Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Ndipo mnapofanya JF watu wajitoe Kwa vile sio tena home of great thinkers bali group la wajinga na mbumbumbu.hakuna pale shule hakuna.uzoefu hakuna.labda majungu na kuteka watu.
Kazi za kitendaji za serikali sio za siasa ni za watanzania wenye sifa za taaluma sio itikadi ya siasa.
Sasa kujadili mambo ya siasa na MTU ambaye hata hilo halijui in kupoteza muda.
Kuna msemo usemao "Don't argue with a fool people might not notice a difference"
Ndio kuhusu kundi lenu hilo la f....s
Sent using Jamii Forums mobile app