Hakukuwa na sababu ya msingi kwa MC, DJ Mbowe na Mwalimu kuwapa watu waliohudhuria tension zisizo na maana eti kuna maamuzi mazito yatokanayo na uenguaji wa wagombea wa ACT na CDM.
Taarifa yenyewe ambayo imesisitizwa na hawa wasanii ni
1. Kutokuwa tayari kujitoa uchaguzi huu.
2. Kudai katika kila mkutano wa kampeni, wagombea walioenguliwa na NEC warudishwe.
3. Kufanya maandamano ya amani na wagombea kabla ya mikutano yao ya kampeni
Khaaaaaa!
Yaani haya ndo maamuzi mazito yaliyomsubiri mgombea urais ayaseme. Na kwa jinsi bwana Mwalimu alivyosisitiza wananchi wawe na utayari, basi nikadhani kinanuka leo. Hahahaaaaa
Duh, kwa kweli hawa watu walitakiwa wapimwe akili kwanza.
Kwa sababu hizo tatu, mgombea urais ameahirisha kusoma ilani ya chama chake ambayo ameiandika katika kurasa 24.
Lakini cha ajabu, akaweza kuhutubia kuhusu kuwekewa damu ndoo tatu, operesheni 24, gari iliyompeleka hospitali, na kuchangisha michango.
Yaani Lissu kuzurura kote kule Ulaya ameshindwa kupata msaada wa kugharamia kampeni.
Duuuuuuh
Hakyamungu, CHADEMA imefeli vibaya katika siku ya kwanza. Sasa subirini mziki wa CCM leo. Mtajutia mlivyobugi Zakiem.
Taarifa yenyewe ambayo imesisitizwa na hawa wasanii ni
1. Kutokuwa tayari kujitoa uchaguzi huu.
2. Kudai katika kila mkutano wa kampeni, wagombea walioenguliwa na NEC warudishwe.
3. Kufanya maandamano ya amani na wagombea kabla ya mikutano yao ya kampeni
Khaaaaaa!
Yaani haya ndo maamuzi mazito yaliyomsubiri mgombea urais ayaseme. Na kwa jinsi bwana Mwalimu alivyosisitiza wananchi wawe na utayari, basi nikadhani kinanuka leo. Hahahaaaaa
Duh, kwa kweli hawa watu walitakiwa wapimwe akili kwanza.
Kwa sababu hizo tatu, mgombea urais ameahirisha kusoma ilani ya chama chake ambayo ameiandika katika kurasa 24.
Lakini cha ajabu, akaweza kuhutubia kuhusu kuwekewa damu ndoo tatu, operesheni 24, gari iliyompeleka hospitali, na kuchangisha michango.
Yaani Lissu kuzurura kote kule Ulaya ameshindwa kupata msaada wa kugharamia kampeni.
Duuuuuuh
Hakyamungu, CHADEMA imefeli vibaya katika siku ya kwanza. Sasa subirini mziki wa CCM leo. Mtajutia mlivyobugi Zakiem.