CHADEMA wamuombe radhi DC Igunga

Organizer

Member
Oct 4, 2011
8
0
Mimi mpenda mabadiliko Tanzania nimefuatilia uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Igunga na kuona jinsi kampeni zilivyokuwa.

Kumetokea matukio mbalimbali ya kukashifiana,kumwagiana tindikali,bastola mkutanoni,kufyatua risasi nk ambayo kwa namna moja ama nyingine yalitia dosari kampeni za uchaguzi huo.

Ukiangalia kwa makini utaona kuwa hayo matukio yamehusisha wanachama wa vyama tofauti lakini tukio la kumkamatwa na kushikiliwa kwa DC wa Igunga kipindi kabla ya kampeni ni tukio lililokihusisha Chadema moja kwa moja kama chama.Hili tukio halikuwa la kistaarabu kwa kuwa DC wa Igunga alikuwa kwenye majukumu yake ya kazi na hakupaswa kudhalilishwa kiasi kile.

Tukubali tusikubali ni kwamba kitendo cha kumdhalilisha DC wa Igunga kimewapunguzia KURA Chadema kwa kuwa CCM + magazeti yao walichukua hicho kitendo kama mtaji wao wa kisiasa na wamefanikiwa kwa hilo.

Kwa heshima na taadhima napenda kumuomba Dr.Slaa kwa niaba ya CDM wamuombe radhi DC wa Igunga na wananchi wote wa Igunga na hii itaonesha kuwa CDM imestaarabika na ni chama cha waadilifu na itawezesha CDM kukubalika zaidi jimboni humo.
 
Mimi mpenda mabadiliko Tanzania nimefuatilia uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Igunga na kuona jinsi kampeni zilivyokuwa.

Kumetokea matukio mbalimbali ya kukashifiana,kumwagiana tindikali,bastola mkutanoni,kufyatua risasi nk ambayo kwa namna moja ama nyingine yalitia dosari kampeni za uchaguzi huo.

Ukiangalia kwa makini utaona kuwa hayo matukio yamehusisha wanachama wa vyama tofauti lakini tukio la kumkamatwa na kushikiliwa kwa DC wa Igunga kipindi kabla ya kampeni ni tukio lililokihusisha Chadema moja kwa moja kama chama.Hili tukio halikuwa la kistaarabu kwa kuwa DC wa Igunga alikuwa kwenye majukumu yake ya kazi na hakupaswa kudhalilishwa kiasi kile.

Tukubali tusikubali ni kwamba kitendo cha kumdhalilisha DC wa Igunga kimewapunguzia KURA Chadema kwa kuwa CCM + magazeti yao walichukua hicho kitendo kama mtaji wao wa kisiasa na wamefanikiwa kwa hilo.

Kwa heshima na taadhima napenda kumuomba Dr.Slaa kwa niaba ya CDM wamuombe radhi DC wa Igunga na wananchi wote wa Igunga na hii itaonesha kuwa CDM imestaarabika na ni chama cha waadilifu na itawezesha CDM kukubalika zaidi jimboni humo.

Wewe ndo unatakiwa uombe radhi CDM kwa kuandka upupu na kitu usichokijua!
 
Anayefikiri kwa kutumia masaburi utamjua tu wala huhitaji kuambiwa anatumia masaburi. Kama ni bibi yako na unaona amevunjiwa heshima umwombe radhi wewe mwenyewe na umwambie kuwa siku nyingine asifanye hivyo tena na akijaribu mwambie atakosa kichwa.
 
Chadema walifanya kitendo cha kishujaa kumdhibiti mhalifu.Inabidi wapenda demokrasia na haki kote nchini wafanye maandamano ya kuunga mkono na kulaani wale wote wanaotumia nyadhifa zao kukandamiza demokrasia.
 
hatuwezi kumwomba msamaha mhalifu...tunajiandaa kuchukua dola 2015 tutawakamata wahalifu wote kama huyo CD....
 
Mimi mpenda mabadiliko Tanzania nimefuatilia uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Igunga na kuona jinsi kampeni zilivyokuwa.

Kumetokea matukio mbalimbali ya kukashifiana,kumwagiana tindikali,bastola mkutanoni,kufyatua risasi nk ambayo kwa namna moja ama nyingine yalitia dosari kampeni za uchaguzi huo.

Ukiangalia kwa makini utaona kuwa hayo matukio yamehusisha wanachama wa vyama tofauti lakini tukio la kumkamatwa na kushikiliwa kwa DC wa Igunga kipindi kabla ya kampeni ni tukio lililokihusisha Chadema moja kwa moja kama chama.Hili tukio halikuwa la kistaarabu kwa kuwa DC wa Igunga alikuwa kwenye majukumu yake ya kazi na hakupaswa kudhalilishwa kiasi kile.

Tukubali tusikubali ni kwamba kitendo cha kumdhalilisha DC wa Igunga kimewapunguzia KURA Chadema kwa kuwa CCM + magazeti yao walichukua hicho kitendo kama mtaji wao wa kisiasa na wamefanikiwa kwa hilo.

Kwa heshima na taadhima napenda kumuomba Dr.Slaa kwa niaba ya CDM wamuombe radhi DC wa Igunga na wananchi wote wa Igunga na hii itaonesha kuwa CDM imestaarabika na ni chama cha waadilifu na itawezesha CDM kukubalika zaidi jimboni humo.

Nawapongeza CDM kwa kukaa kimya kwani hawastahili kuomba radhi wala kumjibu mjinga yeyote anayeamua kutumia upumbavu wake kwa leongo la kisiasa kuharibu jamii ya watanzania na misingi yake. Kwani haiingii akilini hao Chama Cha majambazia kuamua kutumia dini kwa kuwahonga vizee vya dini viongee utumbo usio na maana eti CDM ikose kura!! Lakini je hao CCM wanaelewa sumu kiasi gani wameipanda kwa njia waliotumia??? Hao CCM ndiyo wawaombe radhi watanzania kwa kuingizi udini kwenye jamii yetu.
 
Mimi mpenda mabadiliko Tanzania nimefuatilia uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Igunga na kuona jinsi kampeni zilivyokuwa.

Kumetokea matukio mbalimbali ya kukashifiana,kumwagiana tindikali,bastola mkutanoni,kufyatua risasi nk ambayo kwa namna moja ama nyingine yalitia dosari kampeni za uchaguzi huo.

Ukiangalia kwa makini utaona kuwa hayo matukio yamehusisha wanachama wa vyama tofauti lakini tukio la kumkamatwa na kushikiliwa kwa DC wa Igunga kipindi kabla ya kampeni ni tukio lililokihusisha Chadema moja kwa moja kama chama.Hili tukio halikuwa la kistaarabu kwa kuwa DC wa Igunga alikuwa kwenye majukumu yake ya kazi na hakupaswa kudhalilishwa kiasi kile.

Tukubali tusikubali ni kwamba kitendo cha kumdhalilisha DC wa Igunga kimewapunguzia KURA Chadema kwa kuwa CCM + magazeti yao walichukua hicho kitendo kama mtaji wao wa kisiasa na wamefanikiwa kwa hilo.

Kwa heshima na taadhima napenda kumuomba Dr.Slaa kwa niaba ya CDM wamuombe radhi DC wa Igunga na wananchi wote wa Igunga na hii itaonesha kuwa CDM imestaarabika na ni chama cha waadilifu na itawezesha CDM kukubalika zaidi jimboni humo.


unayajuwa majukumu oke kunamajukumu halamu na halali ujambazi nao nisehemu ya majukumu uombe usikamatwe atauvae suti kanzu nk utazaliliswa tuu
 
Nahisi wakati unaandika post yako huwezi kuwa ulichamba baada ya kutoka kujisaidia haja kubwa!
 
Mimi mpenda mabadiliko Tanzania nimefuatilia uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Igunga na kuona jinsi kampeni zilivyokuwa.

Kumetokea matukio mbalimbali ya kukashifiana,kumwagiana tindikali,bastola mkutanoni,kufyatua risasi nk ambayo kwa namna moja ama nyingine yalitia dosari kampeni za uchaguzi huo.

Ukiangalia kwa makini utaona kuwa hayo matukio yamehusisha wanachama wa vyama tofauti lakini tukio la kumkamatwa na kushikiliwa kwa DC wa Igunga kipindi kabla ya kampeni ni tukio lililokihusisha Chadema moja kwa moja kama chama.Hili tukio halikuwa la kistaarabu kwa kuwa DC wa Igunga alikuwa kwenye majukumu yake ya kazi na hakupaswa kudhalilishwa kiasi kile.

Tukubali tusikubali ni kwamba kitendo cha kumdhalilisha DC wa Igunga kimewapunguzia KURA Chadema kwa kuwa CCM + magazeti yao walichukua hicho kitendo kama mtaji wao wa kisiasa na wamefanikiwa kwa hilo.

Kwa heshima na taadhima napenda kumuomba Dr.Slaa kwa niaba ya CDM wamuombe radhi DC wa Igunga na wananchi wote wa Igunga na hii itaonesha kuwa CDM imestaarabika na ni chama cha waadilifu na itawezesha CDM kukubalika zaidi jimboni humo.

chadema chama cha wahuni..
 
Mimi mpenda mabadiliko Tanzania nimefuatilia uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Igunga na kuona jinsi kampeni zilivyokuwa.

Kumetokea matukio mbalimbali ya kukashifiana,kumwagiana tindikali,bastola mkutanoni,kufyatua risasi nk ambayo kwa namna moja ama nyingine yalitia dosari kampeni za uchaguzi huo.

Ukiangalia kwa makini utaona kuwa hayo matukio yamehusisha wanachama wa vyama tofauti lakini tukio la kumkamatwa na kushikiliwa kwa DC wa Igunga kipindi kabla ya kampeni ni tukio lililokihusisha Chadema moja kwa moja kama chama.Hili tukio halikuwa la kistaarabu kwa kuwa DC wa Igunga alikuwa kwenye majukumu yake ya kazi na hakupaswa kudhalilishwa kiasi kile.

Tukubali tusikubali ni kwamba kitendo cha kumdhalilisha DC wa Igunga kimewapunguzia KURA Chadema kwa kuwa CCM + magazeti yao walichukua hicho kitendo kama mtaji wao wa kisiasa na wamefanikiwa kwa hilo.

Kwa heshima na taadhima napenda kumuomba Dr.Slaa kwa niaba ya CDM wamuombe radhi DC wa Igunga na wananchi wote wa Igunga na hii itaonesha kuwa CDM imestaarabika na ni chama cha waadilifu na itawezesha CDM kukubalika zaidi jimboni humo.

hivi unafikiri kuomba radhi ni jambo dogo eeh?
 
dc ni kada wa ccm, alijaribu kutumia nafasi yake kama kiongozi kuhujumu shughuli za CHDEMA. Kilichompata ni kiashiria cha mambo ya mbele yatakayowapata viongozi wasiojali maslahi ya walio wengi bali maslahi ya watawala kandamizi, ni bakola tu ndio dawa yao.
 
Mimi mpenda mabadiliko Tanzania nimefuatilia uchaguzi mdogo wa Ubunge wa Igunga na kuona jinsi kampeni zilivyokuwa.

Kumetokea matukio mbalimbali ya kukashifiana,kumwagiana tindikali,bastola mkutanoni,kufyatua risasi nk ambayo kwa namna moja ama nyingine yalitia dosari kampeni za uchaguzi huo.

Ukiangalia kwa makini utaona kuwa hayo matukio yamehusisha wanachama wa vyama tofauti lakini tukio la kumkamatwa na kushikiliwa kwa DC wa Igunga kipindi kabla ya kampeni ni tukio lililokihusisha Chadema moja kwa moja kama chama.Hili tukio halikuwa la kistaarabu kwa kuwa DC wa Igunga alikuwa kwenye majukumu yake ya kazi na hakupaswa kudhalilishwa kiasi kile.

Tukubali tusikubali ni kwamba kitendo cha kumdhalilisha DC wa Igunga kimewapunguzia KURA Chadema kwa kuwa CCM + magazeti yao walichukua hicho kitendo kama mtaji wao wa kisiasa na wamefanikiwa kwa hilo.

Kwa heshima na taadhima napenda kumuomba Dr.Slaa kwa niaba ya CDM wamuombe radhi DC wa Igunga na wananchi wote wa Igunga na hii itaonesha kuwa CDM imestaarabika na ni chama cha waadilifu na itawezesha CDM kukubalika zaidi jimboni humo.

user-online.png
Organizer



Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 4th October 2011
Posts : 4
Thanks1
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0
 
Umechanganyikiwa na hao wanao kutuma kuja kupima upepo waambie tuko farm .Kwanza wewe mbuzi kabisa .Unaleta madai hayo hapa nani kakueleza hii ni ofisi ya Chadema.Peleka ujinga wako huko ukiumwa zaidi nenda Kinondoni kawaambie Chadema uso kwa uso ujionee mwenyewe .
 
mpumbavu ukimuita mpumbavu hujamtukana! ni sawa na kumuita Mbwa ,Mbwa we! hilo siyo tusi kwa Mbwa.
vivyo hivyo kama binadamu anayefanya upumbavu ni Mpumbavu na siyo tusi though yeye mwenyewe asingependa aitwe hivyo hata kama ndo ukweli wenyewe.maelezo ya mada hii yanadhihirisha aliyeileta ni mtu wa namna gani.
 
Unasema hivi kwa kuwa CDM imeshindwa au? DC Kimario hakuwa sahihi, hebu jiulize mazingira aliyokamatwa DC ni mazingira ambayo ni kama alikuwa amekwenda kumtembelea mwanao anaesoma boarding! Kwa mantiki ile kuna shaka nyingi ndani yake!
 
nani aombwe msamaha? yule kafiri mfunga nguruwe? yeye ndo awaombe msamaha BAKWATA kwa kuwadangaya yeye muislama BAKWATA wakatokwa povu kwa kumtetea kumbe kafiri.
 
Back
Top Bottom