hizi hela wangechimba hata visima vya maji xi wananchi wangewashukuru????
hakuna nchi isiyodaiwa, inachotakiwa ni masharti mliyokubaliana nayo
cmm hauioni wanadaiwa mpaka na vikundi vya mama ntilie ,wanadaiwa usafiri wa malori hayo yote huyaoni chadm taifa kubwa kama wamekopa maana yake wanakopesheka na nyie kakopeni tuone
CDM wanapata ruzuku sasa kwa nini wasiweze kulipa?Kwani kupanga ni kuchagua.
Ruzuku wanayoipata chadema haiendani kabisa na gharama wanazotumia katika M4C OP. Huo ni mkopo, watalipaje hawa wachaga???
Wana JF,
Taarifa ambazo bado hazijadhibitishwa ni kuwa chadema wamekopa
Fedha nyingi nje ya nchi ili kuendesha operation ya M4C Pamoja Daima.
Ikiwa kama ni kweli je hizi fedha zote walizokopa nje ya nchi watazilipaje
na kwa chanzo kipi cha mapato???
Mandla,
kwani wewe ndio mhasibu wa cdm? au ndio OPD imewatibua viongozi wenu hapo lumumba? maana sidhani kama kinana na nape wataenda tena kwa wananchi maana waliimba nyimbo nzuri sana za mawaziri mizigo watachukuliwa hatua, wanaogopa wakifika wataulizwa maswali.
No research no right to speak.