CHADEMA wanajiita Chama Kikuu cha upinzani wakati walipata mbunge 1 wanatumia vigezo gani?

Wanaukumbi.

CHADEMA hamjui hata vigezo vya kuwa chama kikuu cha upinzani. Sasa CHADEMA kwa matamko kwamba hamtambui UCHAGUZI MKUU wa 2020 wala matokeo yake, mnakuwaje tena chama kikuu cha upinzani?

Hebu tuwelewesheni tafadhali, au kwa kiti kimoja cha Ubunge. Kuna swali waliulizwa Bawacha na ofisa mmoja pale ubalozi wa Marekani wakati wa maandamano yao aliwauliza mna wabunge wangapi bungeni wakabaki wanaangaliana.

Yule ofisa akasubiri majibu hamna aliyemjibu.

Uchaguzi Mkuu 2020

Matokeo yalionyesha kuwa ACT Wazalendo ilipata wabunge 3, CUF ilipata wabunge 3 na CHADEMA ilipata mbunge 1.

CHADEMA wanaendelea kujiita chama kikuu cha upinzani au kambi rasmi ya upinzani bungeni au inatokana na wale wabunge wa viti maalumu?
Uchaguzi ulifanyika lini?
 
Mziki upi mkubwa kiongozi wenu kakamatwa leo mwezi hamna hatua yoyote mliochukuwa mnabweka kwenye mitandao tu.
Sasa mkuu Ritz, hao CHADEMA zaidi ya 400 walioko magerezani kutokana na ishu ya mwenyekiti, nao wako mitandaoni? Mitandao bila shaka inasaidia. Si unaona mpaka mabalozi wa nchi za "mabeberu" wamekubali mziki wetu? Wanahudhuria mahakamani.

Halafu hukuona majuzi TBC wenyewe wameanzisha mjadala wa katiba mpya, moto uliowashwa na CHADEMA unazidi kushika kasi. Nipe Tano basi mtani.
 
Muulize Mbunge wa Nkasi Chadema alishinda lini.
Yule mbunge wala hakushinda. Magu alikuwa amekwiba asilimia 100. Akashituka. Akamkumbuka Lipumba alivyosaidia kumsambaratisha Maalim Sefu, na kwa kuwa Hawa Ghasia amekuwa kero, akamtoa sadaka, akampa kiti hicho mbunge wa cuf. Kuna jamaa wakamtonya Magu kwamba mabeberu hawatakubali CHADEMA ikose kiti kabisa, watasema tumekwiba. Basi Magu kakuna kichwa weee, akavuta pumzi, akasema Hewallah, tuwape CHADEMA jimbo gani? Sitaki Mbowe, Lema, Msigwa, Sugu...nani? Heche? Noooo, sitaki mtu wa kutusumbua. Basi ikaonekana apewe hilo jimbo la huko Rukwa. Ukifuatilia utagundua pia huyo aliyekuwa mgombea wa ccm wa jimbo hilo atakuwa alimkera Magu pahala. Kwa hiyo wala sisi CHADEMA hatuhesabu ule kuwa ni ushindi, bali mwizi kaamua kudondosha buku jero ili wale wanaomfukuza kwa kelele za mwizi! Mwizi! Wabaki wanagombea wakati yeye anatokomea zake. Hiyo wala haitusumbui.
 
Harakati na Siasa zinatakiwa zijikite katika kutafuta Tanzania Bora yenye Haki, Usawa, Utawala Bora na demokrasia; kuweka mbele maslahi mapana ya Taifa sio kutaka kuikwamisha serikali ishindwe kuongoza nchi au ku-sabotage mipango ya Rais aliyepo madarakani.
 
Wanaukumbi.

CHADEMA hamjui hata vigezo vya kuwa chama kikuu cha upinzani. Sasa CHADEMA kwa matamko kwamba hamtambui UCHAGUZI MKUU wa 2020 wala matokeo yake, mnakuwaje tena chama kikuu cha upinzani?

Hebu tuwelewesheni tafadhali, au kwa kiti kimoja cha Ubunge. Kuna swali waliulizwa Bawacha na ofisa mmoja pale ubalozi wa Marekani wakati wa maandamano yao aliwauliza mna wabunge wangapi bungeni wakabaki wanaangaliana.

Yule ofisa akasubiri majibu hamna aliyemjibu.

Uchaguzi Mkuu 2020

Matokeo yalionyesha kuwa ACT Wazalendo ilipata wabunge 3, CUF ilipata wabunge 3 na CHADEMA ilipata mbunge 1.

CHADEMA wanaendelea kujiita chama kikuu cha upinzani au kambi rasmi ya upinzani bungeni au inatokana na wale wabunge wa viti maalumu?
na mbunge mwenyewe hawamtaki
 
Wanaukumbi.

CHADEMA hamjui hata vigezo vya kuwa chama kikuu cha upinzani. Sasa CHADEMA kwa matamko kwamba hamtambui UCHAGUZI MKUU wa 2020 wala matokeo yake, mnakuwaje tena chama kikuu cha upinzani?

Hebu tuwelewesheni tafadhali, au kwa kiti kimoja cha Ubunge. Kuna swali waliulizwa Bawacha na ofisa mmoja pale ubalozi wa Marekani wakati wa maandamano yao aliwauliza mna wabunge wangapi bungeni wakabaki wanaangaliana.

Yule ofisa akasubiri majibu hamna aliyemjibu.

Uchaguzi Mkuu 2020

Matokeo yalionyesha kuwa ACT Wazalendo ilipata wabunge 3, CUF ilipata wabunge 3 na CHADEMA ilipata mbunge 1.

CHADEMA wanaendelea kujiita chama kikuu cha upinzani au kambi rasmi ya upinzani bungeni au inatokana na wale wabunge wa viti maalumu?
....walipata mbunge mmoja kutoka wapi maana tz mara ya mwisho kufanya uchaguzi ilikuwa 2015. Hapajawahi kufanyika uchaguzi tena.
 
Wanaukumbi.

CHADEMA hamjui hata vigezo vya kuwa chama kikuu cha upinzani. Sasa CHADEMA kwa matamko kwamba hamtambui UCHAGUZI MKUU wa 2020 wala matokeo yake, mnakuwaje tena chama kikuu cha upinzani?

Hebu tuwelewesheni tafadhali, au kwa kiti kimoja cha Ubunge. Kuna swali waliulizwa Bawacha na ofisa mmoja pale ubalozi wa Marekani wakati wa maandamano yao aliwauliza mna wabunge wangapi bungeni wakabaki wanaangaliana.

Yule ofisa akasubiri majibu hamna aliyemjibu.

Uchaguzi Mkuu 2020

Matokeo yalionyesha kuwa ACT Wazalendo ilipata wabunge 3, CUF ilipata wabunge 3 na CHADEMA ilipata mbunge 1.

CHADEMA wanaendelea kujiita chama kikuu cha upinzani au kambi rasmi ya upinzani bungeni au inatokana na wale wabunge wa viti maalumu?
hawa ni ahuni tu kama wale wahuni waliowasha mshumaa ukaunguza sokola karume hawafai
 
....walipata mbunge mmoja kutoka wapi maana tz mara ya mwisho kufanya uchaguzi ilikuwa 2015. Hapajawahi kufanyika uchaguzi tena.
sasa huo kuwachama kikuucha upinzani kwa uchaguzi upi sasa mbonamnajichanganya
 
....walipata mbunge mmoja kutoka wapi maana tz mara ya mwisho kufanya uchaguzi ilikuwa 2015. Hapajawahi kufanyika uchaguzi tena.
Waulize wanaokula ruzuku ya chama au unaogopa kuhoji utafukuzwa.
 
sasa huo kuwachama kikuucha upinzani kwa uchaguzi upi sasa mbonamnajichanganya
uchaguzi ndiyo una-determine chama kikuu cha upinzani? soma historia ya Tanganyika na tz kwa ujumla, kabla ya uhuru vilikuwepo vyama vingi. Lakini TANU ya Nyerere ndiyo ilikuwa chama kikuu cha upinzani kwa wakoloni. Wakati huo kulishafanyika uchaguzi Tanganyika hata TANu ionekane tishio kwa waingereza?

vijana wa ccn mna uono mfinyu sana na mambo. Hata ccm yenu hamuijui
 
Back
Top Bottom