CHADEMA wanamkana Tundu Lissu kisayansi kama walivyomtenda Dkt. Slaa, Lissu hana nafasi tena CHADEMA!

Uamuzi wa hekima ni kuwaruhusu akina Halima Mdee kuendelea na Ubunge! Mnyika amejaribu sana kuwa defensive dhidi ya Mbowe ila tu anajaribu kum- tantalize Tundu Lissu.

Hata hivyo Tundu Lissu siyo mwanasiasa makini bali ni mwanaharakati mropokaji tu! Huwezi kuwa unatoa matamko yako binafsi then unataka yawe ndo msimamo wa CHADEMA.

Gharama ya kuwapoteza Tundu Lissu na Mnyika (ajiuzulu) ni ndogo kuliko kuwavua Wanawake hao 19 uanachama na hatimaye kuwataka wapoteze Ubunge wao ambao wamepata kwa mujibu wa sheria za JMT na si hisani.

CHADEMA mkijifanya ujuaji na ulimbukeni wa kuendeshwa na mihemuko ya social media warriors kama akina Kigogo 2014 tambueni imekula kwenu!

Vumbi la mgogoro wenu utatulia 2025 imefika na hamtapata hata Madiwani 10 Nchi nzima achilia Ubunge mtakaousikilizia Redioni tu.

Time is the best Judge let's wait and see!
FK

Hakuna popote dunianiunaweza kufanya kinyume na maelekezo ya vikao vya chama ukabaki salama.Kwenye chama chenu tu kuchukua fomu ilikuwa ni kosa lakufukuzwa sasa mnataka kufndisha vyama vingine demokrasia ambayo hamkuitaka mwezimmoja tu uliopita.
 
Uko sahihi, Kama umemsikiliza vizuri Mnyika alikuwa anaongea na sauti ya kutetemeka hasa akiongelea vitu sensitive maana yake yawezekana yupo against Mbowe.

Kwa elimu ya Mdee na level yake chamani lazima awe na backup fulani kuongoza wamama 19 kuapa. Kihistoria Mnyika hana ubavu wa kumfanya lolote Mdee ndani ya CHADEMA nahisi kuna bomu kubwa linaenda kulipuka ijumaa kuigawa CHADEMA vipande vipande. Muda utaongea.
Namuona Mnyika akikaa pembeni. There is no way atabaki kama ikionekana hao "wabunge" 19 wamepewa baraka ndani ya chama chake huku yeye akizungukwa na kubaki na forms number 8D za NEC mkononi. Mbaya zaidi hiyo kesho ikatokea Mwenyekiti alikua aware na hili picha. Let's stay tuned to see what is gonna happen.
 
Ni kweli wengi walimfuata Lissu tu mbowe kauza wabunge wa kike kitumwa Bungeni ili asikose ruzuku sasa kichwa kinamuuma jinsi ya kuwahadaa wanachadema asijulikane kachukua bilion 3 toka CCM peke yake
Ndivyo alivyokuambia wakati anakutoa minyoo?
 
Chadema ipo ICU na njia pekee ya kuiokoa chadema isifariki ni kuwafukuza wabunge wa kike waliouzwa kitumwa kienyeji kwa Ndungai
Kuliko ilivyo CCM iliyookolewa na majeshi ya Burundi yaliyokodishwa na kuuwa watu??
 
Kwanza hakuna mtu anayeweza kumvua uanachama wa CHADEMA Mdee kwa sababu ana mizizi ndani ya chama kama alivyo Freeman Mbowe, Lucy Owenya na Grace Kihwelu.

Pili, Mnyika anajaribu kufahamu kinachoendelea lakini hakijui na siku ya Ijumaa ndio atakijua na huenda akajiuzulu.

Mzee Lowassa aliondoka CHADEMA lakini mzimu wake bado unaitafuna na hasa ule uwekezaji wake katika saikolojia ya wanachama wa CHADEMA.

Kiufupi, harakati za Tundu Lissu na amri zake haziendani na utamaduni wa CHADEMA na mabwanyenye wa Ufipa st hawazifurahii kwahiyo lazima waachane naye kisayansi.

Halima Mdee na wenzake wataruhusiwa na kamati kuu kuendelea na Ubunge na ambaye hatafurahishwa ataruhusiwa ama kujiuzulu nafasi za uongozi au kujivua uanachama.

Mungu wabariki wabunge wa CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa mara ya kwanza nakubaliana na MATAGA wewe... Mbowe si wa kumuamini. Huyu pesa kwanza. Upinzani baadae. Kesho watu watakua dissapointed sana. Wanasema yuko Nai sijui kweli
 
Halima the great.
#Ni yeye Halima Mdee the iron lady"binti commando"
I like HIM
IMG-20201126-WA0049.jpg
 
Uko sahihi, Kama umemsikiliza vizuri Mnyika alikuwa anaongea na sauti ya kutetemeka hasa akiongelea vitu sensitive maana yake yawezekana yupo against Mbowe.

Kwa elimu ya Mdee na level yake chamani lazima awe na backup fulani kuongoza wamama 19 kuapa. Kihistoria Mnyika hana ubavu wa kumfanya lolote Mdee ndani ya CHADEMA nahisi kuna bomu kubwa linaenda kulipuka ijumaa kuigawa CHADEMA vipande vipande. Muda utaongea.
Ndani ya miaka mitano kuwapoteza makatibu wakuu watatu sio Jambo la kufurahia
 
Uamuzi wa hekima ni kuwaruhusu akina Halima Mdee kuendelea na Ubunge! Mnyika amejaribu sana kuwa defensive dhidi ya Mbowe ila tu anajaribu kum- tantalize Tundu Lissu.

Hata hivyo Tundu Lissu siyo mwanasiasa makini bali ni mwanaharakati mropokaji tu! Huwezi kuwa unatoa matamko yako binafsi then unataka yawe ndo msimamo wa CHADEMA.

Gharama ya kuwapoteza Tundu Lissu na Mnyika (ajiuzulu) ni ndogo kuliko kuwavua Wanawake hao 19 uanachama na hatimaye kuwataka wapoteze Ubunge wao ambao wamepata kwa mujibu wa sheria za JMT na si hisani.

CHADEMA mkijifanya ujuaji na ulimbukeni wa kuendeshwa na mihemuko ya social media warriors kama akina Kigogo 2014 tambueni imekula kwenu!

Vumbi la mgogoro wenu utatulia 2025 imefika na hamtapata hata Madiwani 10 Nchi nzima achilia Ubunge mtakaousikilizia Redioni tu.

Time is the best Judge let's wait and see!
FK
Lissu na Mnyika wanasepa na wanachama Sasa sijui CDM itabaki na Nini au ndio mambo ya CUF
 
Back
Top Bottom