Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Wana JF chadema wana haha mida hii kununua picha alizopigwa mawe Dr Slaa maeneo ya Mwandiga zisitolewe na ITV,juhudi za kununua kwa gharama zote picha hizo zina fanyika hadi sasa wanabishana iwe milioni 5,ukweli ni kwamba Dr slaa leo kapigwa mawe maeneo ya mwandiga nakufukuzwa kwa kuzomewa
Naomba Mods msitoe uzi huu ni ukweli wa asilimia 100
Naomba Mods msitoe uzi huu ni ukweli wa asilimia 100