bhageshi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 264
- 101
Kufikiria kuwa CHADEMA wanaweza kuongoza kupata kuongoza nchi ni alinacha. Igunga kipimo tosha.
Huwa nakueshim sana na posts zako nyingi lakini unaposhindwa kufanya tahimini ndogo sana kama hii ya takwimu za uchaguzi kwa upande wa ccm napata wasiwasi na ulewa wako wa wa HESABU na sisemi HISABATI, narudia tena HESABU, maana viongozi wengi wa ccm wamesoma HESABU na walikuwa wanafeli kweli HISABATI, lakini sasa inapofikia hata HESABU haisaidii napata sana wasiwasi juu ya haya yaandikwayo na watu niliokuwa nawaheshimu. chama kilikuwa kinashinda kwa kimbunga more than 89% kila mwaka au kila uchaguzi unaojitokeza wanashuka kwa asilimia bado takwimu hizo zinashindwa kukusaidia kuona wapi tunaelekea!!!!!!! au ndio UBISHI TU mradi umebisha pasipo kuangalia statistics facts. Faiza Badilisha kauli yako nirudishe heshima kwao.