kambitza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 2,045
- 1,311
Gazeti la NIPASHE tunajua mnamtumikia nani (MENGI NA MTEI NI MARAFIKI) ptuuu
Kweli kabisa uhitaji hata elimu ya kidato cha nne kuulewa unafiki wao...
Gazeti la NIPASHE tunajua mnamtumikia nani (MENGI NA MTEI NI MARAFIKI) ptuuu
acha matusi mkuu, pinga kwa hoja.
Bora ningekuwa sijamsikia waziri nimemsikia neno baada ya neno....Huu ni uongo mwingine wa kimataifa.
[h=5]HISTORIA FUPI YA MAREHEMU CHADEMA
MAREHEMU ALIZALIWA 1992 NA AMEFARIKI 2013 , ALIPITIA CHANGAMOTO NYINGI SANA, KWANI MAREHEMU HAKUWAHI KWENDA SHULE KABISA. MAREHEMU AMEFARIKI AKIWA ANATIBIWA NA DAKTARI ALIYEPATA ZIRO FORM SIX BADALA YA KUMPASUA MAREHEMU MGUU AMEMPASUA KICHWA NA KUTOA UBONGO (ZITTO).
MAREHEMU AMEACHA MAMBULULA WENGI SANA MTAANI AMBAO HAWANA MSAADA WAMEBAKI OMBA OMBA.
CCM ILITOA NA CCM IMETWAA. JINA LA CCM LIDUMU[/h]
Kama mzaha vile kumbe CDM ni makini kiukweli kweli
chadema mnahangaika kama kuku anayetaka kutaga
Samahani we ni kabila gani?