johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,857
Katiba ina mambo mengi na swala la Tume ya uchaguzi na taratibu zake ni sehemu kipande tu cha katiba.
Chadema wanapigania Katiba mpya kwa maslahi ya kimadaraka zaidi na siyo maendeleo ya jamii, ndio maana kilio chao kikuu kimekuwa ni Tume huru ya uchaguzi.
Niwakumbushe tu Chadema kuwa Katiba mpya siyo turufu ya kuitoa CCM madarakani bali vinahitajika vyama vya upinzani Imara visivyoendekeza njaa kuweza kuikabili CCM.
Ukiwa na vyama visivyo na njaa hata kwa katiba hii uchaguzi utakuwa huru kwa sababu wenye vyama vyao watalinda kura zao na hii tuliiona 2015 kule Iringa, Kawe, Mbeya, Arusha, Tunduma na Ubungo kwa Saed Kubenea.
Maendeleo hayana vyama!
Chadema wanapigania Katiba mpya kwa maslahi ya kimadaraka zaidi na siyo maendeleo ya jamii, ndio maana kilio chao kikuu kimekuwa ni Tume huru ya uchaguzi.
Niwakumbushe tu Chadema kuwa Katiba mpya siyo turufu ya kuitoa CCM madarakani bali vinahitajika vyama vya upinzani Imara visivyoendekeza njaa kuweza kuikabili CCM.
Ukiwa na vyama visivyo na njaa hata kwa katiba hii uchaguzi utakuwa huru kwa sababu wenye vyama vyao watalinda kura zao na hii tuliiona 2015 kule Iringa, Kawe, Mbeya, Arusha, Tunduma na Ubungo kwa Saed Kubenea.
Maendeleo hayana vyama!