningekuelewa.
 
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.

Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.

Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.

Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.

Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.

Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Mungu ibariki Chadema
 
Back
Top Bottom