Endelea kukiabudu chama cha Mapinduzi ccm kama ulivyojinasibisha ktk jina unalotumia kwa sasa ,unaonekana wewe huwa unapenda kubishana sidhani kama hawa uliowaomba waje kubishana kama watakubali kuja kubishana na mtu kama wewe unajipikia habari na kuzileta jamvini kujihakikishia siku yako ya leo imekwenda sawa.Siasa hizi za kutumika hazijengi bali zinajenga chuki baina ya Watanzania na Serikali yao ,endelea kujitahidi kukiuwa ccm.
Halafu wakiambiwa wamedumaa na tena ni vyuma chakavu wanakuja juu. Kiboko yao ******.