CHADEMA wameachana na "nguvu ya umma" hadi "nguvu ya majipu", nani wa kulaumiwa?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Kwa sasa chadema ni kama wamepotoea,mwanzo walipata umaarufu kwa kujihusisha na "nguvu ya umma" ukiangalia mabadiliko haya yaliasisiwa na Lowassa katika sherehe za mwaka mpya wa 2016 alipotetea majipu katika ibada.

Tokea hapo wafuasi wa chadema wamekuwa mstari wa mbele kutetea na kuwafariji "majipu".Je ni muelekeo sahihi?

Nakaribisha maoni ya wadau.
 
Kwa sasa chadema ni kama wamepotoea,mwanzo walipata umaarufu kwa kujihusisha na "nguvu ya umma" ukiangalia mabadiliko haya yaliasisiwa na Lowassa katika sherehe za mwaka mpya wa 2016 alipotetea majipu katika ibada.

Tokea hapo wafuasi wa chadema wamekuwa mstari wa mbele kutetea na kuwafariji "majipu".Je ni muelekeo sahihi?

Nakaribisha maoni ya wadau.
CDM ilisafiri kwenda Canada na Dr Slaa. Akaacha nakala.
 
Kwa sasa chadema ni kama wamepotoea,mwanzo walipata umaarufu kwa kujihusisha na "nguvu ya umma" ukiangalia mabadiliko haya yaliasisiwa na Lowassa katika sherehe za mwaka mpya wa 2016 alipotetea majipu katika ibada.

Tokea hapo wafuasi wa chadema wamekuwa mstari wa mbele kutetea na kuwafariji "majipu".Je ni muelekeo sahihi?

Nakaribisha maoni ya wadau.
Ni kweli kabisa CHADEMA tunatetea mafisadi : Lugumi, Escrow, MV magogoni, Richmond, meremeta, uuza wa nyumba za serikali , Rushwa ya million 10 kwa kila mbunge wa CCM akiwemo mbunge wa viti maalum kutoka Songwe, utapeli wa rambirambi za tetemeko la Bukoba.

Pia mahakama ya mafisadi tunaitumia kufuga mbayuwayu na popo kwasababu hatutaki kufukua makaburi.
 
Once a government is committed to the principle of silencing the voice of opposition, it has only one way to go, and that is down the path of increasingly repressive measures, until it becomes a source of terror to all its citizens and creates a country where everyone lives in fear.
We gamba Upo hapo?
Ona haya yakuongelewa kama msingeweka udictator:
1.Hali ngumu sana kimaisha.
2.watumishi stahiki zao kudhulumiwa na kufukuzwa pasipo taratibu.
3.Kupanda bidhaa.
4.Dhuluma rambirambi kagera.
5.Vijana kukosa ajira.
6.kuwanyima mikopo.
7.Matusi/dhihaka kwa watanzania (vilaza).
8.Ukandamizaji na ukiukwaji wa sheria(refer Lema).
9.Bunge kuzimwa.
10.Vitisho,kujiita Mungu.
Subiri utaona hiyo hasira ya watu.
Jumuiya za kimataifa na vyama vya kisiasa vitaanza kudai tume huru ya uchaguzi Tanzania muda wowote.

Poleni wazanzibar.
 
chadema haijawahi kupoteza umaarufu hata cku moja ...na hatuwezi kupoteza ..tena kwa awamu hii ndo tuta shine kinoma ...na hz chaguzi ndogo ndo mtajua chadema ni nani...tuta wagalagaza mchana kweupee
 
unaelewa wazi kuwa wa kulaumiwa ni JPM kwa kitendo chake cha kuminya demokrasia.
hebu aruhusu mikutano ya hadhara na maandamano ndipo mtajua nguvu ya umma ilipo.
 
Ni kweli kabisa CHADEMA tunatetea mafisadi : Lugumi, Escrow, MV magogoni, Richmond, meremeta, uuza wa nyumba za serikali , Rushwa ya million 10 kwa kila mbunge wa CCM akiwemo mbunge wa viti maalum kutoka Songwe, utapeli wa rambirambi za tetemeko la Bukoba.

Pia mahakama ya mafisadi tunaitumia kufuga mbayuwayu na popo kwasababu hatutaki kufukua makaburi.
Huyo Lugumi siku akija chadema hata uenyekiti atapewa na wewe utaajiriwa humu JF kuja na ID tofauti kumtetea.
 
Ni kweli kabisa CHADEMA tunatetea mafisadi : Lugumi, Escrow, MV magogoni, Richmond, meremeta, uuza wa nyumba za serikali , Rushwa ya million 10 kwa kila mbunge wa CCM akiwemo mbunge wa viti maalum kutoka Songwe, utapeli wa rambirambi za tetemeko la Bukoba.

Pia mahakama ya mafisadi tunaitumia kufuga mbayuwayu na popo kwasababu hatutaki kufukua makaburi.
Umemaliza mkuu,sina cha kuongeza!
 
Back
Top Bottom