Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Chato Ujaona Mtu?Bulaya na Mdee nimewaona huku Buza
Kumbe unakaa Buza! Ndio maana.Bulaya na Mdee nimewaona huku Buza
Ni hao tuu umewaonaBulaya na Mdee nimewaona huku Buza
Kama wa jiwe kujificha chattle.Upuuzi mtupu na utoto
Sio kama DJ zero?Kama wa jiwe kujificha chattle.
Daftari la mahudhurio bungeni ndie msemaji wa kweli kuwa chadema wako dodoma au hawako dodoma sio.kazi yake kujua wako guest gani . Dodoma au dar !!!Upuuzi mtupu na utoto
Sijawahi kuona spika wa ajabu kama huyu. Na hatakaa atokee tena.
Hienda wanakula Kodi zetu Guest House, si unajua siku hizi Hakuna kwenda DubalDaah haya ndio majibu ya chama kikuu cha upinzani we are doomed.
Jamaa wanacheza kombolela na Spika.
Huo muda wa kucheza kombolela na Spika mlipaswa kuwa bungeni.
Msisahau tu kurudisha hela mlizopokea.
No yule aliye foji Piechi diiSio kama DJ zero?
Jana ulikuwa Chako Ni Chako,leo upo Buza,kesho utakuwa Mwandiga,na kesho kutwa utakuwa Hai - Kilimanjaro.Bulaya na Mdee nimewaona huku Buza
Agenda kubwa inayojadiliwa ulimwenguni kuhusu Wabunge wa Chadema kutokuwepo Bungeni na kusababisha bunge kuwa kama kikao cha kitchen party ni sababu za kutoka kwao sio hayo mengine.Daftari la mahudhurio bungeni ndie msemaji wa kweli kuwa chadema wako dodoma au hawako dodoma sio.kazi yake kujua wako guest gani . Dodoma au dar !!!
Hakuna cha kukatwa vikao vijavyo mnajikopesha bila ruksa ya mwajiri? Mkopo wowote lazima uuombe na uidhinishwe na mwajiri huwezi amua tu kujikopesha kuwa ohhh Mimi hii hela niliyojichukia kinyume na taratibu najikopesha utanikata mbeleni ukifa Leo tutakukata wapi? Halafu huwezi tu jiamulia kuwa posho uw mkopo!!! Rudisha zote halafu omba mkopo kama unataka ndipo use me nitakatwa mbeleni rudisha kwanzaNdugai kakurupuka, lakini hili jambo halina shida sana kwa wabunge wa Chadema kwani kulipwa in advance waweza kukatwa malipo ya vikao vitakavyo fuata..