Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Miaka minne imeisha Chadema imeshindwa kubeba jukumu kubwa walilopewa na upinzani matokeo yake hiyo kazi imefanywa na vyama vyenye wabunge wachache kama NCCR-Mageuzi, CUF na ACT Wazalendo.
Wenyewe Chadema wamekuwa wakiona fahari muda mwingi kushinda mahakamani kwa kesi ambazo hazina msingi badala ya kuhudumia Wananchi. Utasikia wakihamasishana mitandaoni "Makamanda kesho tuhudhurie mahakamani" ila huwezi kuwaona kwenye kuhamasisha Maendeleo.
Pale bungeni ndio wamepwaya kabisa, hawatoi hoja za sera mbadala ila ni vinara wa kuleta vurugu bungeni.
Chadema hawajawatendea haki Watanzania, sisi kama Watanzania tutawaacha Chadema na kuchagua chama kingine kinachoipenda Tanzania na sio hawa wajanja wajanja kisiasa.
Tuipende Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenyewe Chadema wamekuwa wakiona fahari muda mwingi kushinda mahakamani kwa kesi ambazo hazina msingi badala ya kuhudumia Wananchi. Utasikia wakihamasishana mitandaoni "Makamanda kesho tuhudhurie mahakamani" ila huwezi kuwaona kwenye kuhamasisha Maendeleo.
Pale bungeni ndio wamepwaya kabisa, hawatoi hoja za sera mbadala ila ni vinara wa kuleta vurugu bungeni.
Chadema hawajawatendea haki Watanzania, sisi kama Watanzania tutawaacha Chadema na kuchagua chama kingine kinachoipenda Tanzania na sio hawa wajanja wajanja kisiasa.
Tuipende Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app