Hata waandike utenzi haitowasaidia ikiwa wenyewe ndio chanzo cha migogoro.
So what?
Hata waandike utenzi haitowasaidia ikiwa wenyewe ndio chanzo cha migogoro.
kweli wewe m.atako kwa fikra zako rais wa nchi hii atachukuwa hatua juu ya mambo hayo?kwa ufinyu wa fikra zako jaribu tena kufikiria sawa?Hawa CHADEMA naona wanataka adhabu kutoka kwa Rais, vifo wasababishe wao halafu wanaomba hatua zichukuliwe? kaz kweli kweli.
Nadhania Rais akiamua na sheria zikapitiwa vizuri, ni wazi CDM wataingia matatani, ngoja tusubiri reaction ya Rais.
Changa la macho hilo ili kujikosha na kashfa ya kutoa kafara watoto wa watu. Kuna ulazima gani wa rais kutoa kauli wakati ambapo hatua zimeshachukuliwa? Mbayuwayu in action.
Hawa CHADEMA naona wanataka adhabu kutoka kwa Rais, vifo wasababishe wao halafu wanaomba hatua zichukuliwe? kaz kweli kweli.
Nadhania Rais akiamua na sheria zikapitiwa vizuri, ni wazi CDM wataingia matatani, ngoja tusubiri reaction ya Rais.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wamemwandikia barua rasmi rais Jakaya Kikwete juu ya mwenendo wake wa kukaa kimya na kutochukua hatua yoyote kwa baadhi ya matukio yanayoonuesha kupangwa na wahusika kutowajibika hivyo wanamtaka rais awawajibishe.
Baadhi ya hao wanaotakiwa kuwajibishwa ni kamanda wa polisi wa Iringa, Morogoro, Arusha, Tabora na waziri wa mambo ya Ndani bwana Nchimbi
Changa la macho hilo ili kujikosha na kashfa ya kutoa kafara watoto wa watu. Kuna ulazima gani wa rais kutoa kauli wakati ambapo hatua zimeshachukuliwa? Mbayuwayu in action.
Sheria ni msumeno, Ningekuwa Rais ningeanza na kuchukua hatua dhidi ya CHADEMA kwa sababu, chanzo cha vifo vya watanzania wasiyo na hatia ni maandamano na mikutano yao isiyo rasmi.