CHADEMA wanahangaika na mikutano ya mitaani wakati hawana hata balozi mmoja hivi vyama vinaongozwa na watu wenye IQ ndogo sana

CHADEMA wanahangaika na mikutano ya mitaani wakati hawana hata balozi mmoja hivi vyama vinaongozwa na watu wenye IQ ndogo sana

instinct desire

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2026
Posts
554
Reaction score
483
Nashangaa kuona CHADEMA wanahangaika na mikutano wakati hawana hata balozi mmoja nchi nzima nadhani Sheria zitungwe ili kudhibiti vurugu za namna hii,

Nauliza CHADEMA mnafanya mkutano kwa faida ipi? Hii sasa ni vurugu Sheria itungwe kuwazuia.
 
Nashangaa kuona chadema wanahangaika na mikutano wakati hawana hata balozi mmoja nchi nzima nadhani Sheria zitungwe ili kudhibiti vurugu za namna hii,

Nauliza chadema mnafanya mkutano kwa faida ipi? Hii sasa ni vurugu Sheria itungwe kuwazuia.
20251118_075441.jpg
 
Nashangaa kuona chadema wanahangaika na mikutano wakati hawana hata balozi mmoja nchi nzima nadhani Sheria zitungwe ili kudhibiti vurugu za namna hii,

Nauliza chadema mnafanya mkutano kwa faida ipi? Hii sasa ni vurugu Sheria itungwe kuwazuia.
wanapiga jeramba la kuanza kuomba kuchangiwa pesa za matumizi kwenye vibakuli,

akina heche wana hali mbaya sana kiuchumi 🐒
 
Nashangaa kuona chadema wanahangaika na mikutano wakati hawana hata balozi mmoja nchi nzima nadhani Sheria zitungwe ili kudhibiti vurugu za namna hii,

Nauliza chadema mnafanya mkutano kwa faida ipi? Hii sasa ni vurugu Sheria itungwe kuwazuia.
20250525_203026.jpg

Siku mkiweza kufanya mikutano bila ya kusomba watu kwa magari ya bure na kupata angalau watu 2000 nakulipa 5M.
 
Nashangaa kuona chadema wanahangaika na mikutano wakati hawana hata balozi mmoja nchi nzima nadhani Sheria zitungwe ili kudhibiti vurugu za namna hii,

Nauliza chadema mnafanya mkutano kwa faida ipi? Hii sasa ni vurugu Sheria itungwe kuwazuia.
Mabalozi wana tija gani?
Mbogamboga wana mabalozi ila hawawezi kuvutia na kujaza watu kwenye mikutano yao bila kufanya haya:
● watu kununuliwa na kusombwa na malori
● wasanii kuitwa kutumbuiza
● walimu, wanafunzi na watumishi wengine kulazimishwa kuhudhuria, nk
 
Nashangaa kuona chadema wanahangaika na mikutano wakati hawana hata balozi mmoja nchi nzima nadhani Sheria zitungwe ili kudhibiti vurugu za namna hii,

Nauliza chadema mnafanya mkutano kwa faida ipi? Hii sasa ni vurugu Sheria itungwe kuwazuia.
Duuh! Umezaliwa mwaka gani?
 
Mabalozi wana tija gani?
Mbogamboga wana mabalozi wengi ila hawawezi kuvutia na kujaza watu kwenye mikutano yao bila kufanya haya:
● watu kununuliwa na kusombwa na malori
● wasanii kuitwa kutumbuiza
● walimu, wanafunzi na watumishi wengine kulazimishwa kuhudhuria, nk
Hao ndo wapiga KURA wenyewe sasa
 
Kwa hiyo mkuki kwa nguruwe tu ila kwa binadamu mchungu, eh?
kwahiyo hapo mkuki uko sehemu gani gentleman?🤣

chadema inafahamika iko taabani kiuchumi, hakuna haja ya kuzunguka saaaana kuomba kuchangiwa pesa,

wajitokeze kama kawaida yao bila aibu kudhihirisha tabia yao mbaya na ya fedheha ya kuomba omba kuchangiwa pesa badala ya kufanya kazi
 
wajitokeze kama kawaida yao bila aibu kudhihirisha tabia yao mbaya na ya fedheha ya kuomba omba kuchangiwa pesa badala ya kufanya kazi
Wee chawa, mbona unarukaruka kama maharagwe yanayochemka kwenye sufùria jikoni??

Nimekuuliza: mbona mbogamboga walichangiwa mabilioni ya pesa na mafisadi papa??

Au unataka Chama Kikuu cha Siasa Tanzania nao watafute mafisadi papa??
 
Akili ndogo kuliko ya samuya????
Eti bei ya lita moja ya mafuta USA ni dola 8000, khaaa...hiyo ni akili au matope?!?!.
 
Nashangaa kuona chadema wanahangaika na mikutano wakati hawana hata balozi mmoja nchi nzima nadhani Sheria zitungwe ili kudhibiti vurugu za namna hii,

Nauliza chadema mnafanya mkutano kwa faida ipi? Hii sasa ni vurugu Sheria itungwe kuwazuia.
Akili ya kuku ni kuparua ardhi tu
 
Back
Top Bottom