Chadema wanakuwa double standard polisi wanapo wauwa wafuasi wa vyama vingine

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,555
31,876
Wanabodi,

Tanzania ni nchi yetu sote na itajengwa na sisi wenyewe na itabomolewa na sisi wenyewe, Inasikitisha sana la polisi linapotumia nguvu kuuwa raia wanaofanya maandamo kwa amani kwa kuwapiga risasi za moto.

Itakumbukwa maandamano yalifanyika janauri 27, 2001 yalikabiliwa na polisi na kusababisha vifo na majeruhi. Hadi sasa idadi ya vifo inayotajwa na serikali ni watu 34, lakini kuna madai kuwa waliokufa ni zaidi yao cha kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.

Lakini polisi wanapofanya mauaji kwa wafuasi wa Chadema, kule Arusha walikufa watu wawili, Kule Morogoro alikufa mtu mmoja na Iringa alikufa muandishi wa habari, hawa ndio wanaonekana raia muhimu ambao hawakutakiwa kuuwa lakini waandamaji wa pemba walitakiwa kuuwa..
 
Wanabodi,

Tanzania ni nchi yetu sote na itajengwa na sisi wenyewe na itabomolewa na sisi wenyewe, Inasikitisha sana la polisi linapotumia nguvu kuuwa raia wanaofanya maandamo kwa amani kwa kuwapiga risasi za moto.

Itakumbukwa maandamano yalifanyika janauri 27, 2001 yalikabiliwa na polisi na kusababisha vifo na majeruhi. Hadi sasa idadi ya vifo inayotajwa na serikali ni watu 34, lakini kuna madai kuwa waliokufa ni zaidi yao cha kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.

Lakini polisi wanapofanya mauaji kwa wafuasi wa Chadema, kule Arusha walikufa watu wawili, Kule Morogoro alikufa mtu mmoja na Iringa alikufa muandishi wa habari, hawa ndio wanaonekana raia muhimu ambao hawakutakiwa kuuwa lakini waandamaji wa pemba walitakiwa kuuwa..

Unao ushahidi kuwa CHADEMA walisema hivyo? Hbu ona MAGAMBA mlivyoanikwa hapa kabla ya kuwaoa wabaya wenu wa wakati ule!

THE CIVIC UNITED FRONT

PRELIMINARY REPORT ON HUMAN RIGHTS ABUSES COMMITTED BY TANZANIAN ARMED FORCES IN ZANZIBAR SINCE JANUARY 26[SUP]TH[/SUP], 2001
[h=4][/h]7[SUP]th[/SUP] February , 2001


Massacres in Zanzibar
Tanzanian police, riot police, army, navy (KMKM), secret police and other security forces have, since January 26[SUP]th[/SUP] 2001, engaged in a coordinated program to place Zanzibar under military rule and to inflict massive human rights violations on its people. Benjamin Mkapa should be held responsible in the eyes of the world for approving the use of live ammunition to kill dozens of peaceful demonstrators, and for the subsequent campaign of terror to punish Zanzibaris for daring to stand up for the principles of political pluralism and freedom of assembly. Armed forces have injured hundreds of people, shooting them in their homes, sinking boats carrying injured refugees, raping, and looting. We hope that all perpetrators of these atrocities will be brought to justice, both those who committed crimes and those who ordered them.

This report is a preliminary summary of available information from eye-witness accounts by refugees and other sources. Almost all of our leaders have been arrested, are in hiding, or have disappeared. Collecting information on human-rights abuses is very dangerous because our telephone calls are monitored, we are searched when we travel, and we are under surveillance by secret police and CCM officials. The government is attempting to cover-up and hide their actions, but the truth will be known. We are compiling these lists of victims in order to help their families and friends to know what happened to them. But we also hope that knowledge of the Tanzanian state's persecution of its citizens will lead Tanzanians and others to insist on the need to safeguard democracy and basic human rights. Please contact CUF if you have any information about the whereabouts or conditions of our fellow countrymen.

Starting from today, 7[SUP]th[/SUP] Feb. 2001, daily updates of news and events will be circulated throughout the world. If you would like to know what is really going on, without censorship by the government, please contact cuftz@hotmail.com


Note: These figures are very preliminary and incomplete. It will take a long time for the world to be able to have complete figures and information about the massacres and other human rights abuses committed in Zanzibar by government armed forces. Up to now, people are still being tortured, humiliated, intimidated, killed, etc.

Summary Table (for up to 7[SUP]th[/SUP] Feb. 2001)




S/N




Location

The Number
of
Deaths

The Number
of Injured (treated)

The Number
of
Injured (but not treated

The Number
of
Raped & Looted

Number
of
Refugees

Number
of
Missing People

1.
2.
3.
4.
5.

Micheweni
Wete
Chake Chake
Unguja Town
Mombasa (Kenya)

21
21
17
8
-

14
44
55
-
14

60
100
120
380
-

-
-
16
-
-

-
-
-
-
510

580
437
132
-
-



Total Number


67


127


660


16


510


1149

Legend: - means data not yet available and will be provided in later updates.

1. DISTRICT: MICHEWENI, PEMBA

A: The list of people killed:

The list of people killed in Micheweni is not yet available owing to the difficulty in communicating with the people in that District. It is however reported that at least 21 people were killed there on the 27[SUP]th[/SUP] of January 2001.

B: The list of people injured:


S/N


Name of the Victim


Sex


Age


Victims Address

Victim's
Condition


Remarks

1

Abdalla Seif Masoud

M


Micheweni

Serious

Referred to Wete Hosp

2

Ali Rashid Salim
M


Micheweni

Serious

Referred to Wete Hosp

3

Issa Said Omar
M

Micheweni

bad

Admitted

4

Ali Khalid Khatib

M

Micheweni

Serious

Referred to Wete Hosp

5

Maalim Salum Rashid
M

Micheweni

bad

Admitted

6

Machano Issa
M

Micheweni

Serious

Referred to Wete Hosp

7

Khamis Shame Kombo
M

Micheweni

bad

Admitted

8

Khatib Khamis Shame
M

Micheweni
bad
Admitted

9

Juma Khatour Issa
M

Micheweni
bad
Admitted

10

Nassor Juma Shame
M

Micheweni
bad
Admitted

11

Rashid Khalid Salum
M

Micheweni
bad
Admitted

12

Ali Juma Ali
M

Micheweni
bad
Admitted

13

Masoud Kombo Hamad
M

Micheweni
bad
Admitted

14

Juma Mganga Haji
M

Micheweni
bad

Referred to Wete Hosp


REPORTED NUMBER WHO RECEIVED MEDICAL TREATMENT FROM MICHEWENI DISTRICT AS OF 7th FEB 2001 = 14



2. DISTRICT: WETE, PEMBA
A: The list of people killed:


S/N


Name of the Deceased


Sex


Age


Deceased Address


Remarks


Those who were shot before the demonstration

1

Mjaka Salim Ali

M


Kinyasini



2

Chande Said

M


Msuka



3

Hemed Said Omar

M


Njuguni



4

Juma Bakar Juma

M


Chwale



5

Haji Bakar Haji

M


Mchangamdogo



6

Hassan Omar Hassan

M


Kipangani



7

Asha Hamad Massoud

F

49

Bopwe



8

Ali Omar Kibabu

M


Mtambwe



9

Moh'd Said

M


Bopwe



10

Ali Hussein

M


Kojani



11

Haji Kombo Ali

M


Mchangamdogo

Killed at Limbani, Wete


Those who were shot at the demonstration

12

Kombo Ali Abdalla (Kombo Ngozi)

M

Chasasa


Shot in the chest


Those who were shot after the demonstration

13

Abdalla Moh'd Salum

M


Kizimbani


Shot in the stomach

14

Salim Masoud Khamis Miskry

M



Shot in the head. Killed at his home while not participating in any demonstrations. He was actually a newly-wed who came to Wete to pick up his wife for Sweden, his present residence before his brutal death.

15

Abeid

M


Chasasa


Shot in the back

16

Ahmed Said Othman

M



Shot in the chest & ribs. Killed while helping Salim Masoud after he was shot by police.

17

Salim Juma (Fundi Salim)

M


Chasasa


Clubbed to death

18

Abdalla Rajab

M




Clubbed to death

19

Abdalla Hamad

M





20

Mohammed Amour

M




School teacher

21

Abeid Moh'd Abeid

M


Majimbikani




TOTAL DEATHS FOR THE WETE DISTRICT AS OF 7[SUP]th[/SUP] FEB. 2001 = 21



B: The list of injured people who received medical treatment
[Note: Most injured in Wete were denied medical treatment]

S/N


Name of the Victim


Sex


Age

Victims Address

Victim's
Condition


Remarks

1

Hidaya Salim Habib

F

19

Kipangani

Shot in the shoulder

Referred to Mkoani Hosp.

2

Haji Khamis Makame

M

22

Finya

Cut wound

Admitted

3

Hassan Ali Mwinyi

M

24

Finya

Cut wound

Admitted

4

Ame Makame Mnyaa
M

24

Finya
Cut wound

Admitted

5

Omar Faki Juma
M

37

Bopwe

Shot in the palm

Referred to Mkoani Hosp.

6

Faki Omar Faki
M

25

Chozi

Cut wound

Admitted

7

Khatib Kassim Khatib
M

29

Uzunguni

Face cut wound

Admitted

8

Moh'd Suleiman
M

26

Kizimbani

Shot in the abdomen

Referred to Mkoani Hosp.

9

Japhet Kadagala
M

36

Mjini Wete

Cut wound

Not admitted

10

Chum Ali Moh'd
M

25

Finya

Trauma & wrist POP

Not Admitted

11

Khamis Juma Choum
M

24

Finya

Bruises

Not Admitted

14

Bakari Salum
M





13

Khamis Mbarouk Khamis
M

32

Mlindo

Shot in the thigh & fermer

Referred to Mkoani Hosp.

14

Rahma Abdalla Masoud
F

40

Bopwe

Shot in the knee

Admitted

15

Awena Hamad Khamis
F

30

Bopwe


Admitted

16

Abdulaziz Shehe Kahale
M

19

Kipangani

Bullet wound

Admitted

17

Omar Hafidh Hamad
M

21

Utaani

Shot in lower knee

Admitted

18

Fadhil Juma Ali
M

19

Selem

Shot in the abdomen

Admitted

19

Raya Ali Juma

F

32

Chasasa

Shot in the chest

Admitted

20

Tamasha Abdi Sheria

F

24

Utaani

Shot in lower abdomen

Referred to Mkoani Hosp.

21

Sharifa Kombo Hamad

F

60

Kojani

Shot in thigh

Admitted

22

Abass Ali Khamis

M

27

Mtambwe

Shot in the chest

Admitted

23

Ali Omar Saleh

M

30

Mtambwe

Shot in lower knee

Admitted

24

Shehe Ali Hamad

M

29

Jojo

Shot in the ankle

Referred to Mkoani Hosp.

25

Ali Hussein Ali

M

37

Mkwajuni

Shot in the head

Admitted

26

Suleiman Kassim Hamad

M

39

Jadida

Shot in the wrist (POP)

Admitted

27

Sultan Khalfan Nassor

M

60

Utaani

Shot in the elbow joint

Referred to Mkoani Hosp.

28

Omar Hamad Omar

M

40

Mtambwe

Shot in thighs both legs

Admitted

29

Bakar Ali Hamad

M

40

Jadida

Shot ankle ( POP)

Admitted

30

Juma Omar Said

M

53

Mtemani

Multi bruises

Admitted

31

Suleiman Omar Khatib

M

40

Bwagamoyo

Hit in the fibula (POP)

Admitted

32

Moh'd Said Moh'd

M

52

Mtemani

Cut wound in the face

Admitted

33

Mussa Haji Hamad

M

39

Jojo

Shot in the buttocks

Admitted

34

Khatib Juma Maalim

M

36

M/ Mdogo

Shot in the left thigh

Admitted

35

Shaibu Ali Hamad

M

27

Ole

Shot in the buttocks

Admitted

36

Fatuma Issa Mbarouk

F

27

Pandani


Admitted

37

Moh'd Juma Hamad

M




Admitted

38

Ali Habibu Hamad

M



Shot in the right arm

Admitted

39

Bidoro

F



Cut wound in the face

Admitted

40

Mwalimu Rashid

M



Shot in the back head

Admitted

41

Mussa Ali Hamad

M



Shot in the chest

Referred to Mkoani Hosp.

42

Khamis Nahodha

M



Shot in both legs

Admitted

43

Ali Omar Saleh

M



Shot in the legs

Admitted

44

Kassim Maalim Hassan

M



Shot in the ribs

Admitted


REPORTED NUMBER WHO RECEIVED MEDICAL TREATMENT FROM WETE DISTRICT AS OF 7[SUP]th[/SUP] FEB 2001 = 44



3. DISTRICT: CHAKE CHAKE, PEMBA
A: The list of people killed:


S/N


Name of the Deceased


Sex


Deceased Address


Remarks

1

Malik Abdalla

M

Mvumoni



2

Ali Haji Kombo

M

Shamiani



3

Said Moh'd Kassim

M

Gombani



4

Habibu Ibrahim

M

Furaha



5

Asha Moh'd Seif

F




6

Isha Juma

F

Machomane



7

Mpaji Juma

F

Mchanga wa Kwale



8

Hafidh Moh'd Salim

M

Kiwani



9

Khamis Salum Moh'd

M

Kiwani



10

Salma Juma Suleiman

F

Kiwani



11

Habibu Salim

M




12

Salim Juma

M

Mwachawa



13

Kombo Ali

M

Mtakata



14

Asha Ali Moh'd

F

Wawi



15

Tatu Abdalla

F

Mgogoni



16

Mauwa Saleh

F

Barawa



17

Ali Juma Ali

M

Wawi




TOTAL NUMBER OF DEATHS IN CHAKE CHAKE DISTRICT AS OF 7th FEB. 2001 = 17




B: The list of injured people who received medical treatment:


S/N


Name of the Victim


Sex


Age


Victims Address

Victim's
Condition


Remarks

1

Ali Abdalla Khamis

M

50

Wawi

bad

Admitted

2

Ali Abdallah Ali
M

25

Ziwani

bad

Admitted

3

Ali Khamis Ziad
M

28

Vitongoji
bad

Admitted

4

Ali Moh'd Ali

M

48

W/Ujinga
bad

Admitted

5

Ali Omar Ali
M


Wesha
bad

Admitted

6

Ali Petro Lumilya
M

45

Mkanjuni
bad

Admitted

7

Amina Abdi Abass
F

16

Chanjaani
bad

Admitted

8

Asha Ali Khamis
F

30

Wawi
bad

Admitted

9

Hafidh Moh'd Salim
M

42

Gombani

serious

Referred to Mkoani Hosp.

10

Hakim Shukur Hakim
M

40

Mtoni

serious

Referred to Mkoani Hosp.

11

Halima Kombo Ali
F

18

Wawi Mgogoni
serious

Referred to Mkoani Hosp.

12

Hamad Khamis Saleh
M

37

Msuka
serious

Referred to Mkoani Hosp.

13

Hamad Mmaka Saleh
M

22

W/Mgogoni

bad

Admitted

14

Hamad Omar Juma
M

40

W/Mgogoni
bad

Admitted

15

Hemed Nassor Said
M

19

Machomane
bad

Admitted

16

Hidaya Hamad Bakar
F

29

Machomane
bad

Admitted

17

Isha Juma Ali
F

50

Machomane
bad

Admitted

18

Jenet P. Mwakatagwe
F

22

Makangale

serious

Referred to Mkoani Hosp.

19

Juma Khamis Ali
M

22

W/Mgogoni
bad

Admitted

20

Juma Ngwali Kombo
M

71

Machomane

serious

Referred to Mkoani Hosp.

21

Khadija Ali Juma
F

35

Mtoni
bad

Admitted

22

Khamis Haji
M


bad

Admitted

23

Khamis Salim Moh'd
M

60

Mkanjuni
bad

Admitted

24

Khatib Ali Khatib
M

35

Gombani
bad

Admitted

25

Kombo Yusuf Kombo
M

45

bad

Admitted

26

Maua Saleh Said
F

37

Ziwani Barawa

serious

Referred to Mkoani Hosp.

27

Mgeni Mzee Juma
F

29

Chanjaani
bad

Admitted

28

Mkubwa Khamis Iddi
M

30

Wawi Mgogoni
bad

Admitted

29

Moh'd Hilal
M

50

Msingini

serious

Referred to Wete Hosp.

30

Moh'd Juma Ngwali
M

24

Machomane
bad

Admitted

31

Moh'd Khamis Haji
M

30

Kwale

serious

Referred to Mkoani Hosp.

32

Othman Nassor Kombo
M

43

Machomane
bad

Admitted

33

Ramadhan S. Ramadhan
M

38

Micheweni
serious

Referred to Mkoani Hosp.

34

Rashid Suleiman
M

65

serious

Referred to Mkoani Hosp.

35

Raya Saad
F


bad

Admitted

36

Sadiq Said Sadiq
M

34

Vikunguni
bad

Admitted

37

Said Ali Said
M

34

Vikunguni
bad

Admitted

38

Said Amir Said
M

35

Machomane
bad

Admitted

39

Said Kombo Haji
M

50

Kwale
bad

Admitted

40

Said Salim Omar
M

17

Vikunguni
serious

Referred to Mkoani Hosp.

41

Said Seif Moh'd
M

22

Machomane
bad

Admitted

42

Said Suleiman
M


bad
Admitted

43

Salim Abdalla Ali
M

48

Vikunguni
bad
Admitted

44

Salim Ameir Khamis
M

39

Machomane
bad
Admitted

45

Salim Juma Suleiman
M

35

Wingwi
bad
Admitted

46

Salim Khamis Jaffar
M

24

Machomane
bad
Admitted

47

Salim Said Salim
M

35

Wingwi
bad
Admitted

48

Seif Moh'd Omar
M

51

W/Mgogoni
bad
Admitted

49

Shafi Hamad
M


bad
Admitted

50

Sharif Salim Moh'd
M

55

Wawi Branch
bad
Admitted

51

Tatu Abdalla Kombo
F

25

Mgogoni
bad
Admitted

52

Yadali Said



bad
Admitted

53

Yahya Hamdani Said
M

20

Muharitani
bad
Admitted

54

Yahya Hamad
M


serious
Shot in the upper abdomen. Admitted at Mkoani Hospital

55

Ali Michael Babedi
M



Snatched away from Mkoani Referral Hospital by riot police officers


REPORTED NUMBER OF INJURED WHO RECEIVED MEDICAL TREATMENT IN CHAKECHAKE DISTRICT AS OF 7[SUP]th[/SUP] FEB 2001 = 55



4. DISTRICT: ZANZIBAR TOWN
A: The list of people killed:


S/N


Name of the Deceased


Sex


Deceased Address


Remarks

1

Juma Moh'd Khamis

M



Killed on 26[SUP]th[/SUP] Jan. 2001

2

Hamad Said

M



Killed on 27[SUP]th[/SUP] Jan. 2001

3

Abdalla Said Moh'd
M


Killed on 27[SUP]th[/SUP] Jan. 2001

4

Gharib Salim Hamad Baalawy
M

Hurumzi

Killed on 27[SUP]th[/SUP] Jan. 2001

5

Mwalimu Nassor Mwalimu
M


Killed on 27[SUP]th[/SUP] Jan. 2001

6

Mdungi Ali
M


Killed on 27[SUP]th[/SUP] Jan. 2001

7

Kombo Rashid
M


Killed on 27[SUP]th[/SUP] Jan. 2001

8

Juma Hamad Faki
M


Killed on 27[SUP]th[/SUP] Jan. 2001


TOTAL NUMBER OF REPORTED DEATHS IN ZANZIBAR TOWN AS OF 7[SUP]th[/SUP] FEB. 2001 = 8



5. MOMBASA, KENYA
A: The list of people killed:

Police reported that 3 refugees out of many (estimated to be more than 1000) that fled to Mombasa, Kenya, died in hospital from gunshot wounds. The names of the deceased are not available yet and will be reported as soon as possible.

B: The list of people injured:


S/N


Name of the Victim


Sex


Age


Victims Address

Victim's
Condition


Remarks

1

Issa Khamis Ali

M

29




2

Abdulli Abdalla
M

20




3

Ali Salim Ali
M

20




4

Sharif Kassim Ahmed

M

36




5

Rashid Juma Bakari
M

35




6

Ali Juma Sharif
M

21




7

Hemed Ameir Said
M

20




8

Moh'd Khamis Khalfan
M

34




9

Juma Mbarouk Matano
M

16




10

Faki Omar Faki
M

25




11

Moh'd Abdalla Ali
M

27




12

Haji Osman Haji
M

31




13

Sleyum Hussein Salim
M

18




REPORTED NUMBER OF INJURED WHO RECEIVED MEDICAL TREATMENT IN MOMBASA, KENYA AS OF 7[SUP]th[/SUP] FEB 2001 = 13


Reports of Human Rights Abuses by Police and Security Forces, by District and Date



District



Date of events



Details of the events

Mkoani Pemba

27[SUP]th[/SUP] Jan 2001

(1) Many Riot Police and other security forces from mainland Tanzania & Zanzibar were observed on the main road coming from the Harbour.
(2) No food available in town, as all people are locked inside their homes. Mkoani town is virtually under curfew.

28[SUP]th[/SUP] Jan 2001

(3) So far 18 severely injured people have been admitted to the
Mkoani Hospital. Among the 18, 4 are in serious condition, including:
(i) Ms. Tamasha Abdi Sheria of Utaani, Wete, who was shot by police, the bullet went through her buttocks and through her private parts.
(ii) Mr. Bakar Salum, shot by the police, the bullet went through his thigh and also damaged part of his urinary bladder. As a result, he has no control of his urine.
(4)Three other severely injured patients were brought in and admitted at Mkoani Referral hospital from Chake Chake and Wete, making the total number of seriously injured people to be 22. The four new patients are:
(i) Mr. Omar Hafidh , from Wete, whose leg was
smashed by a bullet.
(ii) Mr. Mussa Ali Hamad of Chasasa, Wete, is still in serious condition because of a bullet that penetrated his chest under his breast, got him so bad that he is still bleeding continuously and doctors have already instructed his relatives to refer him to Muhimbili Hospital in Dar-es-Salaam.
(iii) Hidaya Salim Habib (teenager) from Wete who was shot in the shoulder when she was inside her home.
(iv) Yahya Hamad of Chake Chake, who was shot by police in the upper abdomen.

29[SUP]th[/SUP]Jan. 2001

(5)On the night of 29[SUP]th[/SUP] Jan 2001, all the 22 severely injured patients were forcefully interrogated and made to write and sign statements, against their will and in the absence of their lawyers.

The moment they finished signing those forced statements, police told them that they were all under arrest. The police remained inside the wards carrying their weapons, the action that prompted protest from the Chinese doctors who ordered the police out of the wards. Still determined to continue with their humiliation and psychological torture to the patients, police decided to take guard, fully armed, around the ward.

Since then, police have been demanding doctors to release the sick people so that the police could arrest them, prosecute them and take them to jail.

30[SUP]th[/SUP] Jan 2001

(6)On 30[SUP]th[/SUP] Jan 2001, Mr. Moh'd Salim (alias Mulla) together with Mr. Masoud Khamis Omar (alias Meya) and Mr. Moh'd Adam were severely beaten-up by riot police while sitting on the verandah talking. While Mr. Meya and Mr. Moh'd Adam managed to escape after being beaten-up for some time, Mr. Mulla could not make it and he was immediately arrested. He was eventually released late in the evening but ordered to report back to the police the next day (31[SUP]st[/SUP] Jan 2001) along with the other two who had escaped police brutality.

(7)On the same day, 30[SUP]th[/SUP] 2001, police forcefully cut off the beard of Mr.Moh'd Ali Moh'd at Kipitacho area using a knife.

(8)Another incident involved Mr. Imu who was spared of humiliation but ordered not to be seen with beard the next day, otherwise he could be punished.

(9)On this day, 30[SUP]th[/SUP] Jan. 2001, police ordered the muadhin, the person responsible for the call-to-prayer at the mosque, not to make a prayer-call for the evening (Isha) prayer, (usually made soon after 8 p.m.), otherwise they would ‘fix him'. Not only was he told not to make the prayer-call, but he was also warned that if anyone was caught saying prayers in the mosque after 7 p.m., he (muadhin) would also be arrested and punished. This order put off every Muslim from going to Isha prayer as going there could mean risking the life of the muadhin.

(10)On this date, 30[SUP]th[/SUP] January, 2001, a convoy of riot police officers in full riot, gear arrested and dragged away two patients, Ms. Khadija Ali Juma of Chake Chake, and Mr. Ali Michael Babedi, from Mkoani Referral Hospital.

Chake Chake Pemba

27[SUP]th[/SUP] to 29[SUP]th[/SUP] Jan 2001

(1)After beating-up and killing people with live bullets on the streets, Police and other Security forces engaged in breaking into people's houses, severely beating up the occupants with police clubs and rifle-butts, raping women in some cases, smashing wardrobes and jewelry chests and finally looting jewelery, cash money, radios, TVs and other valuables. Most of the stolen jewelery is that which had been traditionally inherited from their ancestors generation after generation. Thus it is irreplaceable.

In the course of looting, police were saying loudly, "You Pembans have no discipline as you had not witnessed revolution violence and hence we have come here to show you Pembans the real revolution".
Some of the houses that were looted of valuables were those of the following people:

(i) Mr. Juma Ngwali, at Machomane
(ii) Ms. Sharifa Mussa (Mrs.Marshed), at Mkanjuni (3) Mr. Suleiman Seif, at Mabatini
(iii)Mr. Suleiman Seif, at mabatini
(iv) Ms. Lulu (300,000 TShs were stolen)
(v) Mr. Rashid Seif

(2) The number of missing people is more than 40 for Chake Chake alone, and most of them are assumed dead.

Wete, Pemba


























































27[SUP]th[/SUP] to 29[SUP]th[/SUP] Jan 2001

(1)On 27[SUP]th[/SUP] Jan 2001, there were 9 bodies in the mortuary of the Wete Hospital, 4 bodies inside the Limbani CUF branch, and 2 bodies inside the Mtemani branch.

(2)Mr. Salim (alias Fundi Salim) , who was accused of having washed the body of a family member who had been shot dead by Police earlier the same day, was arrested by Police at Chasasa, tortured and killed and then his body was dumped at the mortuary of the Wete Hospital. His death was instigated by the local CCM representative, the Sheha (local Headman), Mr. Ali Hamad (alias Mpemba Mwekundu) who had earlier asked police officers to punish him for washing and preparing (for burial) the body of a CUF member.

(3)Police officers were harassing injured patients inside Wete hospital wards to finish them-up, as they were heard boasting about. This Police man-handling forced many bullet-injured patients to seek refuge in forests and it is feared that many might have died of these bullet wounds.

(4)Those injured were barred by Police from being treated in Government Hospitals. In one incident, Riot Police officers stopped an ambulance and ordered the doctors to take out all patients, who were being transferred to Mkoani Hospital with severe injuries. When these police officers were asked why the patients should be unloaded while in such critical condition, they publicly said that they wanted to kill them. Fortunately, the doctors refused and told the police officers that they (doctors) would rather die than hand over those patients to the police officers.

(5)It is reported that two boats carrying injured refugees were sunk by police or navy, and all the passengers drowned. Passengers in a third boat witnessed the sinking caused by a police helicopter and reported it when they arrived in Mombasa. The sunk boats are estimated to have been carrying more than 50 people.

(6)At Mtambwe (Uchozini) many people were shot dead by Police and Navy officers as they were fleeing for their safety from the demonstration scene. Many dead bodies there, and of those who died in forests in different parts of Pemba have not been collected for burial as people are not allowed to go out of their houses, and this could trigger an outbreak of cholera and other diseases.

(7)Somebody (name withheld) witnessed a 60-year old man sitting at his home being shot at by police.
(8) Somebody (name withheld) witnessed a woman who was cooking in her home's kitchen being shot by police.
(9) Medical supplies in Pemba have been depleted.

(10)More than 30 shops have been broken into and looted of stock in Wete, including that of Mr. Masoud Ali Hamad.

(11)Humiliation and sufferings continues in Pemba, especially in Wete and Mkoani. People are still harassed and tortured.

(12) Ambulances are the only vehicles allowed on the road, and they are always followed by heavily-armed riot-police cars in Wete.

30[SUP]th[/SUP] Jan 2001

(1) Road blocks between Chake Chake and Wete towns are still in place, all cars and passengers are searched and all knives found with passengers are confiscated. (Note: Pembans take with them knives as tools rather than weapons). Many passengers are harassed and humiliated.

(2) In Mtambwe area, 3 bodies have been found.

(3) A soldier by the name Ali Makame (alias Kijeshi) seconded to the office of the Regional Commissinor for Pemba North region, dared to rape the wife of another soldier (name withheld). It is suspected that the act was commited with the purpose of making the victim's husband believe that his wife was raped by his neighbours so that he could retaliate and harm and even kill the innocent neighbours.

(4)Police officers also looted food stuff, as much as they could carry at the Wete Market, and then they sprayed salt on the remaining food stuff which they could not carry on their lorries, so that the owners of would not be able to sell the commodities to any customers.

(5) Mr. Ali Moh'd Juma (alias Ali Zungu) of Hodhi la Ng'ombe was arrested after all his vehicles had been smashed and destroyed by police.

(iii) Mr. Nassor, a seriously injured victim of police brutality shown groaning on ITV (a TV station in dar es salaam), is yet to be taken to hospital for treatment as the police still hold him at the Wete Police station.

Micheweni, Pemba

30[SUP]th[/SUP] Jan 2001

(1)According to the Micheweni-hospital report, 14 injured people were treated there, out of which the following were referred to the Wete Hospital as their injuries were serious:
Mr. Abdalla Seif Masoud
Mr. Ali Rashid Salum
Mr. Ali Khalid Khatib, and
Mr. Machano Issa

(2)Two big police lorries fully laden with severely beaten-up people who were arrested in Micheweni, under a heavy riot police guard with full riot gear, was seen roaming the streets of Wete.

(3)A group of people who were preparing a shroud for the burial of one of those earlier shot and killed by police were also shot at by the police and died.

CUF H'QUARTERS

















































27[SUP]th[/SUP] Jan 2001

(1) Mr. Maulid Makame, a member of the Central Committee of CUF, and Mr. Moh'd Ali Yussuf, the CUF's Director for Human Rights, were arrested at their residences at around 3:00 a.m. in the morning, by heavily armed convoys of police.

(2) Among many people who were beaten-up and then violently arrested by police on the early morning hours of this day, 27[SUP]th[/SUP] Jan. 2001, were CUF leaders including Mr. Said Miraji the Deputy Youth Director of CUF, Mr. Rashid Nyange, Mr. Duni (the nephew of Mr. Juma Duni), and Hajjy Sadifa (leader and active member of CUF's Blue Guards).

These leaders, after they were dumped at the Madema police station, in Zanzibar town, were isolated from the group and were separately taken into secluded torturing chambers, where they were tortured each by a mob of more than eight policemen using police clubs, army boots and fists until they were unconscious.

A mob of more than eight policemen beat up, Mr. S. Miraji until he fell down helplessly when the mob decided to jump up and down on his body with their army boots on. At this stage he became unconscious and was assumed to be dead by the police mob. Mr. S. Miraji is admitted at the Mnazi Mmoja Hospital in Zanzibar, suffering from paralysis among other ailments and his condition was still serious as he can neither stand on his feet, nor can he fold his legs without the help of nurses.

(3) Most of those arrested on 27[SUP]th[/SUP] Jan, 2001, were taken to the Mwanakwerekwe Primary and District Courts. Their case is scheduled for hearing on 9[SUP]th[/SUP] Feb 2001.

(4) Most of those arrested on 28[SUP]th[/SUP] Jan, 2001, were taken to the Mwanakwerekwe Primary and District Courts. Their case is scheduled for a hearing on 12[SUP]th[/SUP] Feb 2001.


29[SUP]th[/SUP] Jan 2001

(1) On 29[SUP]th[/SUP] Jan 2001, early in the morning, Mrs. Fatma Saleh was arrested at her home in Mchangani, in Zanzibar. Mrs Fatma works as a secretary at the CUF headquarters at Mtendeni, Zanzibar.

2[SUP]nd[/SUP] Feb. 2001
















(1)In the evening of 2[SUP]nd[/SUP] Feb. 2001, the Commanding Officer for Zanzibar Town District (OCD), SP George Kizuguto accompanied by more than twelve riot police officers with full riot-gear, stormed the Casualty ward designated for the remandees and evicted by force all those admitted except four of them, who took them to unknown location. The list of those evicted included Mr. Duni and Hajjy Sadifa as well as one women. This action is thought to have been taken for the purpose of keeping all the seriously injured patients away from the eyes of the European Union Delegation currently visiting Unguja and Pemba Isles.

Reports from Kiinuamiguu Remand Prison say that CUF leaders who were being held there, and their followers, are tortured daily. It is reported from reliable sources that Mr. Maulid Makame's arm was broken. Mr. Zahor Tamali, who suffers from diabetes, could not take it any more and he was admitted at the inside-prison dispensary with no medicine and food as the prison authorities have issued an order that food and medicine should not be brought for all the prisoners.


The following is a list of some of the victims who were physically abused by Police and those whose properties were looted by the Police in collaboration with other Security forces in Chake Chake, Pemba. The lists for other regions of Zanzibar will be published later.


S/N
[h=1]NAME OF THE VICTIM[/h][h=1][/h][h=1]SEX[/h][h=1][/h][h=1]VICTIM'S ADDRESS[/h]
DETAILS OF PROPERTIES LOOTED
1
Khamis Mgando
M

Beaten-up, then 25,000/- (TShs) stolen, then was arrested along with his father, Kheri.
2
Bimkubwa
F

Was beaten up and then robbed of her money
3
Kheri
M

See above, no. 1
4
Asha Salim Suleiman
F

Was shot with live ammunition in her house, and her young sister was forced to take off her under wear. Also Police seized 18,000/- TShs.
5
Famau Salim Suleiman
M

Was robbed of 106,000/- TShs, cash.
6
Ramadhan Ibrahim
M

The inside doors of his house were broken.
7
Fatma Salim Fundi
F

Was beaten up and then robbed of her golden necklace and one radio. Her husband was severely beaten up.
8
Fatma Rashid Salim
F

Two doors of her house were broken, then she and her husband Mr. Seif Suleiman, were both beaten up by Police, who injured Mr Seif's leg and arm. After beating her spouse, Police robbed her of 2 golden necklaces, 4 golden rings, 1 golden bracelet, 1 golden earring, 670,000/- TShs in cash, 1 school bag, 2 bottles of perfume, 4 watches, 1 mobile-telephone handset, 10 pairs of kanga cloth.
9
Rashid Seif
M

Police took 150,000 TShs in cash from his house, and his wife was physically abused by Police.
10
Halima Nassor
F

Her clothes were stripped off and physically abused by Police, her husband was beaten up, and then was robbed of 2 golden bracelets and 3 pairs of golden rings.
11
Abdalla Nassor
M

A bomb was thrown into his bed, burning the mattress and the pillows.
12
Saumu
F

Was beaten up by Police and was robbed of 3 golden necklace, 2 golden bracelet, 5 golden rings, and 50,000/- TShs in cash. Then Police beat up her husband, Mr. Moh'd Salim Ali.
13
Salim Moh'd (Kibadi)
M

All doors and the furniture as well as utensils inside his house were smashed by Police.
14
Juma Ngwali
M

Police broke into his house and beat everybody inside the house, then smashed every thing, and finally got away with all jewellery found in the house.
15
Sharifa Mussa
F

Was beaten up and robbed of her 2 gold necklaces, 1 wrist watch and 120,000/- Tshs in cash.
16
Khadija (Dr.)
F

The doors to her house were smashed, then was robbed of her golden watch and 300,000/- TShs in cash.
17
Bi. Unguja
F

She was robbed of all her jewellery as well as all cash money.
18
The Anonymous


There are a number of women who were raped by Police but prefer that their names should not appear in this document but are willing and readily available to talk to their fellow women from International Institutions and Organisations that will be ready to investigate the facts about the Zanzibar massacre. They can be contacted through the following e-mail address: cuftz@hotmail.com

This morning, at around 2:00 am, Police and KMKM (Zanzibar Navy) invaded Monduli Village, in Zanzibar town, storming into houses occupied by Pembans, guided by the local CCM representative, and beat up everybody inside those houses, then got away with money, jewelry and other valuable properties. Such ongoing targeting Pembans both in Pemba and Zanzibar Islands is certainly a case of gross human rights violations ordered by Benjamin Mkapa and his CCM party using Police and other Security forces.

Conclusion:

Arbitrary arrests, detentions, harassments, beatings and intimidations, and killings are still common in Zanzibar. Police and the security services are mounting a witch-hunt against CUF members and supporters, especially those of Pemban origin.

The Civic United Front requests all human rights institutions and other concerned organizations to contact the Tanzanian government or its representatives abroad, before the situation escalates into more bloodshed and violence. CUF also wishes to remind the International Community that the protection of human rights is a universal moral obligation, and that the failure to intervene will increase the sufferings of innocent people in Zanzibar.
 
Ramadhani Ighondu wa Ikulu ndiye mtekaji na mtesaji wa Dr Ulimboka
 
Ritz ulivyokuwa una-comment kwenye thread za mauaji yanayosababishwa na Polisi dhidi ya kuikabili CDM nilikuona mtu mwerevu na usiyeegemea upande wowote. Nilikuheshimu kwa kuchangia mawazo yako chanya yenye kulaani utumiaji wa nguvu kubwa na kusisitiza hatua stahiki zichukuliwe baada ya uchunguzi. Ila kwa habari yako hii ya sasa, inanifanya niamini kuwa ni mmojawapo unayejipatia ujira kwa kazi hii kwa kuwajibikia kundi fulani. VIPI wamekutishia kukusimamishia mgao nini? Maana hata bumbuwazi hili halijatutoka umekuja na Historia unayoichakachua.
 
we are talking of current issues, hata mwamko wakati ule ulikuwa sio sana, watu walikuwa waoga zaidi, mambo maovu hayakujitokeza sana wakati huo kama sasa, taarifa pia hazikutolewa waziwazi kama sasa ( zaidi kulikuwa na biased information) iliyozungumzwa na upande mmoja zaidi-ccm.
sasa ukilinganisha mambo yaliyotokea miaka 11 iliyopita! hata cdm ya wakati huo haikuwa hii ya sasa, sina uhakika kama huendi kwenye dini wewe kijana, naona unaelekea huko. ngoja wengine wachangie
 
Kwa hiyo unakiri Polisi ndio walioua siyo?

FJM,
Mie sipo humu kulitetea Jeshi la Polisi, natetea utaifa, ni kweli wanauwa ni polisi, leo hii polisi alifyatua bomu na kumuua mwandishi anafikishwa mahakamani, kwa ni Chadema walikuwa upande wa polisi kwenye mauji ya Pemba?
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Tanzania ni nchi yetu sote na itajengwa na sisi wenyewe na itabomolewa na sisi wenyewe, Inasikitisha sana la polisi linapotumia nguvu kuuwa raia wanaofanya maandamo kwa amani kwa kuwapiga risasi za moto.

Itakumbukwa maandamano yalifanyika janauri 27, 2001 yalikabiliwa na polisi na kusababisha vifo na majeruhi. Hadi sasa idadi ya vifo inayotajwa na serikali ni watu 34, lakini kuna madai kuwa waliokufa ni zaidi yao cha kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.

Lakini polisi wanapofanya mauaji kwa wafuasi wa Chadema, kule Arusha walikufa watu wawili, Kule Morogoro alikufa mtu mmoja na Iringa alikufa muandishi wa habari, hawa ndio wanaonekana raia muhimu ambao hawakutakiwa kuuwa lakini waandamaji wa pemba walitakiwa kuuwa..

Mmeanza kutafunana
 
Ritz ulivyokuwa una-comment kwenye thread za mauaji yanayosababishwa na Polisi dhidi ya kuikabili CDM nilikuona mtu mwerevu na usiyeegemea upande wowote. Nilikuheshimu kwa kuchangia mawazo yako chanya yenye kulaani utumiaji wa nguvu kubwa na kusisitiza hatua stahiki zichukuliwe baada ya uchunguzi. Ila kwa habari yako hii ya sasa, inanifanya niamini kuwa ni mmojawapo unayejipatia ujira kwa kazi hii kwa kuwajibikia kundi fulani. VIPI wamekutishia kukusimamishia mgao nini? Maana hata bumbuwazi hili halijatutoka umekuja na Historia unayoichakachua.

Mkuu Lyimo,

Nadhani hunijui vizuri unaweza kunipa ushahidi wowote Chadema walichukuwa hatua gani baada ya hayo mauaji hao sababu waliokufa walikuwa wapemba.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Tanzania ni nchi yetu sote na itajengwa na sisi wenyewe na itabomolewa na sisi wenyewe, Inasikitisha sana la polisi linapotumia nguvu kuuwa raia wanaofanya maandamo kwa amani kwa kuwapiga risasi za moto.

Itakumbukwa maandamano yalifanyika janauri 27, 2001 yalikabiliwa na polisi na kusababisha vifo na majeruhi. Hadi sasa idadi ya vifo inayotajwa na serikali ni watu 34, lakini kuna madai kuwa waliokufa ni zaidi yao cha kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.

Lakini polisi wanapofanya mauaji kwa wafuasi wa Chadema, kule Arusha walikufa watu wawili, Kule Morogoro alikufa mtu mmoja na Iringa alikufa muandishi wa habari, hawa ndio wanaonekana raia muhimu ambao hawakutakiwa kuuwa lakini waandamaji wa pemba walitakiwa kuuwa..
Usiwe unaropoka Ritz lete ushahidi Nani kiongozi wa CDM alitamka hayo, Ilikuwa Lini na wapi sio unaamka asubuhi unaandika stori ya ndoto uliyoota usiku.Tulikuheshimu kwa michango yako juu ya matukio haya ya mauaji jirekebishe tusije kukudharau tena kama Nape tunavyomdharau
 
Wanabodi,

Tanzania ni nchi yetu sote na itajengwa na sisi wenyewe na itabomolewa na sisi wenyewe, Inasikitisha sana la polisi linapotumia nguvu kuuwa raia wanaofanya maandamo kwa amani kwa kuwapiga risasi za moto.

Itakumbukwa maandamano yalifanyika janauri 27, 2001 yalikabiliwa na polisi na kusababisha vifo na majeruhi. Hadi sasa idadi ya vifo inayotajwa na serikali ni watu 34, lakini kuna madai kuwa waliokufa ni zaidi yao cha kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.

Lakini polisi wanapofanya mauaji kwa wafuasi wa Chadema, kule Arusha walikufa watu wawili, Kule Morogoro alikufa mtu mmoja na Iringa alikufa muandishi wa habari, hawa ndio wanaonekana raia muhimu ambao hawakutakiwa kuuwa lakini waandamaji wa pemba walitakiwa kuuwa..

mimi nilikuwa najipanga kuchangia JF ili niwe Gold Member, sasa inabidi nianze kufikiri upya.
 
Mkuu Lyimo,

Nadhani hunijui vizuri unaweza kunipa ushahidi wowote Chadema walichukuwa hatua gani baada ya hayo mauaji hao sababu waliokufa walikuwa wapemba.
Kwani CCM wamechukua hatua gani katika mauaji yaliyotokea hivi karibuni kama sio kutoa maneno yasiyo na msingi wowote juu ya ufedhuri huu wa Polisi ambao wapo chini ya serikali ya CCM
 
Wanabodi,

Tanzania ni nchi yetu sote na itajengwa na sisi wenyewe na itabomolewa na sisi wenyewe, Inasikitisha sana la polisi linapotumia nguvu kuuwa raia wanaofanya maandamo kwa amani kwa kuwapiga risasi za moto.

Itakumbukwa maandamano yalifanyika janauri 27, 2001 yalikabiliwa na polisi na kusababisha vifo na majeruhi. Hadi sasa idadi ya vifo inayotajwa na serikali ni watu 34, lakini kuna madai kuwa waliokufa ni zaidi yao cha kushangaza polisi walipo wauwa hao waandamaji wa Pemba, Chadema walikuwa upande wa Jeshi la Polisi na serikali na kudai waandamaji hao walikuwa wanataka kuatalisha amani ya nchi.

Lakini polisi wanapofanya mauaji kwa wafuasi wa Chadema, kule Arusha walikufa watu wawili, Kule Morogoro alikufa mtu mmoja na Iringa alikufa muandishi wa habari, hawa ndio wanaonekana raia muhimu ambao hawakutakiwa kuuwa lakini waandamaji wa pemba walitakiwa kuuwa..

Ritz,

Wanaoiboboa nchi siyo sisi wananchi ......................... unless unamaana ya nyinyi wana CCM!!!
 
Lyimo huyo @Rirz anaishi kwa ujira wa per post, asipolipwa anafunguka lakini wakimlipa hana tabu anarudi kula matapishi yake.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha ha ha! Very interesting! Kwa mara ya kwanza magamba yanaanza kuukubali ukweli japo kwa hila. Tartiiiiiiiiiiibu mtaingia tunduni tu.

Mkuu nashukuru angalau kwa kukubaliana na Chadema kwamba ni POLISI ndio wauwaji na sio vinginevyo kama gamba Nape, et. al. wanavyotaka kuuaminisha umma.

Hii (mauaji) ndio hoja ya msingi na yenye mashiko kuliko hiyo ya double standardization. Akili kubwa huangalia chanzo na sio matokeo.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom