CHADEMA "wamtosa" Zitto

Ndugu zangu,

Mara kadhaa nimetoa ushahidi wa unafiki ulipo kwa kambi ya upinzani dhidi ya Zitto na hata pale nilipoweka bayana jinsi Chadema walipoongeza chuki yao kwa Zitto baada ya Seif na wafuasi wake kutimkia Cuf.

Japo imekuwa ni kawaida ya Zitto kutunga habari za uongo kuhusu masuala mengi ya kitaifa lakini Chadema wamekuwa wakimpotezea.Ninaposema Chadema namaanisha Mbowe na si "keyboard worriors".

Mbowe kama KUB alipaswa amuunge mkono Zitto na hoja zake ambazo kimsingi zimewateka vijana wa Chadema mitandaoni na kama vile hautoshi hakuna Mbunge hata mmoja wa Chadema anayejaribu kumuunga mkono Zitto hata kwa kulike posti zake.

Niseme tu kwa uwazi,upinzani Tanzania "unatafunana" wenyewe kwa wenyewe.

Alamsik
Mkuu umepotea maboya,ACT sio Chadema wala Chadema sio ACT.
Pili Chadema inajitoshereza yenyewe haitaki mapenzi ya kuunga unga pasipo sababu za msingi.
Chadema kina historia ndefu hadi kilipofikia hapa,wakati mwingine hakiitaji msaaada ili kutimiza malengo yake.
Ndio maanake CCM hawalali wakisikia hata kada wa kawaida wa Chadema kakoa watatumia nguvu za kipolisi na jela kumdhibiti.Ni waoga sana kuliko desturi ya tawala za Kidemokrasia.
 
Wabunge wa cdm na viongozi wana sababu za kiushindani kumpotezea zzk lakini ina faida kwao kwani zzk ameamua kufanya siasa za kifedhuli dhidi ya serikali ya ccm. Lissu tu ndie wanaonana jicho kwa jicho na zitto. Zitto amekua akizua takwimu habari za uomgo au kupitosha habari akilenga kutetea hoja za kibeberu japo anajidai ni mjamaa.
Kuna ile marufuku ya takwimu, kama Zito anazua takwimu za uongo, kwa nini asikamatwe? Mtamshambilia sana bila data itakula kwenu
 
Mkuu umepotea maboya,ACT sio Chadema wala Chadema sio ACT.
Pili Chadema inajitoshereza yenyewe haitaki mapenzi ya kuunga unga pasipo sababu za msingi.
Chadema kina historia ndefu hadi kilipofikia hapa,wakati mwingine hakiitaji msaaada ili kutimiza malengo yake.
Ndio maanake CCM hawalali wakisikia hata kada wa kawaida wa Chadema kakoa watatumia nguvu za kipolisi na jela kumdhibiti.Ni waoga sana kuliko desturi ya tawala za Kidemokrasia.
Kwahiyo hakuna ushirikiano miongoni mwa upinzani?
 
Ataamuungaje mkono zitto wakati ana kinyongo alitaka seif aende chadema akamtosa
Ndugu zangu,

Mara kadhaa nimetoa ushahidi wa unafiki ulipo kwa kambi ya upinzani dhidi ya Zitto na hata pale nilipoweka bayana jinsi Chadema walipoongeza chuki yao kwa Zitto baada ya Seif na wafuasi wake kutimkia Cuf.

Japo imekuwa ni kawaida ya Zitto kutunga habari za uongo kuhusu masuala mengi ya kitaifa lakini Chadema wamekuwa wakimpotezea.Ninaposema Chadema namaanisha Mbowe na si "keyboard worriors".

Mbowe kama KUB alipaswa amuunge mkono Zitto na hoja zake ambazo kimsingi zimewateka vijana wa Chadema mitandaoni na kama vile hautoshi hakuna Mbunge hata mmoja wa Chadema anayejaribu kumuunga mkono Zitto hata kwa kulike posti zake.

Niseme tu kwa uwazi,upinzani Tanzania "unatafunana" wenyewe kwa wenyewe.

Alamsik
 
Back
Top Bottom