Nimesikia kwenye heading za magazeti ya kwamba chadema wamepata viti maalumu rasmi bungeni,nini kinamaanishwa hapa?kama kuna mdau anaelewa vizuri kuhusu hili basi atupe data.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.