Chadema wanakuwa double standard polisi wanapo wauwa wafuasi wa vyama vingine

FJM,
Mie sipo humu kulitetea Jeshi la Polisi, natetea utaifa, ni kweli wanauwa ni polisi, leo hii polisi alifyatua bomu na kumuua mwandishi anafikishwa mahakamani, kwa ni Chadema walikuwa upande wa polisi kwenye mauji ya Pemba?
Sina hakika na msimamo wa CDM kwa mauaji ya Pemba na kwa kweli ni shutuma nzito. Ili kuachaan na hadithi za vijiweni, kwanza ningemuomba Ritz aweke chapisho la gazeti, sauti ya radio au picha ya video juu ya kauli za kiongozi/viongozi wa CDM kuunga mkono vitendo vya polisi Pemba/Unguja. Pia ningependa kusikia viongozi/wakereketwa wa CDM kuzitolea maelezo shutuma hizi za Ritz.

My take:
- Ikiwa Ritz hakutoa ushahidi wa shutuma zake, nitaamini kuwa anamwaga propaganda zisizo na msingi.

- Na ikiwa kiongozi/viongozi/wakereketwa wa CDM watauchuna kwa hili, nitaamini kuwa vifo vya Wapemba havikuwauma CDM kwa sababu wale ni/walikuwa wafuasi wa mahasimu zao - CUF - bila ya kujali kama walikuwa ni Watanzania.
 
Last edited by a moderator:
FJM,
Mie sipo humu kulitetea Jeshi la Polisi, natetea utaifa, ni kweli wanauwa ni polisi, leo hii polisi alifyatua bomu na kumuua mwandishi anafikishwa mahakamani, kwa ni Chadema walikuwa upande wa polisi kwenye mauji ya Pemba?

Kama una elimu ya 4m4 soma post ya Safari_ni_Safari Hhapo juu itakusaidia japo kujua kama kuna kauli ya CHADEMA ilete hapa na ilitolewa na nani?
 
mimi nilikuwa najipanga kuchangia JF ili niwe Gold Member, sasa inabidi nianze kufikiri upya.

Gold Members wapo wengi sio mie peke yangu kama ndio nia yako yakukimbia kuchangia JF hayo ni yako.
 
FJM,
Mie sipo humu kulitetea Jeshi la Polisi, natetea utaifa, ni kweli wanauwa ni polisi, leo hii polisi alifyatua bomu na kumuua mwandishi anafikishwa mahakamani, kwa ni Chadema walikuwa upande wa polisi kwenye mauji ya Pemba?


Lete TAMKO la CHADEMA juu ya 27th January 2001 sio kuongea ka unatoka kuamka kwa uvivu wa kufikiria.
 
Wanabodi,

Tanzania ni nchi yetu sote na itajengwa na sisi wenyewe na itabomolewa na sisi wenyewe, Inasikitisha sana la polisi linapotumia nguvu kuuwa raia wanaofanya maandamo kwa amani kwa kuwapiga risasi za moto.

Itakumbukwa maandamano yalifanyika janauri 27, 2001 yalikabiliwa na polisi na kusababisha vifo na majeruhi. Hadi sasa idadi ya vifo inayotajwa na serikali ni watu 34, lakini kuna madai kuwa waliokufa ni zaidi yao cha kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.

Lakini polisi wanapofanya mauaji kwa wafuasi wa Chadema, kule Arusha walikufa watu wawili, Kule Morogoro alikufa mtu mmoja na Iringa alikufa muandishi wa habari, hawa ndio wanaonekana raia muhimu ambao hawakutakiwa kuuwa lakini waandamaji wa pemba walitakiwa kuuwa..

Naomba ukumbusho tamko la CHADEMA kuwa waandamanaji walikuwa wanahatarisha amani ya nchi lilitolowa lini na nani alitoa tamko hilo kwa niaba ya CHADEMA?. Napat hisia kuwa wewe ni mpotoshaji usiyekuwa na kumbukumbu za kutosha. Au umetumwa na Ahmad Rashid wa ADC (ccm c) nini?
 
umekiri mwenyewe kwa kinywa chako kuwa wauaji ni polisi lakini Ritz shutuma zako kwa CHADEMA hazina mashiko
 
Last edited by a moderator:
Lini CDM walisupport mauaji wakati wafuasi wa vyama vingine wameuawa? Tuache hisia, suala la Wapemba kuuwa wakati ule naamini lilididimizwa na CCM kwa propaganda kama hizi wanazoendelea nazo hadi sasa. Tofauti na wakati ule kwa sasa wananchi wengi wanafuatilia siasa na kikubwa CDM walichofanikiwa ni kuwatoa hofu wananchi maeneo mengi hususani vijijini ambako ilikuwa ngome ya CCM. Unakumbuka namna CCM walivyoihusisha CUF na udini na ikapelekea baadhi ya watu kuamini hivyo enzi hizo?
 
Waliofaulu kuingia kidato cha kwanza hawajui kusoma na kuandika sasa je hao walio feli itakuwaje wakoje ?
 
Mkuu Lyimo,Nadhani hunijui vizuri unaweza kunipa ushahidi wowote Chadema walichukuwa hatua gani baada ya hayo mauaji hao sababu waliokufa walikuwa wapemba.
Mkuu Ritz, Katika jambo hili la mauaji ya Iringa umejitahidi saana kuwa objective. CDM ya sasa si ile ya 2001. CDM ya 2001 ilikuwa chama kidogo sana kisicho na influence kubwa ktk jamiii. Tena kilikuwa chama kinachofanya kazi kwa kuunga mkono harakati zote za CUF. Ndiyo maana uchaguzi mkuu mwaka 2000 CDM ilimuunga mkono LIPUMBA. Sasa hii habari umeitoa wapi?...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu jibu hoja kwa nini Chadema huwa wanakuwa upande wa polisi wanapo wauwa wafuasi wa vyama vingine.

Unajua Ritz sidhani kama mwaka 2001 Chadema walikuwa hivi walivyo leo. Hata hivyo nikiangalia sana hoja yako napata wasiwasi ni hoja kama zile tulizozoea.
Kwakuwa mimi si mwana siasa wala wanachama wa chama chochote kile, sufurahii kuuana wala mtu kudhulumiwa maana tutatibua usalama na amani tuliyonayo.
Hivi ni chama gani tena kilikuwa kimeshika dola wakati wa hayo mauaji ya watu wa pemba mwaka 2001? Na leo hii kuna tofauti? Au ndio business as usual maana yote ni yale yale mauaji tu.
 
Kipindi kile chadema ilikuwa kama SAU ilivyo sasa hatujawahi kusikia ikitoa tamko zaidi ni kwenye kapeni. Sasa nakushangaa unavyosema CDM ilitoa tamko. CDM ilianza kusikika kwa watu mwaka 2004 na kuendele.
 
Hapa inaonekana wengi mmedandia siasa juzijuzi tu, Chadema kwa kipindi chote imekuwa haisimamishi mgombea Urais na kuiunga mkono CUF sasa haaingii akili eti wafuasi wa CUF wauwawe Chadema wafurahie, tupunguze unafki kidogo siku za mwisho haziko mbali tumrudie Mungu na tufahamu uongo ni dhambi.
 
Mkuu Ritz, Katika jambo hili la mauaji ya Iringa umejitahidi saana kuwa objective. CDM ya sasa si ile ya 2001. CDM ya 2001 ilikuwa chama kidogo sana kisicho na influence kubwa ktk jamiii. Tena kilikuwa chama kinachofanya kazi kwa kuunga mkono harakati zote za CUF. Ndiyo maana uchaguzi mkuu mwaka 2000 CDM ilimuunga mkono LIPUMBA. Sasa hii habari umeitoa wapi?...

Mkuu mwaka 2005 mgombea urais wa Chadema alikuwa Mbowe, alishika nafasi ya tatu nyuma ya Prof Lipumba.
 
Kipindi kile chadema ilikuwa kama SAU ilivyo sasa hatujawahi kusikia ikitoa tamko zaidi ni kwenye kapeni. Sasa nakushangaa unavyosema CDM ilitoa tamko. CDM ilianza kusikika kwa watu mwaka 2004 na kuendele.

Mkuu sijui ulianza kufuatilia lini siasa za Tanzania, mauwaji ya Pemba yametokea Janauri 27, 2001 baada ya uchaguzi uliyofanyika mwaka 2005 na mgombea wa Chadema alikuwa Freeman Mbowe, hakuwahi kusema chochote kuhusu mauwaji ya watu 34, yeye kwake mauaji muhimu yale ya Arusha ya watu wawili.
 
FJM,
Mie sipo humu kulitetea Jeshi la Polisi, natetea utaifa, ni kweli wanauwa ni polisi, leo hii polisi alifyatua bomu na kumuua mwandishi anafikishwa mahakamani, kwa ni Chadema walikuwa upande wa polisi kwenye mauji ya Pemba?

Mkuu Lyimo,

Nadhani hunijui vizuri unaweza kunipa ushahidi wowote Chadema walichukuwa hatua gani baada ya hayo mauaji hao sababu waliokufa walikuwa wapemba.

Ritz,

Unataka watu walete ushahidi kuhusu CDM wakati wewe umekuja na hoja bila ushahidi. Tuletee ushahidi wako kwanza ili tuone huo ukweli wako.
 
Wanabodi,

Tanzania ni nchi yetu sote na itajengwa na sisi wenyewe na itabomolewa na sisi wenyewe, Inasikitisha sana la polisi linapotumia nguvu kuuwa raia wanaofanya maandamo kwa amani kwa kuwapiga risasi za moto.

Itakumbukwa maandamano yalifanyika janauri 27, 2001 yalikabiliwa na polisi na kusababisha vifo na majeruhi. Hadi sasa idadi ya vifo inayotajwa na serikali ni watu 34, lakini kuna madai kuwa waliokufa ni zaidi yao cha kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.

Lakini polisi wanapofanya mauaji kwa wafuasi wa Chadema, kule Arusha walikufa watu wawili, Kule Morogoro alikufa mtu mmoja na Iringa alikufa muandishi wa habari, hawa ndio wanaonekana raia muhimu ambao hawakutakiwa kuuwa lakini waandamaji wa pemba walitakiwa kuuwa..


Mbona haya ni maneneo matupu hata kwenye kanga yamo kama haya..weka ushaidi wa chadema kuunga mkono police walipouwa raia huko pemba. Acha story za kwenye vijiwe vya ghahawa weye.
 
Ritz umeendelea kuleta hoja ambazo hazina uthibitisho, tafadhali thibitisha kwa cdm waliunga mkono mauaji!

Kwa hili ni wazi umeisingizia cdm, tafadhali jaribu wimbo mwingine hata hivyo unaweza kuendelea kuchangia nyuzi za wenzio kuliko kuleta yako yenye mapungufu kiasi hiki na hiliyo jaa chuki!

Ni bora huu uzi uufute kuliko kuuacha maana bila kujijua umekiri polisi kuusika na mauaji japo haukutegemea na huu uzi una kudharirisha ndugu yangu!

Mchana mwema.
 
Mkuu sijui ulianza kufuatilia lini siasa za Tanzania, mauwaji ya Pemba yametokea Janauri 27, 2001 baada ya uchaguzi uliyofanyika mwaka 2000 na mgombea wa Chadema alikuwa Freeman Mbowe, hakuwahi kusema chochote kuhusu mauwaji ya watu 34, yeye kwake mauaji muhimu yale ya Arusha ya watu wawili.

mauaji ya pemba yakitokea huyu faraji alikuwa bado ananyonya .sasa sijui alihakikishaje habari hizi ?
 
Ritz,

Tupatie ushahidi kwa unayoyasema hapa jukwaani ku-support hoja yako.
 
Back
Top Bottom