CHADEMA wanaongoza sana siasa za Tanzania, leo mkutano wa TCD umepoa

Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.

Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.

Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.

Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.

Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.

Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
Wangempa usemaji wa TCD Steve Nyerere ingejulikana Leo Kuna mkutano.
 
ni ujinga kujifanya kuwa wewe una akili kuliko wote wale walioenda mule ndani ina maana chadema tu ndiyo unaona wana akili? kwa taarifa yako wengi ndiyo wenye akili yaliyobaki mapopoma ya chadema tu hamna watu humo
Ukipunguza jazba utaweza kufikiri kwa uhuru. Tume huru ndani ya katiba iliyopo ni utani hata kwa watoto wa chekechea. Zito, Mrema, Cheyo, Shibuda wanna hoja ya ruzuku tu.
 
Ww acha ulevi or mental illness, una uhakika siku Mh. Rais alipokutana na Lissu nchi nzima ilisimama? CDM iko ICU mbona imebakia mitandaoni tu, hata ofisi zake sizioni.

Jamani, mkiwa mna post hizi threads make sure you are in a good health especially mentally.
yupo ICU lakini unaogopa katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ...sasa sijui mfu ni nani kati ya hao wawili. Bila shaka anayeogopa kushindana na mgonjwa aliye ICU ndio mfu
 
Waswahili wanasema hata kama humpendi sungura basi sifia hata mbio zake.

Ukweli ulio wazi CHADEMA wanaziongoza sana siasa za Tanzania. Vyama vyote vimeshiriki hadi chama tawala lakini mkutano wa leo (Aprili 5, 2022) wa TCD umepoa sana na hata waliopo huko hawana hamasa ni kama wanapigishana story.

Ngoja niwakumbushe, siku Rais anakutana na Tundu Lissu nchi nzima ilisimama na kuzungumzia hilo. Siku Rais anakutana na Mbowe nchi zima ikasimama tena. Leo anakutana na kina Zitto na Lipumba na wanasiasa wengine wakongwe tu lakini hakuna mwenye interest ya kufuatilia.

Hapa ni lazima tukubali, ni either CHADEMA ina watu wengi sana na inapendwa sana au inaongoza siasa zote za Tanzania.

Leo Chadema wangekuwa kwenye huu mkutano, basi nchi nzima ingekuwa inazungumzia mkutano wa leo.

Nimeona huu ukweli niutoe niwe huru, nisije kupata sonona.
we are leading the game. Anayekubali akubali anayekataa aendelee kukataa.
 
Chadema hawajielewi unatakiwa ukiwa wanasiasa kutumia every platform utakayoona President yupo tu air your comments sababu all international media pay attention where president is.Hicho kitu kwenye Marketing. Kinaitwa product or service positioning to local and international customers both English and other international languages speakers!!

Haya cha tafuteni julwaa Lenu ambali media zitakazohudhuria ni BBC swahili service,Sauti ya Ujerumani swahili service ana Voice of America swahili service!! Wazungu na swahili service wapi na wapi ? Raisi alipo ni patashika nguo kuchanika mumekosa golden Opportunity
Chadema hawajielewi wajinga nyie

Hamjui kuji position internationally mumezoea local politics
Mbona unateseka
 
Kama ulikua hujui huko ccm kuna watu wanalipwa kwa sababu ya uwepo wa chadema.
 
1649183629866.png
 
Back
Top Bottom