CHADEMA wamepoteza dira kuwaambia Watanzania kususia huduma na bidhaa ili Serikali ikose mapato

Wanaukumbi.

CHADEMA tuelezeni hizo Tozo Mpya zinaingizia serikali kiasi gani cha Pesa Kisha mtueleze matumizi ya serikali kama mnavyodai zinaenda kununua mabomu na kulipa polisi mishahara.

Serikali inasema hizo Tozo zitakwenda Tamisemi kujenga madarasa na zahanati zingine zinaenda Taruru kujenda barabara vijijini.

Heche na Lema wanawajaza watu ujinga huko Space, mnawambia watu et wafanye boycott Campaign hii mara nyingi inatumika kwa bidhaa au huduma mfano kampeni za kususia Coca Cola nunua Pepsi au kususia vifurushi vya Vodacom nunua Tigo. Lengo ni kunyoosha kampuni kama haisimamii haki. Unasusia serikali ili umuumize nani kodi zinamnufaisha nani?

Ukisusia kununua Petrol utauza gari au kulipaki nyumbani ukisusia kununua vifurushi tuanze kuandikiana barua au tupeleke salamu kwa mkono?

Ukisusia maji, vinywaji, vyakula utaishi au utakufa.

Miradi ya maendeleo kama Barabara, Huduma za Afya, Shule, zinamnufaisha nani?
Ukiwa na akili timamu huwezi wasikiliza CDM wameshikwa pabaya sasa wanatafuta attention kwa lazima na ambavyo serikali imetangaza ajira za ma pot ndio wamechanganyikiwa kabisa
 
Wanaukumbi.

CHADEMA tuelezeni hizo Tozo Mpya zinaingizia serikali kiasi gani cha Pesa Kisha mtueleze matumizi ya serikali kama mnavyodai zinaenda kununua mabomu na kulipa polisi mishahara.

Serikali inasema hizo Tozo zitakwenda Tamisemi kujenga madarasa na zahanati zingine zinaenda Taruru kujenda barabara vijijini.

Heche na Lema wanawajaza watu ujinga huko Space, mnawambia watu et wafanye boycott Campaign hii mara nyingi inatumika kwa bidhaa au huduma mfano kampeni za kususia Coca Cola nunua Pepsi au kususia vifurushi vya Vodacom nunua Tigo. Lengo ni kunyoosha kampuni kama haisimamii haki. Unasusia serikali ili umuumize nani kodi zinamnufaisha nani?

Ukisusia kununua Petrol utauza gari au kulipaki nyumbani ukisusia kununua vifurushi tuanze kuandikiana barua au tupeleke salamu kwa mkono?

Ukisusia maji, vinywaji, vyakula utaishi au utakufa.

Miradi ya maendeleo kama Barabara, Huduma za Afya, Shule, zinamnufaisha nani?
Watu wenyewe majinga tu kama lema. Yamejaa ubinafsi yanataka utajiri juu ya migongo ya wengine kwa kuwalaghai. Lema inadaiwa alikuaga mwizi wa magari akapata hela. Akaona asijihatarishe siasa kuna hela rahisi. Sasa kaona kakwama ubunge kachagua ukimbizi wazungu wanampa hela anaishi na kusomesha watoto wake canada. Lissu naye hivyohivyo. Bahati nzuri umoja wetu watanzania hatutetereki kuharibu nchi yetu kuikosesha amani. Hata hao wasanii wa siasa naona kama wanawafanyiaga usanii mabeberu kula hela zao bila kumwaga damu ya watanzania. Mungu ibariki tanzania.
 
Chadema hawajawahi kuwa na ajenda ya kueleweka wao ni kukurupuka tuu, wao wanaita kubadili gear angani.
 
Mkuu usiwe na wasi wasi maana hata hili pia litapita kama yalivyopita mengine. Uzuri ni kwamba 95% ya watanzania wameshaachana na siasa za kilaghai za Chadema ndo maana kila wanalopanga linabuma.

Kama watu waliweza kuchangia chama chao katika uchaguzi mkuu na michango ikaliwa na mwenyekiti akishirikiana na genge lake, watashindwaje kuchangia tozo ambazo ni kwa ajili ya kuwajengea barabara zao, hospital zao, shule zao nk.

Michango ya uchaguzi imetafunwa vibaya sana na wajanja na hadi leo hakuna mrejesho wa matumizi yake

View attachment 1906246
Ndoto za alinacha hizi
 
Back
Top Bottom