ni mtulia tena kinondoni ccm mbele kwa mbele ushindi wa kimbungaaaBaada ya kuona Hali tete kwao sasa chadema wanajipanga kutimua mbio na kujitoa kinondoni.
Taarifa toka ndani inasema mkakati unapangwa na viongozi wa chama icho kuleta fujo kisa kujitoa.
Majuzi walipanga kuendesha kampeni kupitia misikiti lakini hata hiyo inaonekakana waumini wengi wakislam wamegoma kuwaelewa.
Mipango yao ya mwisho kwa sasa ilikuwa kuwanunua mawqkala wa ccm.
Check hapa picha ya mkutano wa ccm tandale Leo.
Ccm oyeeee
Hivi kwa nini CCM wanatumia nguvu sana humu mitandaoni kuhusu Kinondoni? Siha sioni, kuna nini? Nasikia wamekataa kuwaapisha mawakala wa CDM! Kuna mtu anaitwa Wandamba nadhani anaweka machapisho si chini ya 1000 kwa siku hapa JFUzi wa kijinga sana !
Ndugu unajitahidi kutetea CHADEMA, hivi huwaga huna Shughuli nyingine ?Uzi wa kijinga sana !
Mbona na nyie singinda mlisusa lakini kinondoni mpo?Hivi kwa nini CCM wanatumia nguvu sana humu mitandaoni kuhusu Kinondoni? Siha sioni, kuna nini? Nasikia wamekataa kuwaapisha mawakala wa CDM! Kuna mtu anaitwa Wandamba nadhani anaweka machapisho si chini ya 1000 kwa siku hapa JF
Rubbish.Baada ya kuona Hali tete kwao sasa chadema wanajipanga kutimua mbio na kujitoa kinondoni.
Taarifa toka ndani inasema mkakati unapangwa na viongozi wa chama icho kuleta fujo kisa kujitoa.
Majuzi walipanga kuendesha kampeni kupitia misikiti lakini hata hiyo inaonekakana waumini wengi wakislam wamegoma kuwaelewa.
Mipango yao ya mwisho kwa sasa ilikuwa kuwanunua mawqkala wa ccm.
Check hapa picha ya mkutano wa ccm tandale Leo.
Ccm oyeeee
Achane naye huyo jamaa ameshiba matango pori anayolishwa na da'Mange.Ndugu unajitahidi kutetea CHADEMA, hivi huwaga huna Shughuli nyingine ?
Nyie na nani? I am neither CCM nor CDM, I stand for justiceMbona na nyie singinda mlisusa lakini kinondoni mpo?
Hivi kuna tajiri asiye na kazi ?Ndugu unajitahidi kutetea CHADEMA, hivi huwaga huna Shughuli nyingine ?
Naam,hiki nacho ni kisingizio kizuriAibu waziri anawashwa washwa. Mpango wenu wa kuwanyima mawakala wa CHADEMA wasiapishwe hadharani. Jitayarisheni kwa kimbunga
Mmeshaanza kutengeneza sababuNaona kila baada ya dakika kumi ni Uzi wa Kinondoni.Wapeni Mawakala barua acheni ujuha