Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 842
- 2,467
Basi Jaji Mutungi ni mpumbavu, Ameambiwa asajili vyama vya siasa yeye kasajili hicho msemacho.Haiondoi ukweli chadema sio chama
Spika wa Bunge ni chokoraa, wanaingia watu wanajiita wabunge wa chama cha siasa kumbe sio wa chama cha siasa bali wa hicho mnachokiita nyie sijui nini!
Rais naye sijui tusemeje maana anawatambua wabunge wasio wa chama cha siasa bali msemavyo.
Nadhani hapa cha hovyo itakuwa ni huo mfumo na sio hicho msemacho sio chama
Sent using Jamii Forums mobile app