Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Igwe wanaJF
Mambo ni hivi!! huenda wanamikakati wa Chadema sasa wanafikiria namna bora ya kuutangazia umma wa watanzania kuwa wanajitoa kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Kinondoni na Siha. Kwa sasa itabidi waje na sababu mpya maanake ile ya kuminywa demokrasia wananchi wameichoka.
Wengi walimshauri Mbowe kutoshiriki ili kuepuka aibu na angeendelea na ile ile sababu ya kuwa wao 'wananyanyaswa na kuuawa' lakini kwa sasa baada ya uchaguzi siri itafichuka kumbe hata kwenye kata 43 na Longido wananchi waliwakataa.
Sasa mambo ni hivi..hivi....hiviii! Ni wakati was kuacha kujiaminisha Kongo na kuukubali ukweli kwamba Chadema imefubaa.
Naam,namaliza kwa kusisitiza....Chadema mambo ni hiviii!
Mambo ni hivi!! huenda wanamikakati wa Chadema sasa wanafikiria namna bora ya kuutangazia umma wa watanzania kuwa wanajitoa kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Kinondoni na Siha. Kwa sasa itabidi waje na sababu mpya maanake ile ya kuminywa demokrasia wananchi wameichoka.
Wengi walimshauri Mbowe kutoshiriki ili kuepuka aibu na angeendelea na ile ile sababu ya kuwa wao 'wananyanyaswa na kuuawa' lakini kwa sasa baada ya uchaguzi siri itafichuka kumbe hata kwenye kata 43 na Longido wananchi waliwakataa.
Sasa mambo ni hivi..hivi....hiviii! Ni wakati was kuacha kujiaminisha Kongo na kuukubali ukweli kwamba Chadema imefubaa.
Naam,namaliza kwa kusisitiza....Chadema mambo ni hiviii!