Hatimuliwi mtuwatimuliwe tu ndicho tunchotaka
Hatimuliwi mtuwatimuliwe tu ndicho tunchotaka
Kwani maamuzi bado mpaka saizNaunga mkono hoja kwani inategemea wewe ni chama gani. Ukiwa ni M-CCM hakika itakuwa ni kinyume chake.
Tupo kwenye haki!Wachawi nao, yule mliekuwa mnamloga siku zote leo mwampigania.
Nimeuliza swali Ila nimesahau kuweka kiulizo tu. Nahitaji kusikia maamuzi ya kuwafukuza tu.Mkuu hapo umeuliza swali au umeuliza jibu?
Ukiitwa kwenye "UE" ukaacha kutokea yaani Ila "abscond" unaendelea kusubiri matokeo kuwa labda huja disco?
Hiiii bagosha!
HAKI ipi toka kwa mchawi anaekusumbua na kukuloga siku zote muda wote, usiku na mchana?Tupo kwenye haki!
Nimeuliza swali Ila nimesahau kuweka kiulizo tu. Nahitaji kusikia maamuzi ya kuwafukuza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiwatimua tutafidia vp mapato ya chama yanayotokana na makato ya mishahara ya hao wabungeFukuza wote, Timua wote ndo tunalisubiria!
Mpumbavu ni mumeoNyie jamaa wafuasi wa CHADEMA wote ni WAPUMBAVU na sitachoka kuwakumbusha. Hivi hamjiulizi yote yaliyotokea Mbowe yupo kimya!?.. Kama mnataka kuamini huu ni mchezo wa viongozi wa CHADEMA wakishirikiana na CCM, baada ya leo hutaona Mnyika akinyanyua domo lake kuongea lolote, ingawa kinyume chake alitakiwa mpaka Sasa hivi atoe tamko la kuishtaki tume kugushi sahihi yake. Ila NYUMBU zitaendelea kuitetea CHADEMA mitandaoni. Kuna watu huwa nadhani walitakiwa kuwa ng'ombe, hawawezi kutumia common sense.
UnawashwaWengi mnaombea iwe hivyo lakini haitotokea!
AiseeNyie jamaa wafuasi wa CHADEMA wote ni WAPUMBAVU na sitachoka kuwakumbusha. Hivi hamjiulizi yote yaliyotokea Mbowe yupo kimya!?.. Kama mnataka kuamini huu ni mchezo wa viongozi wa CHADEMA wakishirikiana na CCM, baada ya leo hutaona Mnyika akinyanyua domo lake kuongea lolote, ingawa kinyume chake alitakiwa mpaka Sasa hivi atoe tamko la kuishtaki tume kugushi sahihi yake. Ila NYUMBU zitaendelea kuitetea CHADEMA mitandaoni. Kuna watu huwa nadhani walitakiwa kuwa ng'ombe, hawawezi kutumia common sense.
Chama ni itikadi siyo fedha zilizojaa damu za wanachama wetu.Kuna wakati sio wa kusikiliza wanachama kwa matakwa yao
Viongozi wanaangalia mambo kiundani zaid,
Nikupe mfano mmoja, wabunge 20 kila mmoja akitoa Milion 2 kwa mwez kwa miaka mitano chama kina Bilion plus
Hapo chama kimepata faida na mtaji wa kuanzia uchaguzi mkuu ujao
Je wanachama wanaweza kuchanga hizo ela? Tukianza na ww
Umepoteza hela yako ya betHi itakua kinyume chake
Ngoja tuone kikao kitaamua nini....
Kama.nchi hii inafuata utawala wa sheria na haki hapa kuna watu wangekwenda jela. Kama mnyika anakana kwa nafasi yake chama kutoshiriki huyo aliyepeleka majina ni nani na alipataje huo ujasiri??? Ingeundwa time huru kuchunguza na kila muhusika awajibishwe kwa nafasi yake kuanzia speaker na hao TISS waliomtoa mtu usiku gerezani
Hiyo itikadi yenu ndio itaweka Gari za viongozi mafuta?Chama ni itikadi siyo fedha zilizojaa damu za wanachama wetu.
Chama chetu kinathamini haki na utu wa wanachama wetu.
Hatuwezi kamwe kwenda kuungana na mtu ambaye kashikilia maelfu ya wanachama wetu kinyume cha sheria.
Never
Wanatimuliwa covid 19Hatimuliwi mtu
Unawashwa
Stiff necked fullHiyo itikadi yenu ndio itaweka Gari za viongozi mafuta?
Hiyo itikadi yenu ndio italipa mishahara kwa wafanyakazi?
Hiyo itikadi yenu ndio italipa ukumbi wa mikutano?