johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Chadema mkoa wa Tabora wamemshukuru na kumpongeza Rais Magufuli kwa kutoifunga nchi wakati wa Corona.
Akiongea kwa niaba ya uongozi wa mkoa wa Chadema, mbunge wa viti maalumu mh Mwaisonga amesema wao kama chama wanamshukuru Mungu kwa maono aliyompa Rais Magufuli na hatimaye ametuvusha salama.
Mh Mwajuma amesisitiza kuwa Chadema itaendelea kumpa ushirikiano Rais Magufuli kwa mambo yote yenye manufaa kwa taifa letu.
Source: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!